WE ARE SIMBA: Tukutane uwanja wa Taifa Jumapili 25 Agosti 2019

Ni kweli kabisa lakini amini usamini bado wapenzi wengi wa Simba bado hawajaona tatizo kwenye kiungo mkabaji na beki wa kati pamoja na kuangalia mechi ya Azam wao wanaangalia ubao wa matokeo basi wanaridhika. Yule Chilunda angekuwa na uzoefu kidogo tu ilikuwa majanga na sijui kwanini Azam hawakuwaanzisha Chirwa, Ngoma na Nado/Chilunda kwa pamoja maana mechi ingekuwa ngumu sana. Simba tukatae tukubali kosa kubwa limefanyika kumwacha Kotei aondoke na pia hatukutafuta beki wa kati wa kimataifa anayelijua soka la Afrika. Anyway tusubiri labda hao wabrazili wakipata moto labda watasaidia vinginevyo unakutana na Esperance, TP Mazembe, Al haly huku kiungo mkabaji Mkude na beki wa kati Wawa hiyo zile tano tano ndio mwanzo wake. Huyo Wawa kwenye ligi ya bongo bado fresh tu. Ila Uchebe naye acheze kamari kwa akina Kennedy na Mlipili wapate uzoefu wanaweza kuja kumsaidia huko mbele ya safari.

Ila kwa ligi ya bongo nazionea tu huruma timu pinzani kwa kweli kuna timu dhahama kama sio gharika litawakuta.
 
Shida unapenda kukariri sana mkuu, jitahidi kutulia uje ukosoe jambo likitokea,
Ile man city ikikutana na Totaham Mara nyingi kila upande kunakua na magoli mengi kwa sababu ya aina ya mfumo wanaocheza Man city wa kushambulia, ndo mana mabeki wa man city wanaaza kukaba Kwenye mstari wa kati.
Sasa inapokutana na washabuliaji wanaokimbia kana wa Toteham ni rahisi kufungika.
Ndo mana game ya simba na Azam magoli yalikua mengi kwa sababu timu zilicheza open football.
Ka uliangalia game ya UD songo Gadiel Michael hakupanda kabsa ka tulivyomzoea, nafikiri kwa ajili ya maelekezo ya kocha.
Ila pia Wawa hawezi kucheza mipira ya kona na ya kutengwa
 
Kweli huna taaluma ya ukocha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…