We mwanaume unikome!

We mwanaume unikome!

Mxuuuiiiii mwenyewe. Embu ukoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwani anakutongoza, ukakubari, uliweka mambo hadharani humu?? Iweje kuachana uanze kuweka mambo hadharani?? Jifunze kuwa mtu mzina na uzingatie maadali.
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Kama umempata asyebahili, anayejua mapenzi na mwenye muhogo mbona bado unamkumbuka mwenye kibamia huyo uliempata EM hakusahaulishi tu kibamia. kwani ukiniambia niende kijijini ndo wanataka vibamia au mabahili au wasiojua mapenzi. ipo shida kichwani mwone mshauri nasaha usahau ubaya wa kibamia. Nieache na kibamia changu....safari njema...
 
Pole sana...

Mvumilie ipo siku kitarefuka...

Mtaje na jina weka na picha yake umealize kazi kabisa...

Labda hana kitu ndiyo maana bahili....

Ujuzi wa mapenzi ni kufundishana, mfundishe vile unavyotaka akukule...


Cc: mahondaw
 
maskini huyo mkaka sijui mbaba ! jaman angalien sana na matusi ya kuwatukna wanaume zenyu (kwanza kwann umtukane shost)? inimejiskia vby ! we umwache tu ukute atakutana na anayekiwezea kibamia kama kapeace ! naamini hujayajua mapenzi bado ! una kasafari karefu saana!
Una busara sana...
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Mkuu kama ulibadili sampo ndo madhara yake ukila mihogo karoti hazipandi.
 
Aisee. Huu uzi ni kiboko ya wanaume wa jf. Wamekuwa wanyonge hatari.

Kama ni wa humu ungemchana huko PM bana na ndio ujumbe ungemfikia vizuri.
 
Mwambie mwanaume yoote lakinii sio kumfadhahisha sababu ya maumbile yake, ni dharau kubwa mnooo.

Kama yupo humu unafikiri anajisikiaje sasa!!! Je akipata mwingine unadhani atakuwa na uwezo kama kawaida???! Hapa ndo naamini wanaume wengi wanakosa nguvu za kiuume sababu ya midomo yetu!!!!!

Mwanaume akulale siku zoote husemi umemchoka ndo waanza kejeli, sio vizuri bwana. We umemchoka chukua hamsini zako tu, wanaume mjifunze sasa sii kila muonacho chang'aa ni dhahabu, vingine ni chupa na yaweza kukukata!!!!
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Mpumbavu kabisa, mbona wakat anakulala na ukamvulia chupi hukusema? Et uchi wa dezo si ungemwambia mapema kama unajiuza ili mshikaj ajue la kufanya, et hajui kufanya alikuwa anaingiza puani?
 
Back
Top Bottom