We miss you JPM, where are you!!?

We miss you JPM, where are you!!?

Mkuu kupigwa mnada mali za wananchi hata kipindi cha jiwe zilikuwa zinapigwa mnada.

Tena hakuna kipindi mali zetu zilipigwa mnada kama kipindi cha jiwe kwa kiburi chake cha kugoma kulipa madeni ya nyuma ambayo yeye alikuwa sehemu ya wasababishi.

Furaha yangu kwa sasa ni kuona sekta binafsi zinaanza kustawi baada ya kujifia, Yes Samia ana madhaifu yake mengi sana ila kwa kuzipa meno sekta binafsi zichipue nipo pamoja nae kwani zitatatua changamoto ya ajira kwa vijana wengi wa kitanzania.

Kuhusu bima ya afya hilo ni swala mtambuka, hata Obamacare ina changamoto zake.

Bila kusahau jiwe ndio aliua mifuko ya hifadhi ya jamii na mpaka leo wazee wetu wanateseka kwa kitendo chake.
We jamaa nilipumbavu sana unatetea sekta binafsi zakinyonyaji Kwa kivuli Cha ajira Kwa wananchi. Magufuli alikutayari kuua kitu kisicho na maslai Kwa taifa. Sasa kama wewe unaona ni Bora kuuza rasilimali Kwa bei ya kutupwa kisa wananchi wapate ajira nina wasiwasi na uwezo wako kichwani.
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
"Mtanikumbuka. Tena mtanikumbuka si kwa mabaya bali kwa mazuri kwa maana nimeamua ku sacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania". Mwisho wa kunukuu.
 
We jamaa nilipumbavu sana unatetea sekta binafsi zakinyonyaji Kwa kivuli Cha ajira Kwa wananchi. Magufuli alikutayari kuua kitu kisicho na maslai Kwa taifa. Sasa kama wewe unaona ni Bora kuuza rasilimali Kwa bei ya kutupwa kisa wananchi wapate ajira nina wasiwasi na uwezo wako kichwani.
Upumbavu huwa unaanza kwenye fikra, Nadhani una changamoto sehemu ndio maana huwezi kuwa na maono.

Hakuna Nchi iliyoendelea kwa kuziua sekta binafsi, hizo sekta binafsi ambazo unadai ni za kinyonyaji ni zipi?

Chini ya jiwe makampuni mengi ya tafiti yaliondoka nchini kwa sera zake ambazo sio shirikishi.

Hakuna kitu kibaya kama kuzoea kuishi kwa uongo, jiwe alikuwa muongo.

Miradi mingi aliyokuwa anatekeleza alikuwa anasema ni kwa pesa zetu ila ukienda kwenye hiyo miradi mabango utakayokutana nayo ni tofauti kabisa na maelezo ya jiwe. Rejea: pita kwenye daraja la kijazi na mfugale kasome mabango ya wahisani wa ujenzi ule.

Kwakuwa alijua watanzania wengi hawapendi kusoma ndio maana alikuwa anatuongopea.

Heri kupata kidogo kuliko kutokupata kabisa, alitakiwa kukaa na wawekezaji na kuongea nao.
 
Magufuli alikuwa katili kwenye utawala wa Sheria na democracy Ila out of that he was a wise man

Kosa lililomgalimu na angekuwepo mpaka Leo ni kutaka kuwa rais wa milele kilikuwa kosa kubwa Sana !!

Samia yupo anakodoa tu na kulembua kupaka lipsticks😀😀😀😀
Kwa maelezo hayo basi hakuna Wiseman
 
Sema I miss you JPM,not we miss you JPM,wengine hatummiss hata kidogo.chukua hiyo.
Hiyo ndio hali halisi.
 
Upumbavu huwa unaanza kwenye fikra, Nadhani una changamoto sehemu ndio maana huwezi kuwa na maono.

Hakuna Nchi iliyoendelea kwa kuziua sekta binafsi, hizo sekta binafsi ambazo unadai ni za kinyonyaji ni zipi?

Chini ya jiwe makampuni mengi ya tafiti yaliondoka nchini kwa sera zake ambazo sio shirikishi.

Hakuna kitu kibaya kama kuzoea kuishi kwa uongo, jiwe alikuwa muongo.

Miradi mingi aliyokuwa anatekeleza alikuwa anasema ni kwa pesa zetu ila ukienda kwenye hiyo miradi mabango utakayokutana nayo ni tofauti kabisa na maelezo ya jiwe. Rejea: pita kwenye daraja la kijazi na mfugale kasome mabango ya wahisani wa ujenzi ule.

Kwakuwa alijua watanzania wengi hawapendi kusoma ndio maana alikuwa anatuongopea.

Heri kupata kidogo kuliko kutokupata kabisa, alitakiwa kukaa na wawekezaji na kuongea nao.
We ni mwehu.
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Who misses that dude? To miss that dude means missing to be poor or missing abductions and killings
 
Screenshot_20230517-155158.jpg
Screenshot_20230417-214741.jpg
 
Kiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.

Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.

Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.

Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.

Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Huna akili shenz
 
Upumbavu huwa unaanza kwenye fikra, Nadhani una changamoto sehemu ndio maana huwezi kuwa na maono.

Hakuna Nchi iliyoendelea kwa kuziua sekta binafsi, hizo sekta binafsi ambazo unadai ni za kinyonyaji ni zipi?

Chini ya jiwe makampuni mengi ya tafiti yaliondoka nchini kwa sera zake ambazo sio shirikishi.

Hakuna kitu kibaya kama kuzoea kuishi kwa uongo, jiwe alikuwa muongo.

Miradi mingi aliyokuwa anatekeleza alikuwa anasema ni kwa pesa zetu ila ukienda kwenye hiyo miradi mabango utakayokutana nayo ni tofauti kabisa na maelezo ya jiwe. Rejea: pita kwenye daraja la kijazi na mfugale kasome mabango ya wahisani wa ujenzi ule.

Kwakuwa alijua watanzania wengi hawapendi kusoma ndio maana alikuwa anatuongopea.

Heri kupata kidogo kuliko kutokupata kabisa, alitakiwa kukaa na wawekezaji na kuongea nao.
Tuna wajua humu kwenye comment wazee wa vitonga, majambazi na wezi. Haihitaji akili nyingi. Na aliwanyoosha kwelikweli Hadi mlifyata mkia. Na bado mna muda mchache Sana wakutamba maana Mungu atainua jiwe mwingine soon.
 
Kiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.

Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.

Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.

Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.

Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Kwa hiyo aliyepo ndio shujaa wako sio!!! Mbwete kweli
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji

Naona hamjapata somo hatuta okolewa na mtu bora bali mfumo bora. mfumo bora ni katiba bora. Hivyo kama unapenda nchi pigania katiba bora ndiyo chanzo ya drama hizi zote. Mashujaa wanakufaga ndugu yangu mfumo unabaki. Iko siku utanielewa
 
Back
Top Bottom