Kuna watu walikuwa hawaambiliki kuhusu chanjo hapa nchini. Walikuwa wanaisapoti na kuipigania as if imetengenezwa na baba zao na wanauhakika kwa 100% kuwa haina madhara.
Mataifa ya magharibi yana upendo gani hadi yaandae program kwa gharama zao waje wakupe ww free of charge kwa faida yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.