joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
Daaaaah basi fanya mpango wa hawa ambao wanataka ndoa sasaWa hivyo nenda las vegas au Le grand cassinos utawakuta pesa yako tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaah basi fanya mpango wa hawa ambao wanataka ndoa sasaWa hivyo nenda las vegas au Le grand cassinos utawakuta pesa yako tu.
Hawataki ndoa bali wanakutumia kingono, utapigwa mijeledi wewe, utafungwa mikono na miguu, utalazimishwa kulamba kila mahali ili mradi tu fujo sababu wewe unakua 'slave' wake... humuachi mpaka akuache yeye.. sharti uwe mweusi tii pia uwe na 'hogo' sio 'kidole'Daaaaah basi fanya mpango wa hawa ambao wanataka ndoa sasa
Hahahahaa Teh teh teh. Hao. Ndo wazuri maana APA. Na ...mwka sijagegeda atakubari tu hogo lipo LA kutoshaa we fanya .mambo tu lazima mzungu akimbie na ajue sisi . ndo wa naume wa mikoaniHawataki ndoa bali wanakutum_ia kingono, utapigwa mijeledi wewe, utafungwa mikono na miguu, utalazimishwa kulamba kila mahali ili mradi tu fujo sababu wewe unakua 'slave' wake... humuachi mpaka akuache yeye.. sharti uwe mweusi tii pia uwe na 'hogo' sio 'kidole'
[emoji4][emoji4][emoji1]
Nimekumbuka 50 Shades of GreyHawataki ndoa bali wanakutumia kingono, utapigwa mijeledi wewe, utafungwa mikono na miguu, utalazimishwa kulamba kila mahali ili mradi tu fujo sababu wewe unakua 'slave' wake... humuachi mpaka akuache yeye.. sharti uwe mweusi tii pia uwe na 'hogo' sio 'kidole'
[emoji4][emoji4][emoji1]
Ewaaa.... ndio wanapenda sasa mambo kama hayo.Nimekumbuka 50 Shades of Grey
Hayo ndiyo manenoNitakuwa mtu wa kwanza kung'oa mzungu kwa 90 tu
Kaka zetu wa kikurya na kisukuma hawataeza zile shurba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wabakie tu na sisi ndugu zao wenye mizigoEwaaa.... ndio wanapenda sasa mambo kama hayo.
Fanya diet umbo liwe kama Nandi au Rubi halafu mrefu kidoogo watakufuata wenyewe ukitembelea maeneo yao.Ataweza tu sio kwa uchumi huu wa jiwe. Na mimi niunganishie mzungu nikaishi nje.
Nikifika umbo la Nandi ntaambiwa nimethirika. Kwanza sipendi watu wenye ngozi nyeupe kabisaa. Nilijaribugi mmoja enzi hizo nikanawa mikono. Mi napambana na waafrica wanaolewa mwanamke nyama sio hao wanaotaka mifupa. Sema nao wamebadilika siku hizi wanatutongoza hadi vibonge [emoji23][emoji23]Fanya diet umbo liwe kama Nandi au Rubi halafu mrefu kidoogo watakufuata wenyewe ukitembelea maeneo yao.
Wazungu wastaarabu wapo wengi tu ila hapa tunazungumzia kasumba ambavyo ni sawa na wazungu washamba wanavyodhani Afrika tunaishi kwenye miti na wanyamaKaka zetu wa kikurya na kisukuma hawataeza zile shurba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wabakie tu na sisi ndugu zao wenye mizigo
wewe huwanyenyekei?Kupitia huu uzi, ninazidi kuuona ujinga wa Watanzania ulivyo.Hivi mtajishusha mpaka lini kama wenyewe mmeshaanza kujidharau hivi mnatarajia kuna watu watawaheshimu?
Mnawanyenyekea sana wazungu kama Miungu yenu.
Unataka nikujibu vipi?wewe huwanyenyekei?
kuna sehemu nimekuelekeza unavyotakiwa kunijibu?Unataka nikujibu vipi?
Unataka nikujibu vipi?kuna sehemu nimekuelekeza unavyotakiwa kunijibu?
Sawa kaka Mkubwa samahani kwa kukushobokea mtu kama wewe.Unataka nikujibu vipi?
Embu acha tabia za kushobokea shobokea watu hovyo .
YeesWazungu wastaarabu wapo wengi tu ila hapa tunazungumzia kasumba ambavyo ni sawa na wazungu washamba wanavyodhani Afrika tunaishi kwenye miti na wanyama
Ndio hivyo wengine hatupendi mazoea mazoea humu .Tumejiunga humu JF kuchota habari hatujajiunga ili kuzoeana zoeana na watu hovyo kaa ukilijua hilo.Sawa.