Animal Keeper
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 348
- 282
Naona upo ktk ukuta wa kutafuta haki za mwanamkeJamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Jitahid kesho majira ya saa sita na mm ntapanda bus la mwendo kasi kuelekea cty center
Hvyo usisite kuja kupanda ww mdada maana nko smart xn