Tatizo la Simba sio kocha pekee. Simba ina kocha m'bovu na wachezaji wachovu waliotumika miaka mingi. Mzamiru, Kapombe, Zimbwe, Saido na, Chama hawawezi kuipa mafanikio tena. Halafu kuna wachezaji wasio na kiwango cha kucheza Simba kama Kanoute, Onana, na Miquisson.
Pia anaesimamia suala zima la usajili Simba amefeli vibaya mno.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.Kibu alikuwa kashika hirizi ya timu. Alivyotoka yeye Simba wakapoteana
True, chini ya Hersi Yanga itafanya makubwa sana. Yule jamaa ni mtu wa mpira.That is very true brother upo sahihi sana
Naanza kuamini Injinia anakitu cha kipekee
Pole mkubali mtakuwa na wiki chafu😂😂😂Wanasimba Poleni. Ni msiba.
Hata Al ahly walipaswa kuwafunga hivi
Tuliwaonya tangu na Kabla na huyu mzee wa Objective football.
How could it be so possible
Chama Out
Baleka out
Kibu out
Yule talk out
At the same time !!!!!!!!! game Kama hii
Hata Manula was not supposed to be kwenye list
Bado mnaimani huyu mzee wa Objective football?
Hawafikishi kaanani
Ni msanii na hana kitu…. Ana bahatisha
Endeeleni kuamini maneno yake ya kitapeli
Na mambo ya Objective football my foot
Tunaendelea kuwaonya
Huyu sio KOCHA
Mzee leo umewaweka juu ya meza vitano vya haraka😂😂😂Kibu alikuwa kashika hirizi ya timu. Alivyotoka yeye Simba wakapoteana
Kama kwenye timu yako unatemtegemea mchezaji kama kibu ili upate matokeo basi hauna timu hapo,ni sawa sawa na kuwa mtu wa kwanza kwenye darasa la Vilaza.Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yana waza tuu utopolo yani....Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nakuheshimu mtani ila.ongea ki mpira...Kibu ndo anaecheza vzr kwa sasa...hakutakiwa kutoka...Kibu alikuwa kashika hirizi ya timu. Alivyotoka yeye Simba wakapoteana
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..
-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers
-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- simba haichezi soka inayoeleweka
- timu wachezaji haina nguvu
- line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze
- subirini, championship league, hata robo sijui.
Shame to BOARD OF SIMBA
Wanasimba Poleni. Ni msiba.
Hata Al ahly walipaswa kuwafunga hivi
Tuliwaonya tangu na Kabla na huyu mzee wa Objective football.
How could it be so possible
Chama Out
Baleka out
Kibu out
Yule talk out
At the same time !!!!!!!!! game Kama hii
Hata Manula was not supposed to be kwenye list
Bado mnaimani huyu mzee wa Objective football?
Hawafikishi kaanani
Ni msanii na hana kitu…. Ana bahatisha
Endeeleni kuamini maneno yake ya kitapeli
Na mambo ya Objective football my foot
Tunaendelea kuwaonya
Huyu sio KOCHA
Kwa hiyo unadhani tatizo ni uteuzi wa mgeni rasmi?Ushindi wa Leo umwendee Ahmed Ally. Jamaa alikuwa anaongea kinyesi kwelikweli. Huyu alipaswa kuwa muimba taarabu angefaa sana.
Sahihi kabisa.Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Aliumia ili lazmu atoke TuNakuheshimu mtani ila.ongea ki mpira...Kibu ndo anaecheza vzr kwa sasa...hakutakiwa kutoka...
Au tubadili shilingi iwe ni nyie mmenloga kocha akafanya maamuzi mabaya?.
Kibu hakutolewa kwa kupenda, Bali aliumia, so huwezi kumlaumu Kocha.Nakuheshimu mtani ila.ongea ki mpira...Kibu ndo anaecheza vzr kwa sasa...hakutakiwa kutoka...
Au tubadili shilingi iwe ni nyie mmenloga kocha akafanya maamuzi mabaya?.