Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa ni wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu Ni makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Ndio maana Na sie hatuna budi kuungana Na wale weusi wa kwa Mzee Madiba Enzi zile, tunauliza "JPM where are you??" Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha. Na leo kwenda Morogoro ni shuruba isiyo kifani, Ni rahisi Sana ukasafiri kwenda Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu Ni makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.
Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.
Ndio maana Na sie hatuna budi kuungana Na wale weusi wa kwa Mzee Madiba Enzi zile, tunauliza "JPM where are you??" Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha. Na leo kwenda Morogoro ni shuruba isiyo kifani, Ni rahisi Sana ukasafiri kwenda Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji