Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] basi huyo kimeo [emoji85] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125]nimeanza kumfahamu jana tu.. yaani mambo ya makaburini na tahajudi hana kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] basi huyo kimeo [emoji85] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125]nimeanza kumfahamu jana tu.. yaani mambo ya makaburini na tahajudi hana kabisa.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] you gonna break ma shit ribs[emoji125] [emoji125] [emoji125]watakuja wengi sasa sijui uombe na kapicha huko piemu
Mi naomba niuvunjie tu kwako ram maana mmmh naomba uuruhusu tuuvunje public pleaseDuh....pole, moyo umedondokea kwenye mwendo kasi
Si ajabu haijui hata jamii forum, sijui utafanyaje sasa, kwa zama hizi ungevunja ukimya pale pale tu mamangu
ha ha haha[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] you gonna break ma shit ribs[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapo hana hamu tena waliovamia pm ni kikosi kizima, sjui amsikilize nanha ha haha
ha hahaha na wote walivaa kma alivyosema sasa kazi anayoHapo hana hamu tena waliovamia pm ni kikosi kizima, sjui amsikilize nan
Hii dunia ina vioja vyake, ukute mtu anajijua kabsa siyo yeye halaf anakimbilia pmha hahaha na wote walivaa kma alivyosema sasa kazi anayo
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Hello my gentleman....Abiria chunga mzigo wako.
Watu wana macho makali kuliko injini za sechi za Google.
Hey wamtafutia nini my gentleman?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu hujui kama nakusaka
Hahaahh Valentina unamkubali Sana kiranga, maana nmeona umemtaja mahali flan Kama mtu unaevutiwa nae,fanya mpango muonaneHello my gentleman....