Njoo uchukue hela ya weekend basi manzeeππππππaah we naijua na hiyo
Mko watano hio si Spacio nzima kabisa!πππtuko wa5 tu hata sio wengi
ππππππhatuweziWaambie wao warudi. Ww njoo π π
Itume kwa namba yangu tu ileile sijabadilishaNjoo uchukue hela ya weekend basi manzee
Ilibaki kidogo sana uwe utoko[emoji38][emoji38][emoji38] yes leo nataka gari iwake mapemaa
π π π Hata Novida hawapatiWaache waje uwanunulie NOVIDA moya moya total itakua 2400 pesa kidogo sana iyo
SiweziAcha ushamba bidada
Nipo tayari kuwaspoil kivyovyote watakavyotaka, ila waje wamenyoa vipara, no wigs allowed π π πππππππhatuwezi
We donβt do wigsNipo tayari kuwaspoil kivyovyote watakavyotaka, ila waje wamenyoa vipara, no wigs allowed π π π
Rudi tena basi mrembo π€¦Nimetoka hapo muda si mrefu
AkhuuuNende tu ukachukue na mapochopocho mengne[emoji23][emoji23]
Ah wapi nishafika mbaliRudi tena basi mrembo π€¦
Hili swali niliulizwa Jana na shemej yangu (mke wa bro) eti "huku mjini watu huwa wanalala saa ngapi" nikamwambia ale maisha ya mjini ayaache huku huku mjini,j3 anarudi zake Kayenze πUkiwa baadhi ya sehemu mpk unajiuliza watu wanalala saa ngapi? Kesho ni j3 je wote ni wajasiriamali au maboss?