KIZEE CHA SIASA!
Kama mjuavo mimi na siasa kushoto na kuliaaa! Kabisaaa! Kama mashariki ilivo mbali na mangaribiiiii! Sasa mtajiuliza hiko kizee cha siasa nimetoka nacho wapiiii?
Nawapa siriiii! Hakuna sehemu Ina madanga ya maana kama Siasa! Wabungeeee! Wabeba mabox! Ma CEO! Investors! You mention! Wote wapo kule!
After all kule competition ni very minimal next to non existing! It’s like the trophies are for the taking ! All you need is just a tiny bit wincy of a brain! And unluckily for you, you have none whatsoever! Tulia tu MMU na hawa misingi viuno wetu kina
griffin
Mpaka hapa MOTP was tomenting me! Hanitakiiiii kabisaaa kabisaa wakati mi nampendaaa mwenzie badooo! Ila mtoto ana muhudumiaaa kama wakeee! Mpaka mda Mwingine nilikuwa najifikirisha mtoto wake! Akili za mchana!
Katika denial nilizo kuwa Na pitia, mara paaap! Ikaingiaaa Dm! Mambo mrembo! Nikapita nayooo tu! Nione mwishooo! Akajitambulishaaa! Ila mi mkubwaaa sanaaa kwakooo!
Nikamuuliza do we know each other? Akasema hapanaaa! Not all but...... nimekuwa recommended na KAKA KIIZA! !!!!!! Baaaasssss!!!!!
Alivosema tu KAKA KIIZAAAA! I knew it was serious business! I knew this was the real shit! Password ikafungukaaaa kabisaaaaa!
Hili soko la JF Lina dimensions zake na kama masoko mengine Lina madalali wake! Kuna madalali A class na madalali D class! Sasa kama unataka ma CEO, WABEBA BOX WALIOJICHANGA CHANGA VI DOLLA VYAO, WATU WA MAANA inshort KIIZA is there guy!
If you want to hit in the market and you want to hit big better get your self an agent kama KIIZA! He never disappoints! Japo anadai kastaaafu na hadeal tena hizi mambo! You never know! If you kind to him enough he will hook you up!
Of course KIIZA haku ni Hook up out of the blue! Nilikuwa nakunywa nae! Nikawa namlalamikia it’s tough out there! I’m ready to do anything! Absolutely anything nimpe mwanangu maisha! He didnt promise anything! Then boom PM!
Nikampokeaaa Baba shikamoooo! Mimi binti yako tunasaidianaje? Baba akasema mimi bwana I have everything to loose except cash wich I will loose gladly kama tukielewana! Ila KIIZA kaniambia you have a kid and no father yet you look stunning! Mimi kuwa baba sio tatizo kabisaaa!
Nina watoto wa nne! Na mke wangu nilimuoa na mtoto! So it’s fineeeee!!!!! Tena najuaaa umejuaaaa maishaaa, ushajua wanaume umetuliaaaa! I wanna spoil you! Ilaaaaaa! I’m very jelousyyyy!
Nikamwambia baba njoo whatsup! Acha kuwafaidishaaa modes! Whatsup baba kaja na kishindoooo cha mwana ukomeeee! Laki 5 paaap katumaaaaa!
Kama mnavojua mizeeee story zote siasaaaa! Mara TANU mara IDDI AMIN DADA! Mara Jeff Kennedy! Mambo ya Miaka 60! Nikasema au babuuu la Miaka 70 nini! Mmmmmh! Njaaa hizi! Naenda nalo sambamba kwa msaada wa google!
Zee Lina command na Oder mwanzo mwisho sijui zee la jeshi au vipiiii! Baadae likasema now I’m comfortable let’s meet! Ila Kabla ya yoteeee! Katuma 1 million get your self something decent to wear! No showing too much skin! Usije kama kimalaya malayaaaa!
Nikawazaaaa! Nikavaaa suit! SITAKI kumuuzi daddy wangu! Sehemu ya kukutana sasa Masaki, Happipola! Nimejikokiiii! Kama mtu! Nakuja kumuonaaaaa!!! Ayaaaaaaa! Junkie kabisaaa! Miaka 58 tuuuu! Afu yupo fit! He looks younger actually!
Akanambia yeye anafanya ikulu! We talked! Jamaniii shule nimeenda! Atleast! We talked! Akanipa 200,00 niende kwangu! Nikashukuruuu! Sijavuaaa nguooo na 200k nimepewaaaa! Nahama kambiii sahiviiii nahamia chama la wazeee ! TANU OYEEEEE!!!
Kesho nimesizi kwanguuu ana piga simuuu kuna watu wanakuja kwako kuna kazi nataka wanifanyieee! Nipo wakufanyie kivipiiii huku kwanguuu? Yupo tuliaaaa! Wanakuja hapo waelekeze!
Nikapigiwa simu! Zikaja mtu zina suit zimezama ndani zikaanza kufunga Cctv! Nikawauliza kwani Flani ni nani na anafanya Nini? Nikaambiwa utamuuliza mkiwa kitandaniii atakujibu vizuriii! Ila kuanzia sasa upo under surveillance! Hatukushauriiii udangeeeee!!!! Kudanga sahivi nje ya nyumba!
Usiku kaja ! Analalamikaaaa! Mbona unakaaa mazingiraaa mabovuuu hiviii! Ki andata cha mbwaaa hiki! Nikamwambia huu urithiiii! Wazazi wamenipinda wameniachiaaaa! Akasema hata kamaaaa! Siweiziii lala huku mimi! Nitakuwa na ku monitor tu kwa simu! 24hrs! Akaondoka! Ha kulala paleee!
Yaani mpaka hapooo nakogaaa pesa tu! Papà sijatoaaaa kabisaaaa! Akaniambia siku nikutumie nae gymcana ! Nikamkuta na wanae wa Kiume wa 2! Akanitambulisha mama enu mdogo! Wakanisalimia! Nikajipa moyo mama yao atakuwa kafaaa! Thubutuuuu! Dakika 10 nyingi mama yao kapiga simu!
Nilichomuelewa Mzee ni mkweliiii! Hasemi uongo bila sababu! Hata wanae si viwanaume vidogo kavichana live anajua vitahimili! Wananiaga bye aunty!
Hapo kidogo nimeanza kumzoeaaa! Nawmwita daddy! Nataka kumcomfuseeee! Nimpotezeeee kabisaaaa! Anapendaaaa hayooo mambo ya daddie! Mda wa kuondoka kama kawa 300,000!
Nikakak chini na Lara, akaniambia kwa anavo Kupa pesa na hataki mechi kuna tatizo zitooo mnooo la kiufundiiii! Lazima weakness yake Ipo kwenye game! Perhaps ashapoteza uwezooo wa mambo yetuuu! He just needs company! Nikasemaaa Mbona itakuwaaa pambeee sanaa! Nipo hapa companion wa kudumuuu!
Bwana weeee vilaki laki vyake vikawa vimenichoshaaaa! Kwanza nakaguliwa kwenye cameraaa24/7! Afu kwa lakiiii! Thubutuuuuuu! Nikapanga nimpige zinga kubwaaa kubwaaa!
Nikamwmabia Daddy nimepata eneo nataka nihame hukuuu! Uwanja Goba million 10! Akasema it’s good kumtafutia mwanao a nice home! Daddie nyieee ana roho ya peke yakeee! Akanipa million 5 kwa bank! Akaniambia 5 nitakupa cash! Nitakwambia pa kukutana!
Basi Daddy ananiambia ujue at my age siwezi kulala na mwanamke ghaflaaa tu hukawiiii kunikaba usikuuu! So I need you to come in my home, look my wife in the face, my family then ujue mimi ni mtu mzuriiii! I’m a family man! Hapo nitakuwa na amani kulala na wewe hutanikaba na mtooo!
Nikaenda Jumapili kuna barbecue kwakeee! Masakiiii! Nikakaa meza moja na mkewe na wanaeee! Pesa hiziiii! Kama mtu! Anamwambia huyu binti na msaidia ni kama mwanangu tu! Mkewe anasema mmmhhh unasaidiaga wazuriii wazuriiii tu! Wa barabarani huwaoniii? Binti usikose rahaaa! Namtaniaaa tu!
Kuna mda Mkewe kanikaba kwenye angle kwa hio wewe ndo msaidizi wangu sahiviii! Najibaraguzaaaa hapanaaaa! Hapanaaaa! Sio hivooo! Akasema aaah maisha mafupi sikufanyiiii ubaya kesho nimetanguliaa umekuwa no 1 ukumbuke Wema wangu kwa wanangu! Niko sawa mama! Maishaaa hayaaaa!
Ananiambiaa mkumbushe kumezaaa dawa, ana pressure ya kushukaaa! Na pombe kidogooo sanaaa! Na speed zenu kunakooo utakimaliziaaa hiki kizeeee! Niko Yes mom! Balaaa lilikuwa zito ndugu msomajiiii!
Kama kawa 300,000 zangu nikaondokaaaa! Tena Nishapata mkandaaa kizeee kama hikiii mechiii haikeshiiii kabisaaa kamoyo kashaanza kusuaaa suaaaaa! Naenda kuchukua million 5 fastaaaa! Kama natelezaaaaa!!!!
Akaniambiaaa ameona Serena panafaaa! Nimejikokiiiii! Nimepigaaa zote nyeupeeeee! Vizeee vya jandoooo hiviiii! Vina traditions sanaaaa! Unaweza VAA red akaghairi mechiii! Nimepiga na shanga zanguuu! Tena Niko makini kwa rangiii za shanga na maana zake! Traditions again!
Naondoka mwanangu ananiambia mama nileteee zawadiiii! Nikamwambiaaa ata baba! Utulieeeee! Naingiaaaa kazini kwa mbwembweee!
Tumekunywaaa kidogo! Tukazama rooom! Nikampa dawa zake kabisaaa! Sitaki mada case mieeeee! Kwenye dressing table kuna bahashaaa Ina million 5 kabisaaa naionaaaa! Yaaani ni ndani ya dakika 0 ILE million 5 inabadilisha ownership! I nearly screamed!
Nikaanza kumi andata Daddie! Kama nilivowaambia traditions! Bwanaaaaaa bwnaaaaa! Kwenye kumuandaaa ila namvuaaa boxerrr naionaaa mashineeee! ANACONDA! Tena yule mzeee! Hamo akasomeeeee! Mjubileng huu hapaaa!
Wasomaji mimi ni mdogo mdogooo! Mfupi afu mwembamba ule MJUBILENG napambana nao vipiiii? Si natenguliwa kizaziiii!!! Tobaaaaa! Nawazaaaa sijui nikimbieeeee! Machoziiii ya anilengaaaaa! Nikiwaza million 5 pale kwenye mezaaa najitiaaa moyoooo! You can do this! You can do this! Dakika zako 15 umetoka na bahashaaa! Don’t be pussy! Pambana na mjubileng uleeee pesa yenyewe ya maana!
Yaani ule mjubileng unataka mahesabuuuu makaliiii sanaaa! Na kama hujapitaaa mkoleniii lazima sehemu zako za Siri ziharibiwerr vibayaaa sanaaa! Unaweza pata fistulaaaa! Hahahahaa! Weeeeeeee! Nikawaza wote unizamee aaahhh thubutuuuuu! Ndo maana alikuwa ananimwagia helaaaaaa! Anajuaaa ulemavu wa papà atao niachia!
Uzuri nilibeba mafuta ya olive oil nimfanyie massage daddie vizeee vinapendaaa sanaaa! Nikayakumbukaaa! Nikamwambiaaa daddie Ngoja nikufanyie massage ya mjubileng!!! Akakubaliii! Mafutaaa kama yoteeee!
Nikaonaaa ana enjoyyyy! Kama anakujaaa! Nikasema sifanyiiii makosaaa! Napitaaa naeee round hiii moja mojaaa! Nikakumbuka kungwi alikuwa anasisitiza ku master style ya kuchuchumaaa miguuu ndo ikusupport! Sikuwahi kujua umuhimu wake!
Manake ukisema yake juu kwa kupigaaa goti, Ali kushuka kiuno mtu mwenyewe wa gym anakushusha kwenye mashine wima wimaaaa! Huna bahatiii!
Nimedandiaaa kwa style kama naruka churaaa! Nimeikaliaaa robo na support ya miguuu! Nimeenda nae kidogo tu nishamlegezaaa! Kajaribuuu kunishushaaa wapiii miguuu ime support! Nimekwea mnazi juu kwa juuu wazungu haoooo! Nikarukaaa fastaaa!
Dada wa kazi nishampa code red! Akapiga simuuu shangazi kaja anauliza Mbona Huru di! Nikajisemesha Niko njianiii! Nika kwapuaaaa lile bahashaaa! Motoooo! Sikuhesabuuuu!!!!
Babu ana nitexttt mtoto mtamuuuu sanaa ila umenipaaa kidogooo sanaaa! Nataka nije nikufaidiiii mzimaaaa mzimaaaaa!
WEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
ITAENDELEA kesho!