Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #81
Tatizo ni kupingana na asili, ni sawa na kulazimisha gari ndogo ivute lori kwa sababu ni maamuzi binafsiHapana mkuu, huu sio ubinafsi bali haya ni MAAMUZI BINAFSI.
ha ha ha utatupa mrejesho kitakachofuataHome na wife..nataka nijipe zamu ya kumpikia
Tatizo ni kupingana na asili, ni sawa na kulazimisha gari ndogo ivute lori kwa sababu ni maamuzi binafsi
Piga kelele moja kwa liroo akeNtakuwa na my little baby girl Heaven Sent
kelele ya tatu kwa liroo akeeeeeePiga kelele moja kwa liroo ake
Unadhan nini cha ziada niongeze zaidi ya nyama choma na ndizi zangu za kukaanga pembeni nilizoandaa Mimi ?
😃😃Mpare na bata wapi na wapi na wewe😉! Raha ya bata mkutane wote mnajua kula bata....! Sio mnafika Mafia unaanza kuuliza kila aina ya kinywaji na bei zake..nusu saa nzima unauliza bei za misosi..!aku!
wordsMtoa mada lengo lako ni watu waseme watakuwa na mademu,ndio maana mtu akisema tofauti na wewe unaleta hoja za ziada.
Maisha ni zaidi ya NGONO.
Stay safe
😃😃😃Nitoke na jitu linalokunywa pepsi tena ya moto inahuuu??unatoka out na men ana laki??? Si bora kulala mkuu😉!
Mimi ndo nikutake wewe sio wewe unitake mimi😌😌😌😌😌😌! Toka lini majimama yakatongozwa? Yanatongoza babu weee!😤😤😤😤😤😤😤😤
Hata weekend hazikwepo piaKabla ya wakoloni (waarabu na wazungu) kutuleta imani zao barani Afrika, weekend tulikuwa tunafanya nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mane mimi najua wewe ni msukuma ila unabehave kama mzaramo kwa nini lakini?Nitoke na jitu linalokunywa pepsi tena ya moto inahuuu??unatoka out na men ana laki??? Si bora kulala mkuu[emoji6]!
Mimi ndo nikutake wewe sio wewe unitake mimi[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]! Toka lini majimama yakatongozwa? Yanatongoza babu weee![emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Hahahahakelele ya tatu kwa liroo akeeeeee
ha ha ha tulikuwa tunaishi kisokweHata weekend hazikwepo pia
Duh![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mane mimi najua wewe ni msukuma ila unabehave kama mzaramo kwa nini lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa ngumi za uso!