Uchaguzi 2020 We need a President who will restore Law, Order and Constitutional Rights

Uchaguzi 2020 We need a President who will restore Law, Order and Constitutional Rights

Rais ataendelea kuwa Magufuli mpaka 2025, na usishangae akatangazwa kwa 70% and above,

Tujiandae tu kisaikolojia mkuu

Asiposhinda atashindishwa
“We must maintain law and order at the highest level or we will cease to have a country”-Donald J Trump
 
In matters of truth and justice, there is no difference between large and small problems, for issues concerning the treatment of people are all the same.
Albert Einstein
 
Kizuri kitajiuza tu mwenyewe waendeleze kelele kwa kujinadi mbele ya makamera ta matv zote, ila bado Lissu ni credibility kubwa
 
Rais ataendelea kuwa Magufuli mpaka 2025, na usishangae akatangazwa kwa 70% and above,
Tujiandae tu kisaikolojia mkuu
Asiposhinda atashindishwa
Akishinda atatangazwa tu hamna namna! Kama unafahamu japo vitu vichache vya msingi kuhusu takwimu utakuwa unajua kuwa ushindi ni wa zaidi sana ya 80% na kwamba chini ya hapo, ndiyo kusema Chadema watahesabu kuwa wameshinda. Siyo vinginevyo
 
Wanajamvi,
Mara zote mataifa ya wenzetu, hata yale wafadhili mfano wachina na wamarekani, huwa wanatafuta rais ambaye yuko vizuri kwenye hitaji lao kuu la Taifa ambalo wananchi walio wengi wanakubaliana na lengo hilo na hivyo kumpata kiongozi atakayewafikisha kwenye malengo yao ya kitaifa.

Ni kweli tunahitaji sana viwanda ili tuweze kuwa na uchumi wa kati. Sera ambayo Rais aliyepo, ndugu Maghufuli, aliinadi kwa kupitia chama chake ccm. Hadi sasa hivi sioni tukielekea huko. Hatahivyo lengo kama sikosei ni kuwa Taifa lenye uchumi wa kati ifikapo 2025! Miaka chini ya sita kutoka sasa! Kiuhalisia, sidhani hata kama tumeshaweka hata misingi...

Kwa hali ilivyo ambapo ni vigumu kuhoji na hata kupata ripoti sahihi za wapi tumefikia kwenye agenda yetu hiyo! Ukiuliza, unaweza kuitwa msaliti au siyo mzalendo nk.

Lakini wananchi walio wengi, malalamiko yaliyopo ni kuhusu ukiukwaji wa wazi wazi kabisa wa sheria za nchi pamoja na haki zinazowalinda wananchi! Hakuna kipindi ambacho watanzania wamelilia utawala wa kisheria na mara nyingi katiba mpya kama ilivyo sasa. Matamanio hayo, yanaweza kuwafanya wakataka kuwa na rais ambaye atarudisha haki na sheria, kuwa nguzo kuu inapokuja kwenye uongozi. Kwamba anaweza kusimamia tukapata katiba ya wananchi kwa ajili ya wananchi na siyo katiba ya mtu mmoja ambaye anakuwa hahojiwi lolote mahali popote na yoyote yule! Ni kama Mungu mtu kabisa!

Hata mikataba mingi tunaingia hovyo hovyo na kuivunja hovyo hovyo, imesababishwa na hayo! Hakuna mfumo wa accountability ama uwajibikaji! jambo ambalo limetusababishia hasara kubwa chini ya tawala za ccm haswa uongozi huu uliopo.

Kuiweka kando kwanza idea ya viwanda, ni wazo la busara, tujipange, wenzetu ndivyo walivyofanya na si vurugu mechi! Ni muhimu ili nchi inyooshwe inavyotakiwa, ili tuweze kupata viongozi ambao watawajibika kwa wananchi waliomchaguwa na si vinginevyo!

Kwa namna ambavyo ccm imetuingiza ama imeliingizia Taifa hasara kubwa na hivyo kuendelea kuwa masikini, ni wazi kwamba ufisadi mkubwa uliokubuhu, chanzo chake ni mazoea ya kutokuwa watu wenye kufuata sheria za nchi kwasababu ya katiba mbovu inayomlinda mwenyekiti wa chama cha mafisadi ambapo anatokea kuwa na majukumu ya kuongoza wananchi wake wote bila ubaguzi wowote hata ule wa vyama!

Endapo “law and order” itakuwa ndiyo one of the main agendas uchaguzi ujao, basi honorary Lissu “is a good fit”

In matters of truth and justice, there is no difference between large and small problems, for issues concerning the treatment of people are all the same.
Albert Einstein


“We must maintain law and order at the highest level or we will cease to have a country”-Donald J Trump.
Kuna watu mna akili sana, upinzani inayo hazina ya hekima na mawazo bora kabisa.
Ila hapo mwishoni ulipotia kampeni ndiyo umeharibu.
Ila nakiunga mkono ulichokisema tukimpata mtu mwenye "law and order" conduct atatusaidia sana
1. kuvunja wizi wa kimikataba
2. Kutengeneza mahusiano mazuri na ulimwengu
3. Kuunda katiba ya watu wanavyotaka kuongozwa
Ujinga mwingi utapungua.
Hongera sana kwa mawazo mazuri


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mna akili sana, upinzani inayo hazina ya hekima na mawazo bora kabisa.
Ila hapo mwishoni ulipotia kampeni ndiyo umeharibu.
Ila nakiunga mkono ulichokisema tukimpata mtu mwenye "law and order" conduct atatusaidia sana
1. kuvunja wizi wa kimikataba
2. Kutengeneza mahusiano mazuri na ulimwengu
3. Kuunda katiba ya watu wanavyotaka kuongozwa
Ujinga mwingi utapungua.
Hongera sana kwa mawazo mazuri


Sent using Jamii Forums mobile app
Well said! Lakini si lazima uweke conclusion ama? Sijaweka kiushabiki. Ni wao tu, subjected to a discussion.
 
Kama mtu kama wewe asubuhi hadi jioni unalialia mtandaoni, wale wajinga flani wanwazamaandamano, kuvunja sheria,na kukesha majukwaani wakigomesha wananchi na kuacha kufanya kazi za kujenga taifa,lini tutafikia uchumi wakati. Mabosi wangu jitahidini kuacha siasa muda huu wa kazi hadi 2020 tutakapokuwa kwenye ngwe ingine kumtafuta rais mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu aingie madarakani alipiga marufuku shughuli zote za kisiasa kwa vyama vya upinzani, amezuia bunge kuoneshwa ni nini alichofanikisha kwa 100%?

Ni kukosa uelewa.
 
Waliomtangulia walishaanza kuiweka misingi hiyo; yeye amekuja, anaanza upya kuweka misingi yake!

Inatakiwa aanze kutangaza mwaka mwingine aliolenga yeye kuyafikia malengo anayopanga yatatufikisha kwenye uchumi huo wa Kati. Hiyo mipango iliyowekwa na wenzake haiwezekani tena kutufikisha huko.

Ngoja nikuulize swali moja tu: hivi ungemwambia Dangote leo hii aje awekeze kile kiwanda, atakubali kwa hali ilivyo sasa?
Sitetei mipango ya chinichini kama ilikuwepo wakati anakaribishwa; lakini hata ungempa mipango hiyo kwa mazingira yalivyo sasa, sina hakika kama angekubali.
Hakuna mwekezaji makini anayeweza kuja kuwekeza Tanzania kwa sasa kwa sababu nchi haikidhi vigezo vya kuwa friendly for investments. Kinachotokea ni kuwa wale wawekezaji makini wanaondoka Tanzania kimya kimya na kwa mwendo mkali.

Madhara ambayo imesababisha serikali ya awamu ya tano kwenye uwekezaji, inaweza kuchukua zaidi ya miaka 10 kuondoka kabisa hata kama leo hii tukibadilisha serikali.
 
Mkuu Los técnicos , Je kuna uwezekano wa kumpata kiongozi atakeye restore law and order kutoka ccm?

Mimi nadhani mle tayari kuna “too much conflicts of interests”. Hata chini ya Maghufuli imeonekana wazi. Hakuna ndani ya ccm anayeweza kututoa kwenye shimo walilochimba wao wenyewe.

“The same mindset that created the problem can never solve it”!
 
Nakubaliana na hoja kabisa!

Baada ya kumsikiliza Dr Waitamwa, ndipo nikaja na hili wazo! Inawezekana ni wengi wanaoona tatizo letu ni “absence of law and order”. Ndiyo maana mkuu wa mkoa anafanya mambo yanayoichafua taswira ya nchi, Mfano kuvamia studio za clouds, kuweka watu ndani kwa tuhuma za uongo za madawa ya kulevya! Tuhuma za utekaji, lakini eti anaambiwa chapa kazi!

Certainly kwenye Taifa lenye kufuata utawala wa kisheria na uwepo wa law and order, basi hayo yasingewezekana! Uwajibikaji ungekuwepo, Nape angekuwepo kazini, Ben Saanane pengine tungekuwa naye hapa! Lissu hasingehitaji upasuaji sujui mara ishirini na kuyabadilisja maisha yake moja kwa moja!
Kuna Watanzania wamegeuka kama waumini na watawala kama mapasta. kila wanachoambiawa imekuwa kama andiko takatifu. focus yao ni kwa mtu! ajabu kabisa. wanageuzwageuzwa kama ugali jikoni.
suluhisho ni hilo la "law and order". ni lazima tujitawale kupitia utaratibu tuliojiwekea na sio anaotuwekea mtu na baadae tunamsifu kwa mapimbio kama vile parapanda la mwisho linakuja leo.Watu wanatega masikio na kukodoa machao kujua nani anabisha "ajifanye kama anajikuna" kutishia nyau kumezidi tunataka law and oreder hawa maakida, maliwali na jumbe sawa na wa mjerumani wametuchosha!
 
Kuna Watanzania wamegeuka kama waumini na watawala kama mapasta. kila wanachoambiawa imekuwa kama andiko takatifu. focus yao ni kwa mtu! ajabu kabisa. wanageuzwageuzwa kama ugali jikoni.
suluhisho ni hilo la "law and order". ni lazima tujitawale kupitia utaratibu tuliojiwekea na sio anaotuwekea mtu na baadae tunamsifu kwa mapimbio kama vile parapanda la mwisho linakuja leo.Watu wanatega masikio na kukodoa machao kujua nani anabisha "ajifanye kama anajikuna" kutishia nyau kumezidi tunataka law and oreder hawa maakida, maliwali na jumbe sawa na wa mjerumani wametuchosha!
Well said! Nashukuru kwa kuelewa vyema kabisa! Stay blessed!
 
Rais ataendelea kuwa Magufuli mpaka 2025, na usishangae akatangazwa kwa 70% and above,

Tujiandae tu kisaikolojia mkuu

Asiposhinda atashindishwa
Wewe umeshajiandaa?
 
Kuna Watanzania wamegeuka kama waumini na watawala kama mapasta. kila wanachoambiawa imekuwa kama andiko takatifu. focus yao ni kwa mtu! ajabu kabisa. wanageuzwageuzwa kama ugali jikoni.
suluhisho ni hilo la "law and order". ni lazima tujitawale kupitia utaratibu tuliojiwekea na sio anaotuwekea mtu na baadae tunamsifu kwa mapimbio kama vile parapanda la mwisho linakuja leo.Watu wanatega masikio na kukodoa machao kujua nani anabisha "ajifanye kama anajikuna" kutishia nyau kumezidi tunataka law and oreder hawa maakida, maliwali na jumbe sawa na wa mjerumani wametuchosha!
Haya, muda umekaribia.
 
Hahaha law na order zipi, Magufuli kesha weka kuanzia ccm hakuna mtu kutia nia ya kugombea urais ccm bara bali yeye, hii tu ni law and order.
 
Wanajamvi,
Mara zote mataifa ya wenzetu, hata yale wafadhili mfano wachina na wamarekani, huwa wanatafuta rais ambaye yuko vizuri kwenye hitaji lao kuu la Taifa ambalo wananchi walio wengi wanakubaliana na lengo hilo na hivyo kumpata kiongozi atakayewafikisha kwenye malengo yao ya kitaifa.

Ni kweli tunahitaji sana viwanda ili tuweze kuwa na uchumi wa kati. Sera ambayo Rais aliyepo, ndugu Maghufuli, aliinadi kwa kupitia chama chake ccm. Hadi sasa hivi sioni tukielekea huko. Hatahivyo lengo kama sikosei ni kuwa Taifa lenye uchumi wa kati ifikapo 2025! Miaka chini ya sita kutoka sasa! Kiuhalisia, sidhani hata kama tumeshaweka hata misingi...

Kwa hali ilivyo ambapo ni vigumu kuhoji na hata kupata ripoti sahihi za wapi tumefikia kwenye agenda yetu hiyo! Ukiuliza, unaweza kuitwa msaliti au siyo mzalendo nk.

Lakini wananchi walio wengi, malalamiko yaliyopo ni kuhusu ukiukwaji wa wazi wazi kabisa wa sheria za nchi pamoja na haki zinazowalinda wananchi! Hakuna kipindi ambacho watanzania wamelilia utawala wa kisheria na mara nyingi katiba mpya kama ilivyo sasa. Matamanio hayo, yanaweza kuwafanya wakataka kuwa na rais ambaye atarudisha haki na sheria, kuwa nguzo kuu inapokuja kwenye uongozi. Kwamba anaweza kusimamia tukapata katiba ya wananchi kwa ajili ya wananchi na siyo katiba ya mtu mmoja ambaye anakuwa hahojiwi lolote mahali popote na yoyote yule! Ni kama Mungu mtu kabisa!

Hata mikataba mingi tunaingia hovyo hovyo na kuivunja hovyo hovyo, imesababishwa na hayo! Hakuna mfumo wa accountability ama uwajibikaji! jambo ambalo limetusababishia hasara kubwa chini ya tawala za ccm haswa uongozi huu uliopo.

Kuiweka kando kwanza idea ya viwanda, ni wazo la busara, tujipange, wenzetu ndivyo walivyofanya na si vurugu mechi! Ni muhimu ili nchi inyooshwe inavyotakiwa, ili tuweze kupata viongozi ambao watawajibika kwa wananchi waliomchaguwa na si vinginevyo!

Kwa namna ambavyo ccm imetuingiza ama imeliingizia Taifa hasara kubwa na hivyo kuendelea kuwa masikini, ni wazi kwamba ufisadi mkubwa uliokubuhu, chanzo chake ni mazoea ya kutokuwa watu wenye kufuata sheria za nchi kwasababu ya katiba mbovu inayomlinda mwenyekiti wa chama cha mafisadi ambapo anatokea kuwa na majukumu ya kuongoza wananchi wake wote bila ubaguzi wowote hata ule wa vyama!

Endapo “law and order” itakuwa ndiyo one of the main agendas uchaguzi ujao, basi honorary Lissu “is a good fit”

In matters of truth and justice, there is no difference between large and small problems, for issues concerning the treatment of people are all the same.
Albert Einstein


“We must maintain law and order at the highest level or we will cease to have a country”-Donald J Trump.
Mambo yamekuwa hovyo sana siku hizi.
 
Back
Top Bottom