Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
apa ndo itakua shida...ila simu imekufa font camera...akifika tu naomba selfie
Ukimwi hautaishaJamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
hiyo ni baada ya ya mchumba aliyetafutwa kukosekana pia. Sasa ni style ya kuvamia,Hahaaaaa! A new style....sio natafuta mchumba tena....
HUKUMPIGA PICHA?Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Mh! kwa dizaini hii hata wewe utakuwa mwendokasi tu. Siku hizi hupandi tene treni?Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..
Kumbe mimi nakaa kimya kwenye mwendokasi nakosea,hawa sasa ukiwa naye jirani ni kumpiga injiri mwanzo mwisho.HUKUMPIGA PICHA?
MAFUNGU HAYA YATAKUSAIDIA - TAFAKARI
Yeremia 2:20 Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.
Ezekieli 16:15 Lakini uliutumainia uzuri wako, ukafanya mambo ya kikahaba kwa sababu ya sifa zako, ukamwaga mambo yako ya kikahaba juu ya kila mtu aliyepita; ulikuwa wake.
Ezekieli 16:22 Na katika machukizo yako yote, na mambo yako ya kikahaba, hukuzikumbuka siku za ujana wako, ulipokuwa uchi, huna nguo, ukawa ukigaagaa katika damu yako.
Dada si kila kizuri kwa macho kinafaa kuliwa,hizo ni tamaa zinakusumbua na wala usijidanye kwamba ni love at first site hizo ni tamaa at first site.Katika maisha usitamani vitu usivyovijua,Dar wasanii ni wengi usidhani watu hawajui kuigiza utaibiwa hapa ni mjini.Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock...
Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi jeusi, pembeni ulikaa na mdada light skin hivi.
Tulikuwa wote kwenye mwendokasi asubuhi hii ya kutoka Kimara - Gerezani mida ya saa mbili.. imefika Gerezani saa 08:52.
Please kama upo humu nipieem tu nikusalimie manake mmmh, kila nikifunga jicho nakuona..