WCB watembelewa na Waziri wa mambo ya ndani

Umeongea kwa busara sana bila kuweka utimu shukran mkuu
 
Hivi wale wengine wa mikataba ya sony hua hawana ofice, ili viongozi wao wawatembelee

Kila siku naona wcb wakitembelea tu

Bado mukulu magu nae atembelee ofice, za wcb
Wenye mikataba ya sony ni akina nani
magu he is too busy with government issues hawez kuja
 
I disagree.... kuna watanzania wengi sana wameajiri zaidi ya watu 500 na hii haiko recognized

I feel sorry for our president, vijana wake hawana objectives kabisa... kumtembelea uimbaji mmoja na kuifanya agenda leaves a lot to be desired

[HASHTAG]#TatizoNiSisi[/HASHTAG].....
 
Ben na majibu ya miili 7 kule Ruvu yamepatikana???
Yaani viongozi wa Afrika na hasa Tz. ni waajabu sana kufanya inappropriate duties and repsponsibilities with every thn is politics.
kwenye maisha muda wote ukichukulia mambo too serious utakufa mapema.....
 
Mkuu hapa tunazungumzia mziki na sanaa. Hakuna mwanamziki au msanii yoyote katika tanzania hii alieajiri vijana wengi zaidi ya Diamond. Na hii ni kwa sababu wasanii wengi hawakuchukulia kama vipaji vyao vya sanaa vinaweza kuwa ajira rasmi, au labda walikosa maarifa ya kuifanya sanaa kama ajira kuu ya kujiingizia kipato. Hao 500 unaowasema wewe ni katika sekta zingine ambazo zipo zilizoajiri hata wafanyakazi zaidi ya elfu. Halafu unapoangalia fursa usiangalie fursa moja ukaona ndio ina umuhimu mkubwa kuliko zingine. Haiwezekani watanzania wote tukawa kama Bakheresa au tukafanya biashara anayofanya Bakharesa. Ni lazima kuangalia katika pande zote ili kuweza kuwawezesha vijana. Muziki na sanaa ni sehemu ambayo inapaswa pia kutupiwa jicho hasa ukizingatia vijana wengi wanajitosa huko na wapo ambao wameanza kuonyesha kwamba kuna mafanikio yanaweza kupatika kupitia shughuli hiyo. Unapokuwa kiongozi hupaswi kudharau kazi eti kisa tu unaona haina mchango mkubwa au umuhimu mkubwa.
 
Wanasemaga fuvu sijui ina maanisha nini vilee...halafu kama naliona hapo mezani kwa mkubwa mondi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…