We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

We mkaka kwenye mwendokasi asubuhi ya leo umenimaliza

Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Ukimwi hautaisha
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
HUKUMPIGA PICHA?
MAFUNGU HAYA YATAKUSAIDIA - TAFAKARI
Yeremia 2:20 Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.


Ezekieli 16:15 Lakini uliutumainia uzuri wako, ukafanya mambo ya kikahaba kwa sababu ya sifa zako, ukamwaga mambo yako ya kikahaba juu ya kila mtu aliyepita; ulikuwa wake.

Ezekieli 16:22 Na katika machukizo yako yote, na mambo yako ya kikahaba, hukuzikumbuka siku za ujana wako, ulipokuwa uchi, huna nguo, ukawa ukigaagaa katika damu yako.
 
Having Business Card is very important,
Kuna siku utakosa vitu vizuri hivi hivi.
 
Ni mm ila nimeowa tayari usijali utapata wakwako uliepangiwa na MUNGU.
 
bahati mbaya dada, kwanza nimeshaoa na pili ni mchungaji mtarajiwa wa kanisa la TAG na sipendi dhambi.

sorry
 
Tatizo siku hizi ni ngumu saaaana kupata marafiki wapya kwasababu ya teknologia. zamani watu walikuwa wanapata wachumba wakiwa safarini, mfano wamepanda gari moja au wapo kituoni kusubiri usafiri. lakini siku hizi kila mtu yupo bize na smartfone yake mda wooote! utaanzaje kuomsemesha? we cheki ukiingia mwendo kasi kila mtu bize anachati na simu yake! hii ni hatari saana. we miss a lot of opportunities! I am sure hata huyu mdada alikuwa bize anachati japo alikuwa anaumia moyoni! Ni vema tukapunguza matumizi ya simu hasa tunapokuwa kwenye makusanyiko ya watu, you never know your soulmate might be there!. Mbaya zaidi wengine unakuta anachati na pia ana headfones kichwani! hakika miili yetu siku hizi inaenda yenyewe bila akili zetu! unakuta mwili upo hapo akili ipo maili kadhaaa! imefika wakati wengine wanagongwa na magari maana akili ipo mbali na mwili! hata ikipigwa honi hasikiii!
Nawasihi wote wenye nia ya kuongeza wigo wa marafiki achana na kuchati hasa unapokuwa umezungukwa na watu usiofahamiana nao. Tujitahidi kuongeza marafiki ikibidi kila siku.
Pole dadangu, but take my advise.
 
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Mh! kwa dizaini hii hata wewe utakuwa mwendokasi tu. Siku hizi hupandi tene treni?
 
HUKUMPIGA PICHA?
MAFUNGU HAYA YATAKUSAIDIA - TAFAKARI
Yeremia 2:20 Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.


Ezekieli 16:15 Lakini uliutumainia uzuri wako, ukafanya mambo ya kikahaba kwa sababu ya sifa zako, ukamwaga mambo yako ya kikahaba juu ya kila mtu aliyepita; ulikuwa wake.

Ezekieli 16:22 Na katika machukizo yako yote, na mambo yako ya kikahaba, hukuzikumbuka siku za ujana wako, ulipokuwa uchi, huna nguo, ukawa ukigaagaa katika damu yako.
Kumbe mimi nakaa kimya kwenye mwendokasi nakosea,hawa sasa ukiwa naye jirani ni kumpiga injiri mwanzo mwisho.
Sijui hata kama anayobiblia na kama ni mkristo ndiyo wale nawaita wakristo jina.They do not live the christian life yet they claim they love Jesus.

Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...

Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.

Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.

Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Dada si kila kizuri kwa macho kinafaa kuliwa,hizo ni tamaa zinakusumbua na wala usijidanye kwamba ni love at first site hizo ni tamaa at first site.Katika maisha usitamani vitu usivyovijua,Dar wasanii ni wengi usidhani watu hawajui kuigiza utaibiwa hapa ni mjini.
Inawezekana jamaa alifanya aliyokufanyia ili akutie wivu na wewe umepatikana hiyo ni technique pia kama nakuhitaji wewe naweza kukutia wivu,lakini hatuko huko tena tuko kwa Yesu karibu kwa Yesu.Tamaa za mwili hazikupeleki popote zaidi ya mauti.
Unahitaji kuombewa kwani mpaka umefikia kuandika hapa jf kweli uko hoi,sasa wasanii watakutafuta,don't say I did not warn you.
 
we si mweupe sura ya duara sio Mrefu sana na umejazia kiasi .Kama ni ww confirm kwanza asante
 
Back
Top Bottom