Weekend story: A Woman of the people

Weekend story: A Woman of the people

Hii chai mbona ya moto sana

Lara levels ulizotuzoesha wahenga wa JF ni kubwa kuliko hii

ama nyie mnaonaje hii comeback?.
 
Inabidi lara 1 atuombee connection kwa mdau kama ya mganga au ya kisomo na sisi tuende tukaoshe nyota dada.
Au tuwasiliane na Sanchez magoli atupeleke kwa babu yake handeni.
Haiwezekani kila siku tupishane na matajiri humu ndani.

H aaah haaaa unajua nacheka hapa hatari

Hebu Sanchez magoli njooni mnipe connection
Umri unaenda bila bila
 
Hii ni chai, hii story ni ya uwongo, hakuna mwanaume Kijana mid 30's bongo hii, mwenye uwezo na nia ya kumuhonga mdada Ambaye hafahamiani nae vizuri USD 24,000.. wanaume vijana wa kuhonga wadada USD 24000, wanapatikana Marekani na nchi za ulaya, middle east, west na south Africa ila sio east Afrika hii

Mbona pesa ndogo hii boss badili mazingira yako.
 
[emoji15][emoji15][emoji15] 22:50 Bila bila...!!!!
 
Huyu namuonaga kama pacha wa warumi wote wana art of writing ambayo inakuvutia kusoma japo ni umbea. Tofauti yao ni moja story za huyu ni za watu wasiojulikana wakati warumi alikuwa akideal na mastaa wanaojulikana
Hakika umewajua
Ile siku walipotoa tanzia kifo Cha Warumi nilimkumbuka sana Lara Moko, sikumuona kwa comments nikawaza mengi.
Thanks God Lara is back na mastory ya wasiojulikana[emoji1787]
 
Baadhi ya wanawake muache kuota ndoto za mchana, jaribuni kuutazama uhalisia, uwezekano wa wewe kutongozwa na mwanaume tajiri ni asilimia ngapi? Maybe less than 4% chance.. wanaume vijana matajiri hapa Tanzania wako ishirini na wangapi? Na wanawake Tanzania hii mpo million ngapi?

Huyo mwanaume tajiri utakutana nae wapi, iwapo we ni wa kusubiri utongozwe? Hornet
Ndo maana tuna watongoza
 
The practical was not all that! All I can say MAMBO NI YALE YALE SEMA TU TRICK 2,3 ZA KUBORESHAAA! Same game same rules only you need to pay a little bit of more attention! Then you will be fine!

You bet he wanted to try every thing! Every damn thing! Kasoro tu Tigo! Nikiwaza hii show ni probono! Roho iliniumaaaa sanaaa!

Darasa likaendelea!

4. The after sex talk! Hii wanawake wengi mnaitumia kama bargain session ya kujadili shida zenu! Hapo ndo mnapo feli big time! This should be more of lies segment! Where you get to tell the biggest lies of them all! Lies are perfect here totally and absolutely! Nothing better than CHEATERS AND LIERS DOING WHAT THEY DO BEST! Perfectoooo! The bigger the lies the better ! Like you get to say Baby una mashine kubwaaaa! Imenitesaaa sanaa! Or baby K Imebana kama ya mtoto mchanga! Hahahaaa! There is no limit absolutely!

5. The sleep! Anaemkumbatia mwenzie here all depends who is paying! If I am paying wewe ndo wa kunichunga usiku mzima! AC Ipo level! Uniamshe nijigeuzeee! Uniamshe ninywe maji! Go extraaa! Leave an impression! It’s a tough market out here! If the lady is paying same rules apply!

6. The good bye part! Again bunch of hypocrites posing as lovers! Could never get easier! Ask him where he is going next not that he will take you with him! Just traditional! Shows you care a lot!

7. THE MONEY PART! Hii sasa inategemea mambo mengiii sanaa! Kuna kupimwa na kukopwa! Either way as a lady you loose your respect ! Ukikopwa ni aibu kubwaaa! Uki dai chako it discredits all the above! It’s a pickle! And its a bet! There is no right or wrong answer here!

Dalili zote za kukopwa nikawa nazionaaa waziwazi! Na huku naambiwa kukopwa ni aibuuuu! Nikidaiiii aibuuu! Mbonaaa mtego wa panya huu! Nikasema nikishindwa kumtoa pesa huyuuu bwege sija chezwaaa! Na kungwi wangu sio bi Pazi wa Kinondoni!

Nikamtext dada wa KAZI CODE RED! A naelewa hizi cinema zinazoendaaa! Akapiga simu! Dada mtoto anachemkaaaa sanaaa! Mi sijui nifanyajeeee! Nikamwambia mpeleke hospital! Baada ya NUSU saa akapiga wamemlazaaa! Pesa dada pesaaa! MOTP akatuma 500,000/= Baada ya NUSU saa akapiga dada hapa huduma hamnaaa! Hawajamuwekea drip zimeishaaa! Anageuza machooo! Hapo najiliza kama chiziii! MOTP akaingia box! Mpeleke Agakhan! Fastaaa! Akatuma laki 5 ingine!

Balaaa likaja anampigia Dr wa Aghakan amcheki mtoto! Almanusraaa hakuwa zamu akamuahidi akifika tu kesho cha kwanza atamtafuta na kumchekiii! Nikasema asubuhi namtorokaaaa! Hatoamini! Nishachukua changuuuu mapemaaa!

Tumekesha tunapiga simu! Kiukweli nilikosea sanaa kumtumia mwanangu kama chambooo! But it’s tough out there! It’s really tough!

Asubuhi nikapewa laki moja! Kavuuuu! Nikasema asante baba! Nikapiga na goti! Tukaachanaaa! Kwenye basi mwepesiiii! Ndo maana unaambiwa when you deal with men you need 2/3 tricks up your sleeves! Zitakuokoaaaa!

Njiani nikazimaaa simu! Najua mtoto humjui majina yake ma 3 so hawezi Jua kama katapeliwaaa wala nini! Ikawa imeishaaa hiooo!

MOTP has a weakness for babies! Anapenda sanaa watoto! Anything for the kids! Ila sio wewe maishaaa yako!

Baada ya Arusha ikapita sintofahamu ila he always called kuuliza how the kid was doing! Anatuma pesa za mtoto mara kwa mara! Maybe because alikuwa nazo sanaa! Or he was just a good man!

Tabia yake ile ile papà lazima umbembelezeee mpaka basi! Na hapo hata ukimbembelezeaaa ndo hivo hivo! He was just full of bullshit! Sema ndo anamjali mtoto! And at the time yeye ndo alikuwa anatuweka mjini! So I had to try harder!

Nikaja kusikia MOTP akisha mla mtu! Hamrudiiiii ngooooo! I was like HELL NO! Mbona nimekwishaaaa! Nikawazaaaa sanaaa! Nikamuuliza! Wee baba ukiamka mtu humrudiii? Anajingata ngataaaa! I was hurt! Niliumiaaaa! Na serious I wanted to hurt him too!

Nikamwmabia nakuja kwa mkeo! And seriously nilikuwa naenda kwa mkewe! Nikamcheki Lara! Akasema ni Kisasi ila sintofaidika chochote! The wife will never leave him and his luxurious life style! Big cars, jewels, abroad trips! Hata akimkuta chiu atamwambia ya Tangulia nyumbani!

Nikamuuliza Ina suggest vipi? Akasema tumchezeee CHEZO moja matata! Tumpukitishereer kabisaaa! EL PLANO! Then tunagawana pesa wote wa 3! Win win! Mmmmmh! Interesting!

EL PLANO! Ilikuwa tumtafute binti mzuriii humu MMU, anaejua mamboooo kweli kweliii ampagawisheeee! Na vile pale ni one chance and one chance only! Makosa hayatakiwiii kabisaaa!

Kama shetaniii shoga angu toka kullle kwa Wagosi wa kaya! Alikuwa kafukuzwa kazi! Ana hahaaaaa hapa mjini! Nikamwambia do you want easy money? Akasema Yeeees! Kama mtoto kaona pipi! Nipangeee!

Binti mwenyewe si Mwingine ni Mdigo! Nikamwambia plan is simple you just need to bang 1 guy! Only one simple guy for a lot of cash! Akauliza how? Tukamwambiaaa utajua mbele! You in or out! The thing about Mdogo she is always sure! Akasema I’m all in!

Tukampa ID jichatisheer humo! Cause Mdigo is a common ID he never suspected a damn thing! And she is beautiful! Maybe mswahiliii kidogo! Whatsoever she lacks on character looks zina mbeba!

Day 2 picha ikatumwaaa akajaaa! Mdigo akawakaaaa! What next! Tu kamwambia this guy has a thing for single mothers and wewe huna mtoto mambo yatakuwa magumu! Ila looks bado zina kubeba! Akawa anachat naeee! Tunamsukaaa tu Vuuu!

The guy is always upcountry! Kama sio Kigoma basi Arusha! Mdigo akapewa appointment ya Arusha! Akatumiwa ticket ya ndegeee kabisaaa!

Plot twist I kaja Mdigo hana siriii! Kila kituuu akawa anamwambia mwanamke Mwingine ed humu humu MMU every tinny bit of details! Na the fact the guy has a thing for single mothers Ika mshawishiiii! Cause the lady Sayuni has 2 kids and was lonely!

Mdigo, Mimi na Lara hatuna hili wala lile, MOTP out of the blue aka confess kwa Lara why sijui but she is kind of his priestess anaungamaga dhambi zake kwake! Kama umelala na MOTP just know Lara knows every damn thing!

MOTP aka confess kwamba forgive me priestess for I’m about to sin! Kuna huyu mchatiiii Sayuniii! Pisiiii kaliii! And she looks RICH! But she is throwing herself all over at me! I’m like Damnnnnn! She has 2 kids!

Lara akaja kuniambia kuna plot twist! How to do? Tuumize vichwaaa maana kondooo wa kafara yupo tayariii! Huyu Sayuni ata tuharibia mambo! Nikamwambia nipe mda niwazeee!

Katika utafiti nikagundua Sayuni anatoa cd kwa Mdigo! Kabla sijaja Sawa Lara ananiambia Sayuni kabisa dirisha dada na ndegeee mpaka Arusha Kula weekend na MOTP! Yaaani hizo habari hatujazipokeaaa MOTP anamwambia Mdigo asiende tena amepata safariii ya ghafla ya kikazi! Maluuuni mkubwaaa!

Hakiiiii tulipigwa tobo baoooo! Mdigooo akamwambiaaa nitakuja tu hukooo liwalo na liweeee! Usinitanieeee! Nishajiandaaa kila kitu! Nikamuuliza Lara tumwambie Mdigo abt shoga ake Sayani! Akasema Acha wakatoane macho huko huko! After all ushoga ku shareee imooo!

MOTP mmoja watoto wa 2 ndani ya Arusha! Nikamwmabia Lara au tumpeleke na Mkewe Arusha panogeeee vizuriii! Akauliza fuba letu vipiiii! Nikatuliza kitenesi!

Mdigo tukampangaaa vizuriii! Yeye hajazaaa so ki body kipooo! Ndani avae vyeupeeee vyeupeeee! Bikini nyeupeeee! Sidiriaaa nyeupeee! MOTP anapenda usafiiiii kama woteeee! And don’t too much! Kidogo tu as a lady!

Anauliza niambieni hilo plan! Tunamwambia tuliaaaa zingatiaaa kipengele cha sasa! Cha mbele tuachieeee! Akifika hapo tujuzeee tukupangeeee!

Akaanza kuogopaaa au mnataka kumlipa mkewe nipigwee! Tukamwambia no sweety hatuweziii kukuumiza! We are friends remember! Relax ! Ni plan ya kijinga ila Ina pesaaa!

Akatupigia yupo chini kaniambia Ni shuke Mgahawani! Nikamwambiaaa sasa plan lenyewe kuna dawa kwenye bag lako ya kikohozi sio ya kikoozi! Paka kwenye matiti! Kidogooo tu! Akilamba atalalaa doroooo! Afu unampiga pichaaa za utupu na wewe!

Akauliza alafu! Alafu ndo tuna negotiate nae nusu ya mshahara wake! Atakupa unachotaka! Lasivooo tunazopeleka kwa wife dearest! Akatetemeka! Sidhani kama nitaweza!

Tukamwambia ukishindwa utajutiaaa hio chance! Hujachooka kunyonya P za watu mbali mbali na mafanikio hamnaaaa! That your ticket to the good life! Few strategic photos! That alll it takes! That’s all! Akasema mmmh! Ngoja tuoneee!

Baadae akazima simu Mdigooo! Lara akasema she chickened out! She didn’t carry out the mission! Namwambiaaa ngojaaa ngojaaa! Yule mtoto wa mjini! Lara anasema she just doesn’t have it her! Hapo ni back to the drawing board!

Maluuni hakupatikana mpaka Baada ya wiki! Akaja kwangu! WOTP huweziii aminiiii! Nimetapeliwaaaa! MOTP kanipa cheki ya uongooo! Haja I sign! Yaani ! Sio mtu kabisaaa! Bora ningewasikiliza! Hapa nataka niende kwa mkewe nimwambie mwambie Mumeo a sign hii cheki msinitanieee! Hehehehe!

Nikamwambia sisi ndo tulizo kuunga nae na tulijuaaa utakopwaaaa falaaa wewe! Haya ungekuwa na picha hapo Mbona Angelina na bodaboda ku i sign hio cheki! Unashindwa hadi na Delicious! Wateja wake wote anawapiga picha! For security purposes! Wakileta ujuajiiii!

Yaani nimebug big time! Nafanyajeeee! Nikamwmabia unaosha papà vizuriii na kuinyoaaa na kurudi Sokoni Miaka kendaaaa! Kwa uzembe wako mdogooo! Analalamika jamaniii mi Mbona na mikosiiii! Namshindilia nyundo huna mikosiiii ila akili ndo hunaaa so lazima sehemu za Siri ziumieeee! Sanaaa na badooooo!

Kwanza unajua mmeliwa wewe na shoga ako weekend moja Sayuni na bwana mmoja! Bora mngepiga 3 some tu! Hehehee! Akangakaaaa! Ina maana hili danga Sayuni analotambiaaa ni MOTP? Nikamwambiaaa you can never be more right! Haswaaaaaaa!!!!

Alipanick sio kitoto! Oooh sikubali naenda kuanzisha uzi! Nikamuuliza Alafu? Useme nini? Umeliwa kwa mkopo? How I’ll that boost your PR? Au shoga ako Sayuni kakupora bwanaaa? Who will believe you baby? Hehehehe! Either way umevunaaa ulichopandaaa! You had one job and one job only and sadly YOU FAILED TERIBLY!!!!

MOTP Ssijamsamehe! Mpaka leo nampangiaaaa matukiooo! Wanasema revenge is dish best served cold! Nilimpiga tukio lingine! Na matukio yanayaka pesaaa! Na pesa inatafutwaaa Mmu! Nikakikurupua kizeee kimoja kule kwenye siasa!
KESHO USIKU!
 
KIZEE CHA SIASA!

Kama mjuavo mimi na siasa kushoto na kuliaaa! Kabisaaa! Kama mashariki ilivo mbali na mangaribiiiii! Sasa mtajiuliza hiko kizee cha siasa nimetoka nacho wapiiii?

Nawapa siriiii! Hakuna sehemu Ina madanga ya maana kama Siasa! Wabungeeee! Wabeba mabox! Ma CEO! Investors! You mention! Wote wapo kule!

After all kule competition ni very minimal next to non existing! It’s like the trophies are for the taking ! All you need is just a tiny bit wincy of a brain! And unluckily for you, you have none whatsoever! Tulia tu MMU na hawa misingi viuno wetu kina griffin

Mpaka hapa MOTP was tomenting me! Hanitakiiiii kabisaaa kabisaa wakati mi nampendaaa mwenzie badooo! Ila mtoto ana muhudumiaaa kama wakeee! Mpaka mda Mwingine nilikuwa najifikirisha mtoto wake! Akili za mchana!

Katika denial nilizo kuwa Na pitia, mara paaap! Ikaingiaaa Dm! Mambo mrembo! Nikapita nayooo tu! Nione mwishooo! Akajitambulishaaa! Ila mi mkubwaaa sanaaa kwakooo!

Nikamuuliza do we know each other? Akasema hapanaaa! Not all but...... nimekuwa recommended na KAKA KIIZA! !!!!!! Baaaasssss!!!!!

Alivosema tu KAKA KIIZAAAA! I knew it was serious business! I knew this was the real shit! Password ikafungukaaaa kabisaaaaa!

Hili soko la JF Lina dimensions zake na kama masoko mengine Lina madalali wake! Kuna madalali A class na madalali D class! Sasa kama unataka ma CEO, WABEBA BOX WALIOJICHANGA CHANGA VI DOLLA VYAO, WATU WA MAANA inshort KIIZA is there guy!

If you want to hit in the market and you want to hit big better get your self an agent kama KIIZA! He never disappoints! Japo anadai kastaaafu na hadeal tena hizi mambo! You never know! If you kind to him enough he will hook you up!

Of course KIIZA haku ni Hook up out of the blue! Nilikuwa nakunywa nae! Nikawa namlalamikia it’s tough out there! I’m ready to do anything! Absolutely anything nimpe mwanangu maisha! He didnt promise anything! Then boom PM!

Nikampokeaaa Baba shikamoooo! Mimi binti yako tunasaidianaje? Baba akasema mimi bwana I have everything to loose except cash wich I will loose gladly kama tukielewana! Ila KIIZA kaniambia you have a kid and no father yet you look stunning! Mimi kuwa baba sio tatizo kabisaaa!

Nina watoto wa nne! Na mke wangu nilimuoa na mtoto! So it’s fineeeee!!!!! Tena najuaaa umejuaaaa maishaaa, ushajua wanaume umetuliaaaa! I wanna spoil you! Ilaaaaaa! I’m very jelousyyyy!

Nikamwambia baba njoo whatsup! Acha kuwafaidishaaa modes! Whatsup baba kaja na kishindoooo cha mwana ukomeeee! Laki 5 paaap katumaaaaa!

Kama mnavojua mizeeee story zote siasaaaa! Mara TANU mara IDDI AMIN DADA! Mara Jeff Kennedy! Mambo ya Miaka 60! Nikasema au babuuu la Miaka 70 nini! Mmmmmh! Njaaa hizi! Naenda nalo sambamba kwa msaada wa google!

Zee Lina command na Oder mwanzo mwisho sijui zee la jeshi au vipiiii! Baadae likasema now I’m comfortable let’s meet! Ila Kabla ya yoteeee! Katuma 1 million get your self something decent to wear! No showing too much skin! Usije kama kimalaya malayaaaa!

Nikawazaaaa! Nikavaaa suit! SITAKI kumuuzi daddy wangu! Sehemu ya kukutana sasa Masaki, Happipola! Nimejikokiiii! Kama mtu! Nakuja kumuonaaaaa!!! Ayaaaaaaa! Junkie kabisaaa! Miaka 58 tuuuu! Afu yupo fit! He looks younger actually!

Akanambia yeye anafanya ikulu! We talked! Jamaniii shule nimeenda! Atleast! We talked! Akanipa 200,00 niende kwangu! Nikashukuruuu! Sijavuaaa nguooo na 200k nimepewaaaa! Nahama kambiii sahiviiii nahamia chama la wazeee ! TANU OYEEEEE!!!

Kesho nimesizi kwanguuu ana piga simuuu kuna watu wanakuja kwako kuna kazi nataka wanifanyieee! Nipo wakufanyie kivipiiii huku kwanguuu? Yupo tuliaaaa! Wanakuja hapo waelekeze!

Nikapigiwa simu! Zikaja mtu zina suit zimezama ndani zikaanza kufunga Cctv! Nikawauliza kwani Flani ni nani na anafanya Nini? Nikaambiwa utamuuliza mkiwa kitandaniii atakujibu vizuriii! Ila kuanzia sasa upo under surveillance! Hatukushauriiii udangeeeee!!!! Kudanga sahivi nje ya nyumba!

Usiku kaja ! Analalamikaaaa! Mbona unakaaa mazingiraaa mabovuuu hiviii! Ki andata cha mbwaaa hiki! Nikamwambia huu urithiiii! Wazazi wamenipinda wameniachiaaaa! Akasema hata kamaaaa! Siweiziii lala huku mimi! Nitakuwa na ku monitor tu kwa simu! 24hrs! Akaondoka! Ha kulala paleee!

Yaani mpaka hapooo nakogaaa pesa tu! Papà sijatoaaaa kabisaaaa! Akaniambia siku nikutumie nae gymcana ! Nikamkuta na wanae wa Kiume wa 2! Akanitambulisha mama enu mdogo! Wakanisalimia! Nikajipa moyo mama yao atakuwa kafaaa! Thubutuuuu! Dakika 10 nyingi mama yao kapiga simu!

Nilichomuelewa Mzee ni mkweliiii! Hasemi uongo bila sababu! Hata wanae si viwanaume vidogo kavichana live anajua vitahimili! Wananiaga bye aunty!

Hapo kidogo nimeanza kumzoeaaa! Nawmwita daddy! Nataka kumcomfuseeee! Nimpotezeeee kabisaaaa! Anapendaaaa hayooo mambo ya daddie! Mda wa kuondoka kama kawa 300,000!

Nikakak chini na Lara, akaniambia kwa anavo Kupa pesa na hataki mechi kuna tatizo zitooo mnooo la kiufundiiii! Lazima weakness yake Ipo kwenye game! Perhaps ashapoteza uwezooo wa mambo yetuuu! He just needs company! Nikasemaaa Mbona itakuwaaa pambeee sanaa! Nipo hapa companion wa kudumuuu!

Bwana weeee vilaki laki vyake vikawa vimenichoshaaaa! Kwanza nakaguliwa kwenye cameraaa24/7! Afu kwa lakiiii! Thubutuuuuuu! Nikapanga nimpige zinga kubwaaa kubwaaa!

Nikamwmabia Daddy nimepata eneo nataka nihame hukuuu! Uwanja Goba million 10! Akasema it’s good kumtafutia mwanao a nice home! Daddie nyieee ana roho ya peke yakeee! Akanipa million 5 kwa bank! Akaniambia 5 nitakupa cash! Nitakwambia pa kukutana!

Basi Daddy ananiambia ujue at my age siwezi kulala na mwanamke ghaflaaa tu hukawiiii kunikaba usikuuu! So I need you to come in my home, look my wife in the face, my family then ujue mimi ni mtu mzuriiii! I’m a family man! Hapo nitakuwa na amani kulala na wewe hutanikaba na mtooo!

Nikaenda Jumapili kuna barbecue kwakeee! Masakiiii! Nikakaa meza moja na mkewe na wanaeee! Pesa hiziiii! Kama mtu! Anamwambia huyu binti na msaidia ni kama mwanangu tu! Mkewe anasema mmmhhh unasaidiaga wazuriii wazuriiii tu! Wa barabarani huwaoniii? Binti usikose rahaaa! Namtaniaaa tu!

Kuna mda Mkewe kanikaba kwenye angle kwa hio wewe ndo msaidizi wangu sahiviii! Najibaraguzaaaa hapanaaaa! Hapanaaaa! Sio hivooo! Akasema aaah maisha mafupi sikufanyiiii ubaya kesho nimetanguliaa umekuwa no 1 ukumbuke Wema wangu kwa wanangu! Niko sawa mama! Maishaaa hayaaaa!

Ananiambiaa mkumbushe kumezaaa dawa, ana pressure ya kushukaaa! Na pombe kidogooo sanaaa! Na speed zenu kunakooo utakimaliziaaa hiki kizeeee! Niko Yes mom! Balaaa lilikuwa zito ndugu msomajiiii!

Kama kawa 300,000 zangu nikaondokaaaa! Tena Nishapata mkandaaa kizeee kama hikiii mechiii haikeshiiii kabisaaa kamoyo kashaanza kusuaaa suaaaaa! Naenda kuchukua million 5 fastaaaa! Kama natelezaaaaa!!!!

Akaniambiaaa ameona Serena panafaaa! Nimejikokiiiii! Nimepigaaa zote nyeupeeeee! Vizeee vya jandoooo hiviiii! Vina traditions sanaaaa! Unaweza VAA red akaghairi mechiii! Nimepiga na shanga zanguuu! Tena Niko makini kwa rangiii za shanga na maana zake! Traditions again!

Naondoka mwanangu ananiambia mama nileteee zawadiiii! Nikamwambiaaa ata baba! Utulieeeee! Naingiaaaa kazini kwa mbwembweee!

Tumekunywaaa kidogo! Tukazama rooom! Nikampa dawa zake kabisaaa! Sitaki mada case mieeeee! Kwenye dressing table kuna bahashaaa Ina million 5 kabisaaa naionaaaa! Yaaani ni ndani ya dakika 0 ILE million 5 inabadilisha ownership! I nearly screamed!

Nikaanza kumi andata Daddie! Kama nilivowaambia traditions! Bwanaaaaaa bwnaaaaa! Kwenye kumuandaaa ila namvuaaa boxerrr naionaaa mashineeee! ANACONDA! Tena yule mzeee! Hamo akasomeeeee! Mjubileng huu hapaaa!

Wasomaji mimi ni mdogo mdogooo! Mfupi afu mwembamba ule MJUBILENG napambana nao vipiiii? Si natenguliwa kizaziiii!!! Tobaaaaa! Nawazaaaa sijui nikimbieeeee! Machoziiii ya anilengaaaaa! Nikiwaza million 5 pale kwenye mezaaa najitiaaa moyoooo! You can do this! You can do this! Dakika zako 15 umetoka na bahashaaa! Don’t be pussy! Pambana na mjubileng uleeee pesa yenyewe ya maana!

Yaani ule mjubileng unataka mahesabuuuu makaliiii sanaaa! Na kama hujapitaaa mkoleniii lazima sehemu zako za Siri ziharibiwerr vibayaaa sanaaa! Unaweza pata fistulaaaa! Hahahahaa! Weeeeeeee! Nikawaza wote unizamee aaahhh thubutuuuuu! Ndo maana alikuwa ananimwagia helaaaaaa! Anajuaaa ulemavu wa papà atao niachia!

Uzuri nilibeba mafuta ya olive oil nimfanyie massage daddie vizeee vinapendaaa sanaaa! Nikayakumbukaaa! Nikamwambiaaa daddie Ngoja nikufanyie massage ya mjubileng!!! Akakubaliii! Mafutaaa kama yoteeee!

Nikaonaaa ana enjoyyyy! Kama anakujaaa! Nikasema sifanyiiii makosaaa! Napitaaa naeee round hiii moja mojaaa! Nikakumbuka kungwi alikuwa anasisitiza ku master style ya kuchuchumaaa miguuu ndo ikusupport! Sikuwahi kujua umuhimu wake!

Manake ukisema yake juu kwa kupigaaa goti, Ali kushuka kiuno mtu mwenyewe wa gym anakushusha kwenye mashine wima wimaaaa! Huna bahatiii!

Nimedandiaaa kwa style kama naruka churaaa! Nimeikaliaaa robo na support ya miguuu! Nimeenda nae kidogo tu nishamlegezaaa! Kajaribuuu kunishushaaa wapiii miguuu ime support! Nimekwea mnazi juu kwa juuu wazungu haoooo! Nikarukaaa fastaaa!

Dada wa kazi nishampa code red! Akapiga simuuu shangazi kaja anauliza Mbona Huru di! Nikajisemesha Niko njianiii! Nika kwapuaaaa lile bahashaaa! Motoooo! Sikuhesabuuuu!!!!

Babu ana nitexttt mtoto mtamuuuu sanaa ila umenipaaa kidogooo sanaaa! Nataka nije nikufaidiiii mzimaaaa mzimaaaaa!

WEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!

ITAENDELEA kesho!
 
Igweeeeeeeee!!!

RIP WARUMI! ( Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! )

Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So relax! And yes nimerudi kudanga humu like i never left!

Mambo ni mengi, Ubuyu ni mwingi! Na sinaga kazi mbovuuu! Ukiona biography Jua tu $$$$$ sio shida zetu kwenye story zetu!

Hii sio story tuelewane! Ni biography! TRUE EVERY LINE EVERY DETAILS! Mpaka nimerudisha papito humu baada ya kuizunguka dunia nzima! Mjue humu ni mgodiiii! Sahivi nakomaaa mpaka miele week!

WHO IS WOMAN OF THE PEOLE? HUMU MMU NI NANI? ANA UHUSIANO GANI NA MAN OF THE PEOPLE! KATOKEA WAPI NA KAPATAJE HIZO $$$ 20,000! Nyani Ngabu kwa $$$ 1000 tu nakuwa chawa wako pro max! Na wewe unatajwa sanaaa kwenye list ya WOMAN OF THE PEOPLE! Kunywa panadol mapemaaa!

THE FULL BIOGRAPHY OF THE BADDEST ONE AND ONLY WOMAN OF THE PEOPLE COMMING SOON( LEO LEO) Kunirudisha humu niandike gazeti kaonesha jeuri ya pesa! Kanambia only you can write my Biography! Talk your number! Jamaniiii! Yule yule mchovu mwenzetu!

USIBANDUKE!
Mkongwe umerudi
 
Igweeeeeeeee!!!

RIP WARUMI! ( Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! )

Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So relax! And yes nimerudi kudanga humu like i never left!

Mambo ni mengi, Ubuyu ni mwingi! Na sinaga kazi mbovuuu! Ukiona biography Jua tu $$$$$ sio shida zetu kwenye story zetu!

Hii sio story tuelewane! Ni biography! TRUE EVERY LINE EVERY DETAILS! Mpaka nimerudisha papito humu baada ya kuizunguka dunia nzima! Mjue humu ni mgodiiii! Sahivi nakomaaa mpaka miele week!

WHO IS WOMAN OF THE PEOLE? HUMU MMU NI NANI? ANA UHUSIANO GANI NA MAN OF THE PEOPLE! KATOKEA WAPI NA KAPATAJE HIZO $$$ 20,000! Nyani Ngabu kwa $$$ 1000 tu nakuwa chawa wako pro max! Na wewe unatajwa sanaaa kwenye list ya WOMAN OF THE PEOPLE! Kunywa panadol mapemaaa!

THE FULL BIOGRAPHY OF THE BADDEST ONE AND ONLY WOMAN OF THE PEOPLE COMMING SOON( LEO LEO) Kunirudisha humu niandike gazeti kaonesha jeuri ya pesa! Kanambia only you can write my Biography! Talk your number! Jamaniiii! Yule yule mchovu mwenzetu!

USIBANDUKE!

Welcome back lara[emoji1376][emoji1376]
 
THE WOMAN OF THE PEOPLE ( THE AUTO BIOGRAPHY)

WOMAN OF THE PEOPLE (WOTP) in early thirties net worth 100m and counting! Owner of micro finance, Mother of 1, Widowed! CPA(T) , Hustler, Fiancé! Most of all MTOTO WA MWANANYAMALA TO THE CORE!

Lara 1: When, Why and how did you come to JF!

WOTP: I was young naive, beautiful, vibrant and full of hope, full of love! Looking for a better life!

Lara 1: Did you really believe JF could give you a better life?

WOTP: Absolutely! With all my heart! I did every inch of me!

Lara 1: For bagging over 50m from one guy hapo sijaongezea za kina Man of the pepole, Nyani ngabu na the rest of your juicy least which we will devour bits by bits! I also now strongly believe HORSES DO FLY IF YOU HOPE ENOUGH![emoji2]! Back to Topic!

Securing that humongous bag! THE BAG! Sanduku! Was it a walk in the park? How was it ! Gives us all in one word!

WOTP: DEADLY!!!

Lara 1: Mudderous in did!!!! But I still can not believe you snatched that MONSTER bag under our very nose! Maybe others but me your Maestro! It is such a shame in my Jf career to be outsmarted by you! You wanted me to do this auto biography to rub it on my face every second! Full offence taken! My story is not over! But as long as you have that bag we are best friends for life! When you are at the top THERE ARE ABSOLUTELY NO CONSEQUENCES WHATSOEVER!

I still do not believe you bagged that bag here in MMU! Convince me more! And you know me I’m not easily convinced!

WOTP: How in the hell did I get to own a Micro fiancé? You know me Lara! Umekopa paleee! Kama sina nakukopeshaje? Mmmmhhh!

Lara1: No further questions your highness! Sorry! 1 last final question! Kwa wale wanaofanya mizaha mizaha humuuu na wenye gundu kama mimi la kutongozwa na vingasti sugu! Unatushauri nini maybe some pointers, maybe namba hio ya mganga wako, coordinate za Njia panda au makaburi uliologea pale mwananyama au namba za mbeba box, you know anything to keep as going!

WOTP: BE REAL, BE YOUR SELF! NEVER BE FAKE! Fake attracts fake!

Lara 1: Nakuja chobingo namba ya mtaalamu huyoooo! Usinikazieee! Well We as the people have the right to know everthing! Every damn thing! Kuanzia comment ya kwanza una comment humu! Mpaka uka secure the bag!

STAY TUNED FOR AUTO BIOGRAPBHY OF OUT ONE AND ONLY MVP WA WANAWAKE WOTE HUMU MMU THE BADEST BEACH WOMAN OF THE PEOPLE!!!!!!!!!!!! Unfiltered! Name dropping kama zote! Mtanisehe hawezi mwenzangu kupata Fuba hilo mi nipo tu! Stress nawamalizia nyie kwa kuwataja majina mwanzo mwisho! Sio wanawake sio wanaume!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️sijapenda huko mwisho the only MVP wa wanawake wote huku jf
Lakini no hate am happy for her[emoji1376]
am curious na hizo name dropping huu uzi tutafika mwisho kweli?
 
Back
Top Bottom