We mwanaume unikome!

We mwanaume unikome!

jichunguze na wewe je? una bwawa ama

#2. wewe tofauti na k.. unatoa nini kwenye mapenzi kama hakuna jua huna utofauti nae

3.ulishindwa nn kumulekeza

n.b ndege wafananao
 
Hahahaaa we bibie eb katafute forum ya wana daresalam upeleke huku Uzi wako maana sisi Wa mikoani hautuhusu!!
Sisi wa huku Malangari,no kibamia,ukiwa na kubamia kinakuzwa na dodoki na tunahonga sana magunia ya mahindi huku, tena Nimemwandalia kapeace gunia la mahindi ya pop corn, bila shaka yatampendeza sana
 
maskini huyo mkaka sijui mbaba ! jaman angalien sana na matusi ya kuwatukna wanaume zenyu (kwanza kwann umtukane shost)? inimejiskia vby ! we umwache tu ukute atakutana na anayekiwezea kibamia kama kapeace ! naamini hujayajua mapenzi bado ! una kasafari karefu saana!
"Sisi" wenye tu-bamia tunanyanyasika sana. Hivi kujinyonga inaruhusiwa?
 
Utafiti usio rasmi ,mwanamke anayependa pombe inasemeka pombe inamfanya aongezeke sehemu zake za siri,kwa hyo wanaume msipate shida hawa mabwawa wanayatafuta wao ,hakuna cha bamia wala mhogo ,nchi ya viwanda mabwawa kedekede,nazima data hadi kesho!!!!!
 
Hahaaaaa, hapo mbona hakuna tusi lolote. Kilichotokea ni kuwa bidada alikuwa kibiashara zaidi akakutana na mnunuzi "nadhani 900 itapendeza zaidi" kumbe si mnunuzi wa li papuchi oversize!
 
Kwa taarifa yako mimi sina kibamia,tatizo ni ukubwa wa bwawa lako hilo.Bora uende,nilikua nakuvumilia tu kwa mbizi nilizokua nazipiga.Kuhusu hela kamwombe babako la sivyo jitangaze kwamba wewe ni mfanyabiashara,unauza.
 
Back
Top Bottom