Loh, unapigwa BAN ilinicost kwa BAK while I was quoting someoneWaliokufa kwa Corona hawatangazwi kwa majina yao.
Nadhani Umenielewa don't ask again about Lara 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loh, unapigwa BAN ilinicost kwa BAK while I was quoting someoneWaliokufa kwa Corona hawatangazwi kwa majina yao.
Nadhani Umenielewa don't ask again about Lara 1
Hapo hakuna ban mkuuLoh, unapigwa BAN ilinicost kwa BAK while I was quoting someone
Waliokufa kwa Corona hawatangazwi kwa majina yao.
Nadhani Umenielewa don't ask again about Lara 1
Wewe kichwa kichafu kweli 😂
Nimejizuia kucommentJAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.
Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?
lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
Hata mimi nilishawahi kuuliza alipo Lara1, kwakweli alikuwa anachangamsha sana Jukwaa. Lara1 where are u?JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.
Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?
lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
Vipi nikupe namba zake?Hata mimi nilishawahi kuuliza alipo Lara1, kwakweli alikuwa anachangamsha sana Jukwaa. Lara1 where are u?
No, mwambie tu kaacha pengo huku JF mkuuVipi
Vipi nikupe namba zake?
Sijui baharia gani kamfungia huyu mtu
Poa ujumbe kaupataNo, mwambie tu kaacha pengo huku JF mkuu
Ewaaaaaa. Where were you Lara1? Ni wewe kweli umerudi? Tulikumiss sana kwa kweli.Nipo jamani nadanga kimataifa zaidi si mnajua bongo vyuma vimekaza
Wewe kichwa kichafu kweli [emoji23]
Sijui baharia gani kamfungia huyu mtu
Namiss story zake