Ilikuja Q-NET tukaona Waziri Kigwangala akihusika ufunguzi wa ofisi
Ukienda Website ya JATU unakutana na picha kubwa ya Mzee Pinda na Waziri Mhagama.
Lakini mwisho wa siku ni wananchi kulia kutapeliwa pesa zao. Hawa viongozi wametumika kujenga imani za wananchi kutoa pesa zao.
Bado najiuliza tuna viongozi wa aina gani nchi hii ambapo watu wakubwa wanasapoti mambo ambayo mwisho wa siku yanatumika kutapeli watu.
Tunahitaji mwongozo katika maadili ya viongozi, mtu akishiriki katika jambo ambalo baadae linakuwa la utapeli akiwa kiongozi na kiongozi huyo achukuliwe hatua maana status zao ni vigezo vinavyotumika kushawishi watu kutoa pesa.
Naomba kuwasilisha
Ukienda Website ya JATU unakutana na picha kubwa ya Mzee Pinda na Waziri Mhagama.
Lakini mwisho wa siku ni wananchi kulia kutapeliwa pesa zao. Hawa viongozi wametumika kujenga imani za wananchi kutoa pesa zao.
Bado najiuliza tuna viongozi wa aina gani nchi hii ambapo watu wakubwa wanasapoti mambo ambayo mwisho wa siku yanatumika kutapeli watu.
Tunahitaji mwongozo katika maadili ya viongozi, mtu akishiriki katika jambo ambalo baadae linakuwa la utapeli akiwa kiongozi na kiongozi huyo achukuliwe hatua maana status zao ni vigezo vinavyotumika kushawishi watu kutoa pesa.
Naomba kuwasilisha