Week end Special

Hata wewe unajistukia....etu brutus????
hehehe Shantel bana! wewe mwenyewe hii sredi unaikimbia, na wachangiaji wengine waliposhtukia tego wakaamua kuizungumzia ndoa ya Nyumba Kubwa hehehe JF bana!
 
Hii ngumu kumeza. A guy acheat alafu bado niseme eti ananipenda? Hapana kwakweli, hili huwa siliamini hata kidogo!

Hivi nyinyi mumewahi kujiuliza kwanini wazee wetu walihalalisha Jacob Zuma style?
mwanamke mmoja akipata kidume rijali kimoja kinamtosha kabisa na anaweza akaenda kushtaki kwa ovadozi, lakini mwanaume rijali kuamua kuishi na mwanamke mmoja ni big sacrifice na anastahili medali (jamani hii ni nature sio maneno yangu)
 
hehehe Shantel bana! wewe mwenyewe hii sredi unaikimbia, na wachangiaji wengine waliposhtukia tego wakaamua kuizungumzia ndoa ya Nyumba Kubwa hehehe JF bana!
Sikukimbia nilikuwa na harusi ya shosti jana ila niliiacha safe kwa ashadii au,kuhusu NK si maoni yao tu! au
 

the first step is always marked by desire and the last step signs the existance of true luv.
 
It simz siku hizi hata kinyume chake ni true....why tunahalalisha haya? au tupo weak?
 
<br />
<br />
Tuko pamoja kwenye hili
 
Shantel, kama umetamani au uko kwenye process jiulize mara mbili kwanza, nilivyoona kama uko dilemma Mungu akusaidie usiwe unatamaniana na mtu mmoja hivi humu, maumivu, PM,kwa kweli kutamani ila inabidi uangalie unatamani nani na wapi
Mtu anaweza kuwa mbaya kwa mwingine na mzuri kwa mwingine huwezi jua, ila nilivomsoma shantel ni maoni yake tu
 
Shantel, hii hali ipo, na ni kweli stranger anaweza kuwa mpenzi mzuri tu, ila inategemea na wewe mwenyewe ujiulize, why stranger, ni penzi kweli au ni matamanio tu, wapo wengi tu waliodondokea mikononi mwa mastranger na bado wakawa wapenzi wazuri sanasana tu

na sentesi zako ya kwanza na ya pili zina maana kubwa sana coz sometimes zimwi likujualo halikuli likakwisha
 
Nyani Ngabu umechambua vyema sana
 
wacha bana!!!!


 
Mtu anaweza kuwa mbaya kwa mwingine na mzuri kwa mwingine huwezi jua, ila nilivomsoma shantel ni maoni yake tu
ya ni maoni tu Dinnah, nilikuwa nasoma article moja ndio mawazo yakanijia
 
Gaga,,,you mean this
Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,


Nashukuru kwa kuzikubali
 
Gaga,,,you mean this
Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,


Nashukuru kwa kuzikubali
maaana nzito sana
 


Sikua na nia hio... hapa niitaka niseme sija kujugde... ila niliporejea post yangu nikakuta ni kweli.... Hivo naomba NISAMEHE...

Huo mtazamo wa mwanaume akikucheat then he is not in to you... Bahati mbaya mie siamini hivo... anaweza akacheat na akawa in to me, Haya mambo yaache tu... Circumtances za kucheat zimetofautiana saaana, hivo nayo pia counts (as in where was he alipocheat na when...nayo ni mhimu ku observe); Nitolee mfano ulowazi... kwa mwanaume kenda maybe kusoma nje akakuacha wewe Mpenzi wake hapa Tz, kama ni mwanaume wangu (na najua ni rijali hasa) Sitaamini kua kakaa miezi yooote tisa bila kukutana na Mwanamke... I wont believe it for i am too realistic for that! Sina maana kua nakubaliana na hio tabia... Sina maana kua nachekea... wala sina maaana kua yeye ana haki ya kufanya hivo... na wala sina maana kua sababu nitatambua hilo basi namimi nitafanya.... Najithamini mno kufanya huo upuuzi - labda iwe factors zingine...
 

Kaka, habari ya kuadimika?
 
kweli kabisa hapa kinachotakiwa ni kuamini tu na kujipa moyo japokuwa kihalisia unajua kabisa nini kinaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…