We mwanaume unikome!

We mwanaume unikome!

mwanamke mjinga sana wewe ndo umeamua kuniweka huku kisa sijazi shimo lako la kipenyo cha sm 10? anyway sura yako haistahili kupewa hela na huna radha yoyote, wapo wazuri wanaofaa kuwapa hela sio wewe unae nuka K. ( nimejibu badala ya mwanaume mwenzangu)
 
Mungu, aliposema Tuache zinaa hadi tutakapooana, na tutakapooana tutulie na wake na waume; alikuwa anayajua haya yanayoendelea.

Unaweza kuta wana uhusiano wa miaka hata 2 lakini tu kwasababu malengo yao hayajatimia na wamekwaruzana huko. Basi ndo kuja kutangazana Vibamia na Ubahiri.

Poleni sana Dada. Tumia muda wako kuchagua Chaguzi sahihi ili mtulie yasije jirudia haya tena.
 
Unatakiwa kutathimini kipato chako kama unataka kuwa na Machame na Marangu
Wa kawaida tu hao...dawa yao unamtembezea fimbo unam-damper unakamatia wife material maisha yanasogea.believe me,mwanamke hata kama ana maringo vipi na mwanaume maskini vipi ukishamtia ududu ukammwagia maji ya uzima kwako hana jambo la kukuringia tena ndo maana huyu kaja hapa gizani kulalamika ila moyoni mwake hatomsahau jamaa pamoja na mapungufu aliyoyaorodhesha hapa.mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu!
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Kha... Em shukuru upo n uzima bs! Mana ulivomuanika utadhan kambalitaka kukuua? Duhh
 
Aisee
b8e8822308762fa99e3ec14717202c10.jpg
 
Ukute una Bwawa unazingishia kibamia maana kuna wanawake huko chini ni shimo kama mfereji Wa mto malagalasi inakubidi uwe punda uweze kumridhisha
 
Back
Top Bottom