We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Hakika lishukuliwe basi la mwendokasi limeufanya moyo wako umdondokee kijana wa watu ambae mawazo yake yapo kwa gelufurendi wake
 
daah! kumbe uliniona..! usipate shida na huyo dada...huyo dada ni mtoto wa baba mkubwa,..nilikuwa namsindikiza....ngoja nije pm labda nikapata ubarikio
 
Ni mimi hapa ila tuma picha yako kwanza nikukumbuke na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…