Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da lara mi napokupendea hapo pa kwenye kunipa elimu bila ada.. hii advice nshaiandika kwenye notebook.. can't wait for next episodeLara 1: So who was your second best shot here at MMU! ( We know mbeba box has to be the best! $20,000! He has to be) And why did it not last! What’s went down! What pointers can you give us!
WOTP: Man of the people of course! Why exactly! I can say it directly! Lakini mambo mengi kiukweli! Nita jaribu kuwaelewesha kidogo! Mnajua mambo ya moyo yako complex!
In short kwanza MOTP is loaded! It’s not news! It is a fact well known! His pockets ran deep! At the time! And he was so generous! Actually generosity was his middle name! Baada ya ile story ya MOTP nikajua tu kama kuna danga MMU la caliber uliyozungumzia lazima nilipate!
Lara muongo muongo sometimes Ila that day of the few days I felt in my heart you were telling the truth! Na nilijisikia kabisaa Nina connection na MOTP! If not him then absolutely his deep pockets!
Nikakufata PM ukanikaziaaa! Huelewekiii! And I was direct MOTP ni naniiii? Unaingia huku na unatokaaa! Na ulijua kabisaa I was in rocks! Kwanini ulininyimaaa sijui exactly! Perhaps you were bagging him yourself then! You didn’t want to share! Either way I was gonna have him!
Nikahangaikaaa sanaaa kujua MOTP ni naniiii? Nilitapeliewa na mbuzi kama 2 hivi! Trying to pose as MOTP! Nimechat nazooo mmmmh nikaonaaa hapa naingiziwa kingiii! MOTP anakwambia mkutaneee baaa za Sinza! Unaiuliza unakunywa nini castle light! Wakati MOTP hanywiiii! Mxiuuuuuu!
Nikaonaaa sasa if I really need to find MOTP, Ngoja ni invest kwa Modes! Nikakaa kikao na modes mmoja! Akaja kuniambia kwa uchunguzi wake MOTP anatumia ID flani naitia kapuniii!
Nikamzamia PM! Kingeee kimenyooka! Nikasema maybe! Modes pia hwaaminiki sanaa ukuta kanipa ID yake anitafuneeee! Hahahaaaa! Mjini hapaaa!
Trust me MOTP is hard to get! Very hard to get! Na ni BAZAZIIII! Maluuuni mbwa! He wants you to be direct! Hataki chenga chenga za Morrison nyingiiii! Anachotaka ni kimojaaa tu, useme uko tayari kumpa papa! Baaaas! Hatongozi yuleeee! Unajitongozeshaaaa! Unajitumishaaa picha, na unajipeleka guest house! Na nguo unavuaaaa na unaikaliaaa mwenyeweee! Pesa za MMU ngumu sanaaa asikudanganye mtu!
Mimi hili file lake nilikuwa nimepewaaa! Sikuaminiii kama atakuwa fedhuliiii kiasi hikoooo! Hata kama ana pesaaaa! Sio Kihivooo! Bwanaaaa nyieeee lisemwalo lipoooo!!!! Nimeji piga sound PM weeee! Mpaka ! Mwezi ukakata na 0 progresss! Nikamtumia picha kumtia ndimuuuu! Wapiiiii! No progress!
Nikaonaaa nitafeliii hapa! I need his money! I really do! Nikaamua kwenda anavotaka yeye! Nikamwambia nimekuelewa kweli MOTP nahisi kama mambo yetu yake ya wakubwa utakuwa fiti! Aaaaaaahhh! Password ikafunguka! Mwanaume malayaaaa hatariiii! Hapo hapo akaniomba namba za simu! Baba ana piga simu 24/7 mda wote chat! Anauliza lini sasa nikashuhudie ufundiiii!
Nikamwambia njoo kwanza Unione mtoto hapa! Sio kukimbilia mechi! Ujue wanawake wenzangu if you have nothing to offer on the table tha pussy make sure ushachukuaaa chako mapemaaa! Maaana huwezi Jua matokeo ya mechi! Mpira dakika 90! Unaweza under perform! Alafu Ikala kwako!
MOTP Mzee wa Masaki, Yesyes kibaooo! Kaibukaaa Mwananyamala! Parking hamna unatembeaaa mbali ndo ufike! Na suit yake Jua la saa 7 kaibukaaa! Papaaaa hio inatafutwa! Akauliziaaa! Si mnajua uswaziii! Nilipitiwa simu kuna Zee La mi suit linakutafuta hukuuu! Lina gari moja ya hatariiii! Tulielekeze au tulishushe bondeni tukalisachiii! Nikawatishaaa serikaliiii hio wanangu kaeni kwa kutuliaaa!
Nikajua atalalamika uswaziii sanaa! Walaaaa! Tena aakaona barafu za 100, anaulzia ya ukwaju Ipo! Nipe Nile! Kitambooo sanaaa! Hahaaaaaa! Niamuuliza sasa matumizi yako wapi! Anasema nimekufata twende shopping!
Mwanangu nae kirangaaa! Anauliza mama! Mamaa! Huyu nani? Aka jibu Uncle mwanangu! Mtoto na mwanambia kacheze na Wenzio anasema nataka nikae na uncle! Mmmmmh! Moto hii ya mwendo kasi!
Tukaenda Namanga nimechukua vitu vya 800,000! Nido kubwa box zimaaa! Sabuni box, mafuta carton! Mwendo wa carton! Akaniuliza unataka kufungua duka! Nampamba wewe si MOTP mtu na pesa zako! Aaaaah! Anacheka
Cheka! Moyoni nasema tulia uchunweee!
Vitu vikapelekwa nyumbani na Kirikuuu! Akaniambia twende A town basi! Kuna ndege ya usiku! Kwa shopping ILE sikuwa Na jinsi! Nikamwambia sawa!
Usiku hao, Arushaaa! MOTP hana kazi mbovuuu! Halaliii hotel uchwaraaaa! Kama kawa hote ya $200! Nikajiuliza Nina Chiu wa kutoa wenye thamani hio! Nikatamani angenipa option anilale kwenye majani na kunikabidhi hio pesa!
Nawaza nampa style gani???? Kwanza kitu msichokijua ni MOTP ni mzuriii ana mvutooo! Ana pesa na anajua ana pesa! Afu ana dharauuuu! Ni mstaarabu ila ule wa kuficha dharau ndani yake! Pia sio msemajiii kabisaaa! Mwanamke ndo uhangaike kumaemeshaaa!
Kwa zile yes no zake! Nikajuaaa hamnaaa kituuu! Ngoja ya kitoto haikeshiii! Namtoaaa knock out round ya kwanzaaa! Nikasema hata silaha za kivita sibebi! Huyuuuu zazwaaa!
Tumefika Room namvamiaaa juu juu! Akasema kaoge kwanza! We have to bath! Mmmmh! Ndugu msomajiii jamaniii! Namuhadaaaa tunaogaaa woteee! Anasema no dear! Mmoja mmoja! Nikasema Sawa! Anza wewe! Akatoka niakaingiaaa! Namkuta kwenye skype call! Masaa ma 3!
Nikapitiwa usingizi! Nakuja kustushwaaaa wewe umekuja kulala hapa? Get into action! Ndo kukurupukaaaa sijui nianze kishoka mike! Au romance au nikalie tu one way itasimama huko huko! Wenge la usingizi kama loteeee!
Akanitulizaaaa relax! Nilikuwa nakutaniaaaaa! Calm down! Mapenzi sio vitaaaa! Mdogo mdogo pesa yangu utailipa yote! Mxiuuuu! Kumbe mbuzi anaongeaaa huyu! Niliwaambia kina dharau za ndaniii ndaniii!
Nikamuuliza okay nipo tayari kuilipa nailipajeeee! Nipe maelekezooo kocha wa dunia! Akaniambia YOUR PERFORMANCE NOW WILL DETARMINE YOUR MONEY KESHO! Plan your moves right! Alinivurugaaaa ndugu msomajiiii! Anasemajeeeee! Kwamba hamna kikomo cha fungu juhudi zanguuu tu! LITAKUFA JITUUUU! Nasemajeeee LITAKUFA JITUUUU mda si mda!
Nikamdandiaaa kama Abiria wa Mbagala! Nampa ma papaso! Najitahidiii! Hadindiiii! Mmmmmh! Asilaniiii! Nikamuuliza wewe Baba vipiiii! Anasema KIWANGO KIPO CHINI SANAA! Mimi ni MOTP you need to try harder!
Alinipanikishaaa! Harder kivipiiii tenaaa! Mbona nafeli mtihani! Nikambilia style ya Mama J kushika MIC! Akasema naona unataka kutumia shortcut sidhani kama itakusaidiiiaaa! Jaribuuu tuoneeeee! BILAAA BILAAA!
Sasa I was angry and frustrated! Wanaume kama hamtaki kumtia mtu bora mkasema tu! Mtu akawaelewaaaa! Sio utopolooo kama
Huuu! Nikamwambia nimeshindwaaa mimi! Nalala kesho nitapanda bus nirudiiii!
Akasema kuna option ya kukufundisha! But I won’t pay you a dime! But nitachokifundisha kitakusaidia kupata pesa kwa wanaume wengine! Or ulale kesho uende! Either way umefeli Kufikia viwango vinavotakiwa na FIFA!
Nikawazaaaa! Nikasema elimu haina mwishooo! Nifundisheeee! Weeeeee! Chiziiii kapewaaa runguuuu! Kama mwalimu Kashasha! Na mtaala anao!
1. Show interest! Biggest turnoff yako kwangu leo hukuwa interested na mimi hata kidogo! Nisifie hata uongo! Mashineee kubwaaa! Six pack! Hata vuuu lainiii! Show tinny bit of interest kunipna mara ya kwanza! Sasa wewe hustukiii! Maybe yes sina maajabu! Still nidanganye danganye kidogo! Kichwa cha chini kina connection na cha juu! Ata Anza kunisifiaaaa!
Kwa mashine kubwa kiasiii chakeee ilikuwpooo! Nikamsifiaaa uongo na kweli tu NJAA hizi!
2. Going concern! Hata kama ukitoka kwa mtu unafuta namba yake! Don’t show that! Comvise him there is going concern! Talk about the future! Even if there is none! Talk about next week! Next month, next year! Inamfanya mtu aone anakujuaaaa!
3. Never talk about money! Hata kama mwanaume akianzishaaa! Jifanye its not for the money! Japo yes money is part of it but not entirely! Nimekutega na fungu la kesho you were so interested! Haitakiwiiii hivoooo!
4. Action! Let’s get into it! Mafunzo ni practical!
ITAENDELEA KESHO USIKU!
POLEEEEEE SANA JF WANAAA KWA UBISHI TUNAWAJUAHii ni chai, hii story ni ya uwongo, hakuna mwanaume Kijana mid 30's bongo hii, mwenye uwezo na nia ya kumuhonga mdada Ambaye hafahamiani nae vizuri USD 24,000.. wanaume vijana wa kuhonga wadada USD 24000, wanapatikana Marekani na nchi za ulaya, middle east, west na south Africa ila sio east Afrika hii
Baadhi ya wanawake muache kuota ndoto za mchana, jaribuni kuutazama uhalisia, uwezekano wa wewe kutongozwa na mwanaume tajiri ni asilimia ngapi? Maybe less than 4% chance.. wanaume vijana matajiri hapa Tanzania wako ishirini na wangapi? Na wanawake Tanzania hii mpo million ngapi?POLEEEEEE SANA JF WANAAA KWA UBISHI TUNAWAJUA
TAFUTA HELA,NDOTO ZITAGEUKA UHALISIABaadhi ya wanawake muache kuota ndoto za mchana, jaribuni kuutazama uhalisia, uwezekano wa wewe kutongozwa na mwanaume tajiri ni asilimia ngapi? Maybe less than 4% chance.. wanaume vijana matajiri hapa Tanzania wako ishirini na wangapi? Na wanawake Tanzania hii mpo million ngapi?
Huyo mwanaume tajiri utakutana nae wapi, iwapo we ni wa kusubiri utongozwe? Hornet
Wewe unapenda UMBEA..hapendwi mtu hapa😅Nakupenda sana toka moyoni 😍😍😍😍
Kausha mzee nataka nisimamie ukucha hapaWewe unapenda UMBEA..hapendwi mtu hapa😅
Acha kuota ndoto za mchana dada mwanaume wa kuhonga hizo atoke wapi?Baadhi ya wadada inabidi muache maisha ya kwenye tamthilia.TAFUTA HELA,NDOTO ZITAGEUKA UHALISIA
HAHAHAHAAAA DADA DADA UNAPATA DHAMBI UJUEAcha kuota ndoto za mchana dada mwanaume wa kuhonga hizo atoke wapi?Baadhi ya wadada inabidi muache maisha ya kwenye tamthilia.
Inabidi lara 1 atuombee connection kwa mdau kama ya mganga au ya kisomo na sisi tuende tukaoshe nyota dada.HAHAHAHAAAA DADA DADA UNAPATA DHAMBI UJUE