We Warned You, Objective Football sio Kocha

We Warned You, Objective Football sio Kocha

Tatizo la Simba sio kocha pekee. Simba ina kocha m'bovu na wachezaji wachovu waliotumika miaka mingi. Mzamiru, Kapombe, Zimbwe, Saido na, Chama hawawezi kuipa mafanikio tena. Halafu kuna wachezaji wasio na kiwango cha kucheza Simba kama Kanoute, Onana, na Miquisson.

Pia anaesimamia suala zima la usajili Simba amefeli vibaya mno.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app

That is very true brother upo sahihi sana

Naanza kuamini Injinia anakitu cha kipekee
 
Kibu alikuwa kashika hirizi ya timu. Alivyotoka yeye Simba wakapoteana
Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Wanasimba Poleni. Ni msiba.
Hata Al ahly walipaswa kuwafunga hivi

Tuliwaonya tangu na Kabla na huyu mzee wa Objective football.

How could it be so possible
Chama Out
Baleka out
Kibu out
Yule talk out
At the same time !!!!!!!!! game Kama hii


Hata Manula was not supposed to be kwenye list

Bado mnaimani huyu mzee wa Objective football?
Hawafikishi kaanani

Ni msanii na hana kitu…. Ana bahatisha

Endeeleni kuamini maneno yake ya kitapeli

Na mambo ya Objective football my foot

Tunaendelea kuwaonya
Huyu sio KOCHA
Pole mkubali mtakuwa na wiki chafu😂😂😂
 
Wanasimba tuanze kurudisha kadi hadi kocha atimuliwe
 
Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kama kwenye timu yako unatemtegemea mchezaji kama kibu ili upate matokeo basi hauna timu hapo,ni sawa sawa na kuwa mtu wa kwanza kwenye darasa la Vilaza.
 
Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yana waza tuu utopolo yani....
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers
  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze
-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers
  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze
-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA

Mimi nadhan wajifunze kwa injinia

Haya mambo ya kuwekeza mitandaoni inawalostisha
 
Wanasimba Poleni. Ni msiba.
Hata Al ahly walipaswa kuwafunga hivi

Tuliwaonya tangu na Kabla na huyu mzee wa Objective football.

How could it be so possible
Chama Out
Baleka out
Kibu out
Yule talk out
At the same time !!!!!!!!! game Kama hii


Hata Manula was not supposed to be kwenye list

Bado mnaimani huyu mzee wa Objective football?
Hawafikishi kaanani

Ni msanii na hana kitu…. Ana bahatisha

Endeeleni kuamini maneno yake ya kitapeli

Na mambo ya Objective football my foot

Tunaendelea kuwaonya
Huyu sio KOCHA

Ngoja wapigwe maana watu wanaambiwa hawasikii. Piga kabisa.
 
Sio hirizi, Kibu ndo mchezaji pekee aliekamilika pale Simba. Fitness level ipo juu, ana shoot, ana dribble, anakaba, na ana energy ya kutosha. Hakuna mchezaji wa kufanana nae pale Simba kwaiyo akitoka lazima pengo lionekane.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa.
 
Nakuheshimu mtani ila.ongea ki mpira...Kibu ndo anaecheza vzr kwa sasa...hakutakiwa kutoka...
Au tubadili shilingi iwe ni nyie mmenloga kocha akafanya maamuzi mabaya?.
Kibu hakutolewa kwa kupenda, Bali aliumia, so huwezi kumlaumu Kocha.

Na unaposema Kibu ndio mchezaji anayecheza vizuri kwasasa, ni sawa na kusema yeye ndio tegemeo kwenye timu kwa wakati huu. Hii kauli inakinzana na kauli zenu mnazosemaga kuwa kikosi chenu kipo imara.
 
Back
Top Bottom