We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Naona upo ktk ukuta wa kutafuta haki za mwanamke
Jitahid kesho majira ya saa sita na mm ntapanda bus la mwendo kasi kuelekea cty center
Hvyo usisite kuja kupanda ww mdada maana nko smart xn
1472730646176.jpg
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
pole sana, huyo mkaka ndo mimi hapa.....
 
Niko hapa mamy...mwenyewe nlitamani sana nkwambie kitu ila nkawa namwogopa yule mdada tulokuwa naye ni mamangu mdogo!
Kama VP njoo basi my tuyajenge..!
 
Ahaaaaa ndio maana ulikua unanikodelea mimacho wakati wote!!!!! Sawa
yan kwan jinsi mtoa hoja alivyomuelezea uyo mkaka its obvious hana misemo isiyo ya kismat kama iyo "unanikodolea mimacho"
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Acha ujinga wewe, aliyekwambia watanzania wote wapo jf ni nani?? Hata laki nne jf bado!
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..

Naona unaumia na love at the first sight,,,,,,pole sana
 
Mhhh nimeangua kicheko ...sasa niite kua love at first sight ama crush ama nini ...halaf unasema alikaa na mdada huyo atakua sio girl wake ama mke kabisa, sasa unataka picha yake uongee nae then what,
 
Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Ni kweli kabisa. Shida ya wanawake ni kudhani kuwa wanaume wenye sura za mama zao eti ndio handsome. Lkn kiukweli hao sio wanaume halisi wengi wao kazi hawaiwezi. Wanaume wazuri ni wale wenye maumbo ya kiume haswaa, wana msuri na sura ya kiume wala si ya kike!
 
Dar imekuwa hatari sasa... yaani all the way alikuwa kimya hata salam tu
 
Duh....pole, moyo umedondokea kwenye mwendo kasi
Si ajabu haijui hata jamii forum, sijui utafanyaje sasa, kwa zama hizi ungevunja ukimya pale pale tu mamangu
Upo?
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..

Mmmmmhhh,umekariri kila kitu.hapana nampenda mke wngu
 
Samahani sana kwa kuchelewa kujibu thread yako mkuu, nakumbuka ulipo niangalia macho yetu yaligongana, then nikainama kwa jinsi nilivyo kua na aibu.
Nimekutumia ujumbe pm[emoji39] [emoji39]
 
Duh....pole, moyo umedondokea kwenye mwendo kasi
Si ajabu haijui hata jamii forum, sijui utafanyaje sasa, kwa zama hizi ungevunja ukimya pale pale tu mamangu
Nipo jf mkuu, sema nami sikujua kama nayeye yupo humu[emoji13] [emoji13]
 
Ungemwambia tu my dia kwanini ujitese kihivyo?Ila I hope atakuwa humu akusikie
Nipo humu mkuu, bila shaka nitajielekeza huko pm kwa huyu dada aiseeee....
Yaani hapa naona kama gari la bank limedondokea mlangoni kwangu
 
Back
Top Bottom