Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwendokasi tena........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwendokasi tena........
Mlivyoshuka ukashindwa kumfwata.? Inabidi umvizie tena kesho kwenye mwendokasi muda kama wa leosiyo kwa ule mbanano wa mwendokasi,
ningeanzaje sasa.
Nshawahi kukutana na mkaka handsome ila ilikuwa kwenye mazingira ya kazi. Yule mkaka aisee dah acha tu.najua maumivu unayopitia
yaani acha kabisa umenikumbusha mbali kabisa kuna wakaka wazuri mjini hapa?
halafu wakaka watamu utabaki nao kwenye akili na ndoto tu
life is not fair at all
Kumbe hii ndio njia inayo sababisha ukimwi usiishe[emoji45] [emoji45]Ukimwi hautaisha
Mhhhh....[emoji45] [emoji45] [emoji45]HUKUMPIGA PICHA?
MAFUNGU HAYA YATAKUSAIDIA - TAFAKARI
Yeremia 2:20 Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.
Ezekieli 16:15 Lakini uliutumainia uzuri wako, ukafanya mambo ya kikahaba kwa sababu ya sifa zako, ukamwaga mambo yako ya kikahaba juu ya kila mtu aliyepita; ulikuwa wake.
Ezekieli 16:22 Na katika machukizo yako yote, na mambo yako ya kikahaba, hukuzikumbuka siku za ujana wako, ulipokuwa uchi, huna nguo, ukawa ukigaagaa katika damu yako.
Naona umebadili avatar.Tanzania ina maajabu mengi! mi nilijua ni kupatwa kwa jua tu kumbe na binadamu pia?
Pengine jamaa amesha panda ndege yupo Mwanza au MbeyaNdio muone jinsi mnavyo tuumizaga pmbav.....
Anyway Kesho poteza siku, Kaa kituoni saa moja hadi saa tatu kuna possibility kubwa ukamuona tena.
Nilikua mimi aiseeee....[emoji39] [emoji39]Nshawahi kukutana na mkaka handsome ila ilikuwa kwenye mazingira ya kazi. Yule mkaka aisee dah acha tu.
Kuna dada mmoja nilisha wahi kukutana nae kwenye mgahawa alikuwa na jamaa ake nikashindwa kuvumilia nikafanya juu chini hadi nikapata number zake, jamaa ake alivyo simama kwenda kuosha mikono nikanyanyuka fasta nikampa Busines Card! Demu alikuwa amesha nishtukizia nikamrushia fasta nikasepaNshawahi kukutana na mkaka handsome ila ilikuwa kwenye mazingira ya kazi. Yule mkaka aisee dah acha tu.
Alikutafuta?.....maana binafsi nashindwaga maneno ya kumuanza mtu......Kuna dada mmoja nilisha wahi kukutana nae kwenye mgahawa alikuwa na jamaa ake nikashindwa kuvumilia nikafanya juu chini hadi nikapata number zake, jamaa ake alivyo simama kwenda kuosha mikono nikanyanyuka fasta nikampa Busines Card! Demu alikuwa amesha nishtukizia nikamrushia fasta nikasepa
Hahaaaa siyo kwa sura hiyo.Nilikua mimi aiseeee....[emoji39] [emoji39]
Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi
Acha wivu..Wanaume wanaotamaniwa na wanawake 90% ni maanisi