We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Kale kalikuwa ni kajini,, usipende haraka hivyo dada yng mji una mambo huu,,
 
Hivi huo mkaka wa mwendokasi hajajitokesa tu jamani? Sisi tunachill na post wakati mhusika anateseka sio fair kabisa
 
jamani nilikuona ila sikukutilia maanani maana nilikua na milioni 15 mule kwenye kale kabegi alafu kunamuda ulikua unapiga piga mihayo ok ngoja niku Pm
 
hata nguvu hiyo sikuwa nayo nilibaki tu namtolea macho, afu ana aibu fulani amazing.. ameifanya asubuhi yangu iwe ya baraka..
akija tu piiem ntampa kapicha
una shape?? au ndo unatafuta wa kukusitiri ugumegume wako
 
Back
Top Bottom