Haina gharama yoyote.
Nichagulie wangu
Ohoo hapo sawa, inabidi mganga aendelee tu na shughuli za kilinge akisubiria kwa hamu April ifike😀😀😀
Usijali mpenzi mbona 29 soon tu nafikisha naomba ujaribu tafadhari
Dah, jana nilikuwa natokea mkoani kufka shytown akapanda mdada nikachekiana naye fresh tu, tukapeana manamba.. Sema alikuwa anaenda kwa sponsor wake moro... MOYO UNAUMA SANA.. Sasa jamaa ako huyo analeta maumivu tena kuwa kakuota mim nikalala na maumivu tayari[emoji51][emoji51][emoji51]
wakati ukuta.
Mhh! Naona kuna harufu ya malovee kufa kabda hayajaanza!!!
Haina gharama yoyote.
Ni kujisevia tu bure
Ohoo hapo sawa, inabidi mganga aendelee tu na shughuli za kilinge akisubiria kwa hamu April ifike😀😀😀
Kama usiku silali nakuota tu, huo utakuwa utani gani sasa .. .
Usijali mpenzi mbona 29 soon tu nafikisha naomba ujaribu tafadhari
kumbe mmezinguana na mganga
Nisipokuchanganya nitakupataje sasa na ulivyo mgumu hivyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama usiku silali nakuota tu, huo utakuwa utani gani sasa .. .
Poleee sana jaman imeshawahi nitokea hiyo nikaenda kwa sponsor tukagombana ikabid nimtafute mkaka tuliyekutana kwenye gar akaja akanichukua tukawa wapenzi ila tulipotezana baada ya familia yake kuhamia s Afrika ilikuwa Bukoba tulikutanaga kwenye bus za Friends .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hufafanani na mwingine isipokuwa kwa wale unaofanana nao.
Hufafanani na mwingine isipokuwa kwa wale unaofanana nao.
Uzuri wako ni ule ule, jicho lako la mahaba ni lile lile, pozi ni lile lile, utundu ni ule ule(uliomzimisha bonge), body temperature ni ile ile, kufinya kwa ndani ni vile vile.......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hujui chochote kuhusu mpenzi wangu tena naomba umuacheHufafanani na mwingine isipokuwa kwa wale unaofanana nao.
Uzuri wako ni ule ule, jicho lako la mahaba ni lile lile, pozi ni lile lile, utundu ni ule ule(uliomzimisha bonge), body temperature ni ile ile, kufinya kwa ndani ni vile vile.......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]