WCB ya Diamond,kilefu na maana yake

WCB ya Diamond,kilefu na maana yake

Mbona Bad Boys ya Diddy ilikua na wanawake?sema uwezo wa kujieleza mngeulizwa kama boys mbona ina wanawake ndo majanga
 
Umeleta ujinga hapaa hebu nenda kwa ---- mwenzako unaongelea graphics nayo kazi sikuhizi kuna wachoma cd kariakoo wana fanya kwa ustadi na wewe una lopo mapera hebu rudini shule kwanza wewe uliye leta hii na diamond wako

Mbona umeongea kwa chuki sana.una matatizo gani?
 
Mkuu mambo mengine mnayo fanya mnajiaibisha. Sasa haya ndo mambo gani. Nyie imbeni tu haya mambo mengine waachie hard blasters. Mia
 
Ni neno analopenda kulitumia Diamond na Bila shaka kuna watu wengi tu wanaojiuliza nin kilefu ama maana ya WCB.
kwanza ifahamike WASAFI.
siyo neno tu la kujifurahisha.kwamba diamond huwa analitamka tu .
WCB(WASAFI) ni brand name ya kampuni ya Diamond.
ambayo ndani yake inahusisha watu tofaut tofaut wanaosaidia/msaidia kaz zake za mziki.
kuna Yeye mwnyewe kama mkurugenzi.
kuna dancers.kuna wabunifu wake rasmi wa mavazi unayoyaona amevaa stejin na sehem zingne.na kwa kila onyesho linalokuwa lina mkabili.
hujadiliana na wabunifu wake ..ni nguo ya aina gan ibuniwe.
pia kuna mtu wa karibu anaehakikisha swala la usalama hususana awapo kwenye kind kubwa la watu.
kuna waandish wa nyimbo.
ana nwanamziki wake ambaye bado hajaamua kumtambulisha rasmi(na akimwachia rasmi,watu watatafutana)
kuna watu wa I.T
kuna watu wanaohusika na uandaaje na uwekaj kumbukumbu za matukio yote ya maisha ya diamond.nazungumzia showz zake.na mizunguko yake na matukio mengne mhim kuna watu wanaorekodi video na picha.popote unapomwona jua nyuma yake kuna wapiga picha wa video na still pics.kuna Dj wake na
kuna graphics designer.mamodo na waigizaj pia.
Hiyo ndio WCB.
ambayo kilefu chake ni WASAFI CLASSIC BABY.
ilichaguliwa baby ili kuhusisha jinsia zote.
weng wakisema b iwe badala ya Boys or brother .hapo wadada wangekua .
wamebaguliwa.na hao wafanya kaz wote hao ni vigum kuwashawish kuhamia kaz nyingine.mfano ukiacha wafnyakaz wengne.. dancers pekee.kwa Tz hakuna dancers wanaolipwa pesa nying kama wale.na hakuna mwanamzik anaeweza kumudu malipo yao.
They hatin eer day...we earning eer day

Wote hao anawalipa nini? mbona sijaona mwanasheria hapo?
 
Nijuavyo mimi kuna tofauti kubwa sana kati ya “a man and a boy“ ila kwa haya niyaonayo kwako nashindwa kukwita a man nor a boy hivyo basi wewe ni still a male

Unapoanzisha uzi hakikisha unakua na mashiko


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Nasifia kampuni nayofanyia kazi.
we kama huridhishwi na kaz yako/kampun ulipo kias huwez hata kuisifu mbele za watu,ni wewe

Usikute yule jamaa huwa anawatembezea wote ule mdushelele wanaogombea wakina wema na penny
 
Nasifia kampuni nayofanyia kazi.
we kama huridhishwi na kaz yako/kampun ulipo kias huwez hata kuisifu mbele za watu,ni wewe

Kampuni yenu inalipa kodi? eg. VAT, PAYE, SDL, corporate tax etc. imesajiliwa lini? inajishughulisha na nini? mna business licence? certificate of incoporation ni namba ngapi? VAT REGISTRATION number ni ipi? shareholders ni wangapi? na ma - directors ni wangapi? ..
kama hujui chochote kuhusu hayo maswali hapo juu, usijaribu kuandika utumbo tena kuhusu hiyo "kampuni yenu"
 
Back
Top Bottom