Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kwa huzuniUmeitoa moyoni kabisa mkuu[emoji23][emoji23]
Hatuna namna acha tu tuvumilieBoys tunapigwa sana kwenye suala la mahusiano.
Jana mi nimepigwa Chipsi za 3000 Kuku Robo na JUICE 2000 baada ya kupata alichotaka akaniambia anaondoka atanipigia anawai kwao Daah nimelala kwa shida sana.Tena kwa huzuni
Unampaje wewe kabla ajakupa yeye? Inabidi atoe huduma ndio ahudumiweJana mi nimepigwa Chipsi za 3000 Kuku Robo na JUICE 2000 baada ya kupata alichotaka akaniambia anaondoka atanipigia anawai kwao Daah nimelala kwa shida sana.
Kweli aisee na hapo wewe utajiskia vizuri babe anakuwaza😂 unafki huuAlaf akitoka huko ndio anakwambia " yan hapo nipo bored nataman ata ungekuwa karibu"
Mkuu nilijifanya kumtoa dinna ili niweeked nae.Unampaje wewe kabla ajakupa yeye? Inabidi atoe huduma ndio ahudumiwe
Umejuaje ni mimi , labda mimi ndiye nimeambiwa hivo🤔😄Ila wewe kwa hiyo umemwambia hivyo baby wako ili ukachepuke[emoji23][emoji23]
Sure..bia hazina hizi mambo za kudanganyanaPombe hazinaa haya majibu ya kuudhiii