Weekend: Aliyetayari kwa Malavidevi weekend hii Dom.

Weekend: Aliyetayari kwa Malavidevi weekend hii Dom.

Status
Not open for further replies.
nipo nasubiri tu leo.
 
mmmmmmmmmmmmmh! halafu ushindwe kazi sasa:A S embarassed:
 
Dogo yuko fast kishenzi!
Si upande tu tax au daladala ushuke pale udom upate utakacho.
Mabinti wa humu ni great thinkers haswa! hawapatikani kwa haraka kihivyo.
 
Dogo yuko fast kishenzi!
Si upande tu tax au daladala ushuke pale udom upate utakacho.
Mabinti wa humu ni great thinkers haswa! hawapatikani kwa haraka kihivyo.
Nina imani nitapata tu!
 
Nina imani nitapata tu!

It is ok my young bro!
sasa nikupe deal? we shuka hapa udom niko na binti member wa jf hapa nikutambulishe kwake ili umpe hayo ulosema.
 
We Jamaa ni noma, Hakya Mungu vile!!
 
*Starehe zitakuponza,itakwaje ukutane na mtu leo,hujui tabia yake,hajui yako,hamfahamiani na kuanza malavidavi leo?wangapi uliowapata kwa style hiyo?nakushauri kama umeamua tafuta wale wa kuwanunua ili kuokoa mda.
 
Haya bana...maisha ni kujipanga nawe naona umejipanga vizuri sn.
 
It is ok my young bro!
sasa nikupe deal? we shuka hapa udom niko na binti member wa jf hapa nikutambulishe kwake ili umpe hayo ulosema.

PM ndugu yangu masuala ya kuja huko hayatasaidia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom