We miss u lara1 where are youuuuuuu!!!!

We miss u lara1 where are youuuuuuu!!!!

JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.

Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?

lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
Nimejizuia kucomment

My life is mine to remember
 
JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.

Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?

lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
Hata mimi nilishawahi kuuliza alipo Lara1, kwakweli alikuwa anachangamsha sana Jukwaa. Lara1 where are u?
 
Kuna watu humu huwa wanajifanya wajuzi wa kuchamba watu mie huwa nawacheki tu, kuna watu humu tulichambwa na lara1 na tumesavaivu na jamaa fulani hivi ukimzigua anakuchamba kwa kizungu tena kizungu chenyewe kile, nae haonekani siku hizi. Kama tulisavaivu hao wawili, hamna tena wa kuchamba.
Na mpirani kulikuwa na wacha1. Mjukwaa yalikuwa ya moto.
Siasani kulikuwa na jamaa wawili mmoja sisiemu mmoja chadema, nimewasahau majina. Hawa ninkama walikuja kwa ajili ya uchaguzi tu. walikiwasha humu baada ya uchaguzi wakaondoka. ilikuwa balaa. Hawa walikuwa Wakiongezwa nguvu na Salary Slip (wakati hajachacha kama sasa) na Laki Si Pesa (wakati yupo kwa lowassa).
 
Back
Top Bottom