Weekend hii upo wapi na unafanya nini

Nakula makande nliyoyapika kwa utuvu siku ya leo na kikombe changu cha chai ya kijani pembeni,..naam,naburudika hapa nyumbani huku ndege wakikuna masikio yangu kwa nong'onezo zao..

Yaani wewe nakula aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hongera Mimi Nipo safarini naelekea Mars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…