Usisahau kushushia na dengeNakula makande nliyoyapika kwa utuvu siku ya leo na kikombe changu cha chai ya kijani pembeni,..naam,naburudika hapa nyumbani huku ndege wakikuna masikio yangu kwa nong'onezo zao..
So unaenda pestana ,Basi nipitie tuende wote!Sijakuelewa..unamaanisha??
Haina nomaNamalizia kupaka rangi hapa square Basi tukutane huko huko
Karibu FelisterHaha au sio
Basi sawa
Ngoja nipaulizie,nibadili gia angani..Sahivi nenda msalato au lala tu
Mambo haya hayana bouncerHahahahahaa wewe si sexless
Okay nina kuPM..So unaenda pestana ,Basi nipitie tuende wote!
Mi tayari nishati timu mnadani nakula nyama...njoo fastaBaada ya mihangaiko ya week Leo naamini umepata wasaha wa kupumzika ,wapo ambao wapo nyumbani,wengine bar, wengine kanisani wengine wamelala toka asubuhi wengine vijiweni
Mwenzenu toka asubuhi nipo home kupika, kufua, na usafi wa jumla mida hii nipo mahali natengeneza kucha
#Tuambie upo wapi na unafanya nini
Wa makao makuu Kama Kuna anayeenda mnadani (kula nyama) anijuze
Hahah hiyo nimemuona kashukia kituo chastand ya zamani songas kavaa ka jeans na blauz flan amaizing.Nipo najiandaa na show kwa kupaka puturuu demu kasema kafika segrerea anasubiri gari za kinyerezi
This time around imefanyikia wapi??
Poa poa natuwa hapo mda si mrefuMi tayari nishati timu mnadani nakula nyama...njoo fasta
Ndo mpo na mobeto eehe
Shuka ka zangu mbona ?
Mbona mto wa pili Hauna mtu mkuu Jr?
Sawa mkuu kula nchi