We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

najua maumivu unayopitia
yaani acha kabisa umenikumbusha mbali kabisa kuna wakaka wazuri mjini hapa?
halafu wakaka watamu utabaki nao kwenye akili na ndoto tu
life is not fair at all
Nshawahi kukutana na mkaka handsome ila ilikuwa kwenye mazingira ya kazi. Yule mkaka aisee dah acha tu.
 
HUKUMPIGA PICHA?
MAFUNGU HAYA YATAKUSAIDIA - TAFAKARI
Yeremia 2:20 Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.


Ezekieli 16:15 Lakini uliutumainia uzuri wako, ukafanya mambo ya kikahaba kwa sababu ya sifa zako, ukamwaga mambo yako ya kikahaba juu ya kila mtu aliyepita; ulikuwa wake.

Ezekieli 16:22 Na katika machukizo yako yote, na mambo yako ya kikahaba, hukuzikumbuka siku za ujana wako, ulipokuwa uchi, huna nguo, ukawa ukigaagaa katika damu yako.
Mhhhh....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Umepotea jukwaa comrade, au hii ni aina nyingine ya kutoa ushauri[emoji87] [emoji87]
 
Ndio muone jinsi mnavyo tuumizaga pmbav.....
Anyway Kesho poteza siku, Kaa kituoni saa moja hadi saa tatu kuna possibility kubwa ukamuona tena.
Pengine jamaa amesha panda ndege yupo Mwanza au Mbeya
 
Wanaume wa mikoani wanakosa bahati kama hizi. Mwendokasi ni fresh sana hata kama huna gar huwezi kuonekana masikini kamwe kwani wadada wengine wanahisi unaweza kuwa nalo na ukawa umeliacha kozi ya foleni dooh. Ila sio kwa vi haisi vya huko mikoani kazi kugonganisha magoti tuu
 
Nshawahi kukutana na mkaka handsome ila ilikuwa kwenye mazingira ya kazi. Yule mkaka aisee dah acha tu.
Kuna dada mmoja nilisha wahi kukutana nae kwenye mgahawa alikuwa na jamaa ake nikashindwa kuvumilia nikafanya juu chini hadi nikapata number zake, jamaa ake alivyo simama kwenda kuosha mikono nikanyanyuka fasta nikampa Busines Card! Demu alikuwa amesha nishtukizia nikamrushia fasta nikasepa
 
Kuna wanaume jamani ukimuona lazima ubaki na taswira yake kutwa nzima. Agggrrrrrr!!!
 
Kuna dada mmoja nilisha wahi kukutana nae kwenye mgahawa alikuwa na jamaa ake nikashindwa kuvumilia nikafanya juu chini hadi nikapata number zake, jamaa ake alivyo simama kwenda kuosha mikono nikanyanyuka fasta nikampa Busines Card! Demu alikuwa amesha nishtukizia nikamrushia fasta nikasepa
Alikutafuta?.....maana binafsi nashindwaga maneno ya kumuanza mtu......
 
hata mi pia nilikuona jinsi ulivyokuwa unaniangalia.nipo nakuja pn
 
Back
Top Bottom