Weekend hii upo wapi na unafanya nini

Weekend hii upo wapi na unafanya nini

Nakula makande nliyoyapika kwa utuvu siku ya leo na kikombe changu cha chai ya kijani pembeni,..naam,naburudika hapa nyumbani huku ndege wakikuna masikio yangu kwa nong'onezo zao..
Usisahau kushushia na denge
 
Baada ya mihangaiko ya week Leo naamini umepata wasaha wa kupumzika ,wapo ambao wapo nyumbani,wengine bar, wengine kanisani wengine wamelala toka asubuhi wengine vijiweni

Mwenzenu toka asubuhi nipo home kupika, kufua, na usafi wa jumla mida hii nipo mahali natengeneza kucha


#Tuambie upo wapi na unafanya nini

Wa makao makuu Kama Kuna anayeenda mnadani (kula nyama) anijuze
Mi tayari nishati timu mnadani nakula nyama...njoo fasta
 
.
1564235580768.jpeg
 
Back
Top Bottom