We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Thread closed,... nshampata kaja tumeyajenga... kumbe nae kweli alikua mwanaJf.
nimeamini hisia hazidanganyi...
wale mliokuja kudanganya huko piiiemu... endeleeni kujaribu Lotto.
 
then what what?.... ukishaijua hiyo then what?
what will be then?....
Mhhh nimeangua kicheko ...sasa niite kua love at first sight ama crush ama nini ...halaf unasema alikaa na mdada huyo atakua sio girl wake ama mke kabisa, sasa unataka picha yake uongee nae then what,
 
kwani mwanaume akimvutia mwanamke anakua na sura ya kike or handsome...?

Ni kweli kabisa. Shida ya wanawake ni kudhani kuwa wanaume wenye sura za mama zao eti ndio handsome. Lkn kiukweli hao sio wanaume halisi wengi wao kazi hawaiwezi. Wanaume wazuri ni wale wenye maumbo ya kiume haswaa, wana msuri na sura ya kiume wala si ya kike!
 
Bora wewe kuna possibilities haya sie tunaowatamani ma movie star wa mbali huko sijui inakuaje[emoji23][emoji23][emoji23]nacheka ila dah huyu dylan o'brien na tyler posey watantia uchizi mie dah[emoji24][emoji24]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji4] [emoji3] [emoji2] [emoji2] nimependa huu uzi
 
Back
Top Bottom