We miss you JPM, where are you!!?

We miss you JPM, where are you!!?

Wabongo wengi kama wewe hata kama ni wa umri mkubwa, fikra zao ni kama za watoto.

Wanapenda kufanyiwa mambo na wengine.

Hawataki kukubali kwamba wao wana wajibu, hawataki kukubali kwamba nchi inajengwa na taasisi imara, watu, hata wakiwa imara vipi, wanapita tu.

Ndiyo maana ni rahsi kusikia watu wanamlikia Magufuli lakini ni vigumu kusikia watu wanajenga taasisi za kuisimamia serikali itekeleze kazi yake inavyotakiwa.
Na wewe Jenga yako ili uwe raisi kama kujenga Ni Sawa Na kujenga Banda la nyasi
 
Kiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.

Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.

Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.

Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.

Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Sahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani? Ama labda kuona kwenda Morogoro yanakuwa masaa 6 kisa Barabara Za saa100???
 
Kiongozi anaeuwa sekta binafsi hawezi kuwa kiongozi bora daima, Siuoni ushujaa wa JPM kwakuwa aliua sekta binafsi ambazo ndio chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi.

Kiongozi yeyote ambae atarudia sera za kuua azasi atakuwa anawachimbia kaburi watanzania, mtu aliefanya mamilion ya watanzania wakose ajira kwa kuuwa sekta binafsi hawezi kuwa shujaa, kwenye mizani kikwete yupo far sana kuwa shujaa kuliko jiwe.

Kama ushujaa wake ni kutumbua watendaji wa serikali hapo sawa, Kwangu shujaa ni kiongozo anaepigania ustawi wa wananchi kwa kuzalisha ajira za kutosha kwa kuzipa ustawi bora sekta binafsi na sio kuziua.

Watanzania tulio wengi si kwamba kipindi cha Jiwe tulikuwa na maisha mazuri bali tulikuwa tunafurahia kwa wenye unafuu wa maisha jinsi walivyokuwa wanateseka na ndio hulka ya masikini kuwa na furaha kipindi tajiri anapoteseka.

Kwangu Jiwe hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Unahoja mkuu

Ingawa nazo hizi sector binafsi kwa Africa ndizo zinaongoza kwa kuihujumu serikali zisipotizamwa kwa umakini
 
Sahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani?
Akikujibu basi huyo hatokuwa mccm
 
Na wewe Jenga yako ili uwe raisi kama kujenga Ni Sawa Na kujenga Banda la nyasi
Nijenge yangu nini? Nani kakwambia nataka kuwa raisi?

Mimi nimeanza kutembea corridors za Ikulu Magogoni tangu niko tumboni mwa mama yangu, sina hamu ya kuwa raisi.
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Hadi nyumbu chama kimeuawa na rushwa wanamkumbuka JPM
 
Magufuli alikuwa katili kwenye utawala wa Sheria na democracy Ila out of that he was a wise man

Kosa lililomgalimu na angekuwepo mpaka Leo ni kutaka kuwa rais wa milele kilikuwa kosa kubwa Sana !!

Samia yupo anakodoa tu na kulembua kupaka lipsticks😀😀😀😀
Hili unamsingizia hakuna mahala alisema atakiwa rais wa milele, sema tu ninachofahamu hakuamini katika siasa, aliamini katika kuunga nguvu kwa pamoja na kufanya kazi, aliona kwa maono yake siasa ni scam, ndio maana alipoona wapinzani wakimpinga kununua ndege, kujenga reli au kufukuza wafanyakazi hewa, alihisi wanapinga maendeleo akawa anarara nao mbere kwa mbere kwa kuwahisi ni maadui... Ila kiuhalisia siasa hazitotufikisha popote... Nchi masikini kama hizi siasa ni kupoteza muda na kuchelewesha maendeleo...
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
"Na Mimi nataka niseme watanzania mtanikumbuka. Na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Hili unamsingizia hakuna mahala alisema atakiwa rais wa milele, sema tu ninachofahamu hakuamini katika siasa, aliamini katika kuunga nguvu kwa pamoja na kufanya kazi, aliona kwa maono yake siasa ni scam, ndio maana alipoona wapinzani wakimpinga kununua ndege, kujenga reli au kufukuza wafanyakazi hewa, alihisi wanapinga maendeleo akawa anarara nao mbere kwa mbere kwa kuwahisi ni maadui... Ila kiuhalisia siasa hazitotufikisha popote... Nchi masikini kama hizi siasa ni kupoteza muda na kuchelewesha maendeleo...
Ilo la kutaka kujiongezea muda ndo lilimfanya afe

Hayo mengine yangevumiliwa Ila ilo ndilo lilimchukua
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
We also miss Ben Saanane & Azory Gwanda
 
Magufuli ni kipenzi Cha watanzania sababu ya uzalendo wake.Mama yeye anachojua ni kusafiri tu Kila siku lakini hakuna kazi hata Moja aliyoweza kujifanya ya maana
 
Miong
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaj

Miongoni mwa waliokufa kwa corona 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Si Barabara tu!

Yule mwamba hata mawe yatatoa mlio

Pumbavu zao sana hao wauza ngada na mafisadi, bila kuwasahau hao wapinzani ambao wimbo wao kwenye nchi yetu ni wao kuleta maendeleo ya kweli, cha ajabu wao ndio walikuwa wa kwanza kumpiga mawe mpinzani mwenzao JPM ambaye kwa dhati ya moyo wake alojitoa mhanga kuiletea maendeleo ya kweli nchi yetu
huwa nikikumbuka hawa wapinzani uchwara walivopinga kwa nguvu kazi ile ilotukuka ya yule mwamba JPM,i wish ningesajiliwa kwenye kikosi cha death squad ningewapiga chuma mchana kweupe uso kwa uso huku nikizifurahia sauti za kilio chao cha mwisho ilaaniwe CHADEMA na uongozi wao wote.
 
Kila mtu anaamini kile anachoamini,kwangu binafsi sikuwahi kuvutiwa na uongozi wake hasa pale alipoamini ni yeye tu ndiye mzalendo, mwenye akili kuliko wengine n.k na ole wake atakayembishia au kumkosoa!
 
Tunaweza kusema Pasi Na Shaka yoyote kwamba Kwa Sasa Huu unaweza kuwa wimbo ambao unaimbwa Sana Na wale tunaoikumbuka Kazi ya Shujaa huyu wa Afrika.

Na hili halijifichi Hasa unapowazungumzia wale wote wenye kuitumia Barabara ya Morogoro kipande kutoka maili Moja Kibaha mpaka kuitafuta mlandizi, hakika maumivu makubwa Sana Na si masihara. Naamini walio wengi wanaamini Na ndo ukweli wenyewe kwamba kama si ushenzi wa wachumia tumbo Wachache wa kumuondoa huyu Mwamba basi zile Barabara njia 8 kama Za kimara- Kibaha basi hivi Leo zingelikuwa zimefika mlandizi kama si Chalinze kabisa.

Na Mie naungana nao katika vilio hivo vya wengi, sahivi kutoka mbezi kuitafuta Chalinze si Chini ya masaa 3 Na Zaidi Hasa nyakati Za jioni. Kweli tumepigwa Na kitu Kizito Na Kazi tunaiona kizimkazi.

Na sie tunaungana Na wale wa kwa Madiba Enzi zile, tunauliza JPM where are you?? Barabara ya ndoto Zako imefia pale pale ulikoiacha Na kwenda Morogoro Leo Ni rahisi kusafiri kwenda
Tanga Na ukafika Mapema lakini si kwenda Morogoro. Zile hesabu Zako Za kuokoa masaa katika uchumi wa nchi ulizokuwa unazipiga ukijenga ma flyovers zimeingiliwa Na wahuni watekaji
Wenye vinasaba vya kishetani utawajua tu!
 
Magufuli alikuwa katili kwenye utawala wa Sheria na democracy Ila out of that he was a wise man

Kosa lililomgalimu na angekuwepo mpaka Leo ni kutaka kuwa rais wa milele kilikuwa kosa kubwa Sana !!

Samia yupo anakodoa tu na kulembua kupaka lipsticks😀😀😀😀
Kama ww ukijilemba kuelekea kwa bwana wako
 
Sahivi Sasa raha yako Ni IPi kuona Mali Za nchi zinapigwa mnada Na wewe upo unakenua ama kuona Bima imeondoa magonjwa muhimu ili watu wajifie ..Hasa unapata raha Gani? Ama labda kuona kwenda Morogoro yanakuwa masaa 6 kisa Barabara Za saa100???
Mkuu kupigwa mnada mali za wananchi hata kipindi cha jiwe zilikuwa zinapigwa mnada.

Tena hakuna kipindi mali zetu zilipigwa mnada kama kipindi cha jiwe kwa kiburi chake cha kugoma kulipa madeni ya nyuma ambayo yeye alikuwa sehemu ya wasababishi.

Furaha yangu kwa sasa ni kuona sekta binafsi zinaanza kustawi baada ya kujifia, Yes Samia ana madhaifu yake mengi sana ila kwa kuzipa meno sekta binafsi zichipue nipo pamoja nae kwani zitatatua changamoto ya ajira kwa vijana wengi wa kitanzania.

Kuhusu bima ya afya hilo ni swala mtambuka, hata Obamacare ina changamoto zake.

Bila kusahau jiwe ndio aliua mifuko ya hifadhi ya jamii na mpaka leo wazee wetu wanateseka kwa kitendo chake.
 
Back
Top Bottom