Hahaha yeye keshajichagua, na anaamini kapita bila kupingwa. Tume yake, mwigulu wake, siro wake, AG wake , Mabeyo wake, who else are you thinking is going to win?!Ok, sikujuwa unazungumzia upande wa ccm.
Sasa wanafanya mipango wapite bila kupingwa wote hadi wabunge iwe kama serikali za mitaa.