Weekend story: A Woman of the people

Weekend story: A Woman of the people

Baada ya kutokaaa pale kwenye mission impossible nikurudi nyumbani na kujikandaaa kwanza na barafuuuu! Nikaona nichungulie kwenye kiooo! Maaan jamaniii mashineeee ile sio ya kitoto!

Daddie ana piga simuuu mpaka basi! Naenda nae ki siasa ila kurudi tena kwenye MJUBILENG thubutuuuuu!!!! Matter of fact nikawaza KISTAAFU umalayaaaa! Kama kiinua mgongo cha million 10 nishachukuaaa! La msingi na secondari nifungue biashara basi! Nitadanga mpaka lini! Mwisho nitafia kwenye MIJUBILENG mwanangu abakie hana mzazi bureeee! Abakie Yatima bureee!

Asubuhi nikaenda kko Sokoni kwa msomaliii mbibi ndo wakali wa hizi kazi! Nikamwambia Naomba jani la kurudisha mitambooo sehemu zake! Akasema hali ipojeee! Nikamwambia hali Tete!

Akasemaaa 20,000! Nikatoa! Akasema unatwanga unachambiaaa! Mmmmh! Wasomali sina shakaaaa nao kabisaaaa! Ndo wakali wa hiziiii kazi! Siku zangu 3 inakuwa mpyaaaa kama ya mtoto mchangaaa!

Linalofuata Babu nammwaga vipi? Babu yule ni mtemiiii! Kummwaga kokote lazimaaa DIPLOMASIA ihusikeeee! Na million 10 yake nishakwapuaaaa! Ila ule mjubileng hapanaaaa! Hata kama mimi ni Yatima na Yatima hadekiiiii ila sio kwa teminator lileeeeee!!!!

Nikaanza nae mbaliii sanaaa! Daddie si unajua mi ni YATIMA na kwa wazazi wangu nilizaliwa peke yangu! Na Nina ndugu mmoja tu upande wa baba! Daddie ananionea hurumaaa! Hajui napoelekeaaa!

Sawa Daddie unanijaliii sanaa pesa una nips sanaa! Ila kuna mtu anataka KUNIOA! Simple di kama wewe Daddie naweka weka grease kidogo! Ila akinioa atanipa familia! Manake akinioa familia yake itakuwa familia yangu! And I do really need a family! Najua yeye kunipa familia haweziiii!

Akasema Sawa! Ila kwa ukijuaaaa THIS LIFE IS ONE BIG LIE! Either way life fack is all! I hope you find what you are really looking for! Na jibu naona tick mojaaaa! Nikajua nishachezea block! Raha ya wazee wenye pesa zao hawadiiii chaooo!

HUREEEEEEEEEEE! I was finally free and free at last! Nikamuita fundi nikamuuzia zile camera! Hapo Nina 10m faida ya una lui I! Na mwanangu kila siku tunakula marrybrown! Tunajichanaaa hatariiii!

Nikafungua ki supermarket! Mshenziiii tu! Kuagiza Yale mafriji sijui nini freezer, chocolate pesa yooote 10m kwapuuuuu! Imeishaaaa ndugu msomajiii! Hizi biashara tuwaachie tu wachaga!

Nashinda supermarket kwa siku unauza 50,000 sasa hapo unakula nini, unaishi vipi na unanunua mzigo na Nini! Nikaonaaa hapa nimepigwaaaa! Biashara hamnaaa hapaaa!

Na biashara ya umalaya nayo Ina karma hatariiii! Ukimkataaa bwana mziriii tu, jiandaeeee anaekujaaaa fekeroooo! Jamaniiiii jamniiiiii! Mbona mambo Black mamba!

Nikamtafuta shoga angu Mdigo! Tuliwazaneeee kwanzaaa! Anipe code! Narudije sokoniiiii! Soko limekaaa vipi! Akaniambiaaa Jf sahivi hamnaaa kituuuuu! Kumekauuuukaaaa hatariiiii! Ila nasikia Nyani Ngabu karudi na vidola dolaaa vyakeee!

Nikamwambiaaaa weeeeee! Nyaniiii huyuuu huyuuu! Akasema ndiooo shogaaa! Ila si unamjua alivokuwaaa mkavuuu! MOTP is cruel Ila Nyani is HEARTLESS and SOULESS! Yale mafutaaaa ya motoooo sio maji! Yule ni sumuuuu hajaribiwi kwa kumuonjaaaa!

Kiukweliiiii utumbooo ulinitetemekaaaaa! Nyani sio mtu wa kumchezeaaa! Inaitwa una balance shobo zako zoteeeee! Mmmmmmmh Kina kirefuuu!
Ukapita ukimyaaa mrefuuu! Kama shetaniiii kapitaaaa Kati yetu! Mdigo akasemaaa ila kila shetaniiii na mbuyuu wake! Kuna mchatiiii kamtulizaaa na kamkwapuaaaa Iphone 12 mchana a kweupeeee! GB 500 dada! Kiulaniiii!

Mmmmmhhhh! Hapo hapo nikapata wazo kila shetaniiii Lina nyimbo zake! Every beast has their rhythm! All we have to do is find his rythim! Kama mtoto kalegeaaaa yuleeee kamnyakuaaa I phone 12 pro max sisi wakongwe je!

Nikamwambia sikia Mdigo! Nyani is cynical and a psychopath, hatabiriki one minute he is so nice, the next anakutukania makaburi ya wazazi wako! He has no limit when he goes low! He is a beast! Yet still HE IS STILL A MAN! A man with code of honor! He is true to his beliefs!

Come to think of this, Nyani hawezi kukupa unsigned check! Nyani hawezi kukuzalilisha chumbaniii kama MOTP! He is a man of honor! Hataki kufanyaa mjingaaa tuuuu! Na kwakeee tunaendaaa kiutiiiii mwendo wa YES BOSS! Hatuyatibuuu mashetaniii yake kabisaaa! Trust me it will be okay! No cards under our sleeves! Honesty and honesty only!

Mdigo akasemaaa Aaaaah wapiiiii! Yule tukimtibua tutakuta papà zetu MMU! He has no limit! He is not the one to play with! SITAKIIIIIII! Sithubutuuuuuu!

Nikamwambia sikia Mdigooo! Be at the best at what you do! Sisi tumeamuaaaa kuwa malaya so let us be the best kwenye hiliiii! Kuna levels za umaluuni! Let’s go a little higher! CALMING THE BEAST LEVEL OF PROSTITUTION! Kwanza watu kama waleeee hawawezani na watu wengiii! Competition is very low!

Mdigo akasema HAPANA! Though I wish you all the best! Papà yako ikipostiwaaa utanisamehe niki comment I told you so! HAHAHAHAAAAA!

Nikamwambia Mdigo juzi nimemsurvive MANDINGOOOO! Trust me Nyani can not be any worse! Hii kaziiii naipigaaaa! Na nakualika uoneee kwa macho yako HOW I MAJESTICALLY SLOUGHTER THE BEAST!!!! Mdigo akatikisa tu kichwa or you get swallowed by the beast! Hahahaaaaa! Tukachekaaaa!!! Mdigo akasisitiza ITS NOT WORTH IT!

Simba mkaliiii lakini anazaaa na vyake vinaliwaaaa! Itakuwaaa Nyani! Nyani ananijuaaa kwa ID! Na I’d yangu mswahiliiiii balaaaaa! Hata kwa dawa haweziiiii kunipa date! Na ID mpya pia ana si discredit fastaaa! Mjanja mjanja sanaaaaa!

Online Kim pata sio rahisiiii! Hata ofline ku mpata mimi kama mimi sio rahisiii! Itikadi zangu sio mambooo yakeeee! Uswahiliii mwingi hivooo yani! Ikabidi sasa niwe impostureeee!

Katika kupeleleza kwangu kwa mkongwe mmoja nikajua atakuwa kiwanjaaa flaniii posta! Na wastaarabu wachacheeer! Nikamuombaaa mkongwe anipe nafasiiii! Akasema wewe sio type yakeee kabisaaa! The guy is not into single moms! Nikamwambia kwani mtoto nakuja naeee! Mbona hivoooo! Mimi sijakwambia nataka niwe mkeweeee! Mechi moja mashartiiii kibaoooo Acha hizooo! Akasema basi mjifanye kama Ambush tu!

Nikamwmabia Mdigo EL PLANO part 2 imeanzaaa! Hutakiiii kumuonaaa Nyaniii Na swagaaa zake za USA! Umbeaaa anatakaaa! Nyani anamuogopaaaa! Ila umbea ukaishindaaa nafsiii! Akakubaliiii!

Tumevaaa Na kuvuaaaa mara 10! Mwisho tu Kasema twendeee tu! Mkongwe anatupanga wako 2 guys from USA! Nyani Na mwenzieee! Nikamwambia tuko wa 2 Shaka ondoaaa! Namwambia mdigooo niachie Nyani huyo mwenzieee halali yanguuu! Mdigooo anasema nimekujaaaa kulewaaa sitakiii bwanaaa!

Tumefika kwanza tuna wazoom! Meza ya pembeni! Kucheki kule wako wanaume wa 2! Ambao ni tofautiiii unajuaaa kabisaaa hawa wanyamweziii! Jordan’s sio za Vunajbei! Saa sio midosho! Tshirts zenyeweeee!

Kimbembe mmoja Fidodidooo kama Snoopy, afu kuna mmoja ana BODY! La kufa mtuuu! Six pack hadi ndani ya tshirt unazionaaa! Maana alivaaa V neck! Aaaaaaaaah! Nikajiapizaaaa sitakiii sh 100 yakeeeeee! Tumepewa bureeee tupeaneeee bureeeeee!

Nikamwambiaaa Mdigo kuna change of plans! Kweli nime kuja kumfata Ngabu ila namtaka yule mwingineeeee! Mdigooo kanijiaaaa juuu hapanaaaa! Haiwezekaniiii! Haaaaaaaa! Na muuliza wewe si umefata pombeeee shikaaa adabuuuu! Akasema labda unifunge kambaaa! Pale kwa 50cent gombania goliiii!

Mkongwe akatuitaaaa mezaniiiii! Shoga angu Mdigo sio shogaaa kawahiiiii pembeni ya 50cent! Na mimi nikawahi pembeni! Malaya wa 2, tushaachana na habari za nyani tunamganda 50 cent!

Mdigo anasifiaaa Saa nzuriii! 50 yuko thanks! Sasa Yule mkongwe aliwa concise kina Nyani sisi sio mademu wa MMU! Kwa hio wakawa wanajiachiaaaa! Mkongwe akamuitaaa Nyani! Maraaaaa 50 cent akaitikaaaa! Naaam! Tukakanyagana Na mdigoooo

Nikajuaaaa kazi imeishaaaa! Sababu Mdigooo tushakubalianaaa Nyani hamtakiiii! So Fido Dido lazima amuhusuuuuu! Heheheeeeee! Ujasiri mda Mwingine unalipaaaa! Nimechukua ushindi wa mezaniiii! Nikajua sasa kashajuaaaa! Nyani shemeji yake kesi imeishaaaa!

Naona anajisemesha semeshaaaa sanaaaa! Hana adabuuuu huyuuuu! Nitamtwanga chupaaaa hanijuiiiii! Nikamwambia twende chooni! Akadindaaa siskiiii mkojo! Nikamnongoneza unakuja au nikuburuteeeee! Akasema twende shogaaa anguuu!

Tumefika chooni palichimbikaaaa!!!! Na muuliza ndo nini? Mbona unaniletea ungesee! Tumekubaliana nini afu unafanya nini? Fidodido ndo wakooo!

Mdigo akasema hapanaaaa!!! Yale sio makubaliano rasmiiii! Wanaume wote wa maana uwachukue wewe hapanaaaa!

mmmh! Nikachezaaa karata ya mtoto! Shoga angu sikiaaa wewe bado bintiiii! Leba hupajuiiii! Afu mi mkubwa kwakooo! Nakuzidiiii mpaka dhambiiii! Niachie basiii huyu mchatiiii mmoja tu! Kibingwaaaa! Au vipi shogaaa anguuuu!

Akasema Hapana kwanza Nakudaiiii! Ulinipeleka kwa MOTP nikakopwaaaa! I never held that against you! It’s time to pay back! Nifidie kwa kuniachiaaaa Nyani! Then we will be even! Kiubinadamu tu!

Nikamwambia diplomasiaaa imeshidjikana sasa vita ni vita muraaaa! Nikarudiiii!

Jamani Naomba ieleweke kwenye maswalaaa ya vitaaaaa! Huyuuuu NAMLA BILA KUMTAFUNAAA ASUBUHI KWEUPEEEEE!!!! Mtoto mdogo sanaaaa!!!!

Tumekaaa mezaniiiii! Nikaanza kumteketeza adui yanguuu mapemaaaa sanaaa! Nikamwambia Nyani huyu shoga angu mdigoooo! Wa Tanga! Wale was wahiii Swahili! Nyani akawa startled japo akaikanyagiaaa! Fido Dido anajiongeza maskiniii! I like Tanga women! Heheheheeeee! Namwambiaaa umeonaaaa! Anajimalizaaaa! Mdigooo kanunaaaaa! Nikajua nimemmalizaaa! Waaapiiii!

Akaniuliza umempigia dada wa kazi simuuu kujua kama mwanao amelala? Hivi ashaacha kunyonyaaaa au bado? Si hajafikaaaa Miaka mi tanò! Daaaaaah! Malayaaa mchafuuuu huyu! I’m a mother and as maternal instincts siweziiii Kimkanda mwanangu kwa sababu zote zileeeee!!!! Nikaonaaa kabisaaa Nyani yuko disppointed! Nikatoaaa simu! Namuongeshaaa this is my boy! Isn’t he handsome! Anagunaaa tu mmmmh!

Namwambia ain’t babies the cutest things in the world! Anagunaaa tu mmmh! Nikakandamiza bora mimi I made 1 mistake just 1 but dunia umenipa furahaaa kubwa from the mistakeee! Sio watu wengineeee hawana watoto ila wametoa Mimba mpaka vizaziiii! Ukiona hawana watoto kumbe watoto wao 10 wapo kwenye pipa la Dr! Inaitwa massacre! Nilimbamizaaaa moja la kooo Mdigooo!

Mkongwe akaonaa kabisaaa uwanja umegeukaaa RED! Ananikanyagaaa! FITA NI FITA MURAAAAAA! Mdigo akadakiaaa! Watu wengi mkizaaaa humjui kujitunzaaaa! Mwanaume utahangaika vipi na sehemu imepitisha the WHOLE baby! Uache sisi vichunaaa! Tumbo flat! No stretch marks! Why be an uncle! Eti Nyani? Na alifanya vile kusudi cause anajua Nyani ni lethal! Fido Dido anakuja liana naeeee 100% anakomaaa I like your figure mamacita! Nyani anataka kuongea anaishiaaa njiani!

Nikambamizaaa Mdigooo! Vi body si ndo ofisi zenu ma slay queen! Lazimaaa! Utambieeee! Mi nakuelewaaaa unatangaza biasharaaa! Dakika 10 hazijaishaaa ila ushatangaza biasharaaa! Maliziaaa SH NGAPI tujue mojaaa! Fido Dido alifikaaa beiiii! Mi nitalipaaaa!
Akanibamizaaaa wewe huuzi? Mjini unafanya kazi gani? Sema hapa mjini unafanya kazi ganiii? Kama mapambano sikutegemea Mdigo ni Taliban! Na anakaribiaaa kutekaaa nchi! Siwezi kukubaliiii!

Nikamwmabiaaa mimi mapenzi sio kaziii! Mapenzi stareheeee! Kama huyu kaka hapa nimemuelewaaa! Kwanini nijibaneeeee! Nasemajeeee naenda kumpaaaa bureeee! Bureee kabisaaa usiku kucha! Nime mfeeel tu! Kama Na wewe huuzi kampe Fidodido bureeee usiku kuchaaaa! Niakkata tawi tulilokaliaaaa woteeeee! Yeye anajitiaaa taliban sasa mimi Jihad John! Fidodido akadakiaaa I like you girls! You ao direct! I love Africa! I love Tanzaniaaaa!

Mdigooo akadakiaaa! Once a mother always a mother! Unanipa oda kama binti yako! Let’s make it fun! Tubet! Shingi 100 hii hapa! Mkongwe Zungusha! Nakuachiaaa wewe jichagulie! Kichwa Nyani, Na Mkia Snoopy! Anaebakiaaa namchukua mimi!

Mkongweee kazungushaaa! Rohoooo inanidundaaaaa! Anataka kufunua, Nyani akamzuiaaaaa! Niakasema so he has a heart after all! Whuuuuuu! Akasema let’s make it more interesting! LET US BOYS BET! Ila before we bet! Hatuwajuiiii so CONVINCE US! What do you have to offer? What is on the table!

Nikamsukumia Mdigo Anza wewe! Ili nitumie flows zake ku make a better offer! She offered an offer no man can ever refuse! Akasema! EVERYTHING IS ON THE TABLE! Haaaaaaa! Wote tukamuangliaaaaa! Fidodido kapagawa everything as in EVERYTHING! Akajibuuu yes, EVERY GAD DAMN THING! And I mean it!

Ndugu msomajiiii how higher can it get! Malaya katuma laki kwenye umaluuni wake! Kaweka kila kituuuu mezaniiii! Atakuwa kamielewa sanaaaa Nyaniiii! Mie pia nimemuelewaaaa! Ila EVERYTHING jamaniii kweliiii haki hiooo! Kumuachia Malaya ashinde siweziiii! Ila kama ku bid kasha bid highest offer there is!

NAKUACHIA HOME WORK NDUGU MSOMAJIII NISHAURIII NIFANYAJEEEE! WACHATIII NDO KAMA WALEEE WANYAMWEZIIII!!!!

ITAENDELEA kesho usiku!
 
Saa tisa na dk. 18 usiku! Najifunza ubabe wa watu wa mjini huku nikiwa zangu kijijini, JF idumu, Mungu oyeee (kwa sauti ya Jiwe)
 
KIZEE CHA SIASA!

Kama mjuavo mimi na siasa kushoto na kuliaaa! Kabisaaa! Kama mashariki ilivo mbali na mangaribiiiii! Sasa mtajiuliza hiko kizee cha siasa nimetoka nacho wapiiii?

Nawapa siriiii! Hakuna sehemu Ina madanga ya maana kama Siasa! Wabungeeee! Wabeba mabox! Ma CEO! Investors! You mention! Wote wapo kule!

After all kule competition ni very minimal next to non existing! It’s like the trophies are for the taking ! All you need is just a tiny bit wincy of a brain! And unluckily for you, you have none whatsoever! Tulia tu MMU na hawa misingi viuno wetu kina griffin

Mpaka hapa MOTP was tomenting me! Hanitakiiiii kabisaaa kabisaa wakati mi nampendaaa mwenzie badooo! Ila mtoto ana muhudumiaaa kama wakeee! Mpaka mda Mwingine nilikuwa najifikirisha mtoto wake! Akili za mchana!

Katika denial nilizo kuwa Na pitia, mara paaap! Ikaingiaaa Dm! Mambo mrembo! Nikapita nayooo tu! Nione mwishooo! Akajitambulishaaa! Ila mi mkubwaaa sanaaa kwakooo!

Nikamuuliza do we know each other? Akasema hapanaaa! Not all but...... nimekuwa recommended na KAKA KIIZA! !!!!!! Baaaasssss!!!!!

Alivosema tu KAKA KIIZAAAA! I knew it was serious business! I knew this was the real shit! Password ikafungukaaaa kabisaaaaa!

Hili soko la JF Lina dimensions zake na kama masoko mengine Lina madalali wake! Kuna madalali A class na madalali D class! Sasa kama unataka ma CEO, WABEBA BOX WALIOJICHANGA CHANGA VI DOLLA VYAO, WATU WA MAANA inshort KIIZA is there guy!

If you want to hit in the market and you want to hit big better get your self an agent kama KIIZA! He never disappoints! Japo anadai kastaaafu na hadeal tena hizi mambo! You never know! If you kind to him enough he will hook you up!

Of course KIIZA haku ni Hook up out of the blue! Nilikuwa nakunywa nae! Nikawa namlalamikia it’s tough out there! I’m ready to do anything! Absolutely anything nimpe mwanangu maisha! He didnt promise anything! Then boom PM!

Nikampokeaaa Baba shikamoooo! Mimi binti yako tunasaidianaje? Baba akasema mimi bwana I have everything to loose except cash wich I will loose gladly kama tukielewana! Ila KIIZA kaniambia you have a kid and no father yet you look stunning! Mimi kuwa baba sio tatizo kabisaaa!

Nina watoto wa nne! Na mke wangu nilimuoa na mtoto! So it’s fineeeee!!!!! Tena najuaaa umejuaaaa maishaaa, ushajua wanaume umetuliaaaa! I wanna spoil you! Ilaaaaaa! I’m very jelousyyyy!

Nikamwambia baba njoo whatsup! Acha kuwafaidishaaa modes! Whatsup baba kaja na kishindoooo cha mwana ukomeeee! Laki 5 paaap katumaaaaa!

Kama mnavojua mizeeee story zote siasaaaa! Mara TANU mara IDDI AMIN DADA! Mara Jeff Kennedy! Mambo ya Miaka 60! Nikasema au babuuu la Miaka 70 nini! Mmmmmh! Njaaa hizi! Naenda nalo sambamba kwa msaada wa google!

Zee Lina command na Oder mwanzo mwisho sijui zee la jeshi au vipiiii! Baadae likasema now I’m comfortable let’s meet! Ila Kabla ya yoteeee! Katuma 1 million get your self something decent to wear! No showing too much skin! Usije kama kimalaya malayaaaa!

Nikawazaaaa! Nikavaaa suit! SITAKI kumuuzi daddy wangu! Sehemu ya kukutana sasa Masaki, Happipola! Nimejikokiiii! Kama mtu! Nakuja kumuonaaaaa!!! Ayaaaaaaa! Junkie kabisaaa! Miaka 58 tuuuu! Afu yupo fit! He looks younger actually!

Akanambia yeye anafanya ikulu! We talked! Jamaniii shule nimeenda! Atleast! We talked! Akanipa 200,00 niende kwangu! Nikashukuruuu! Sijavuaaa nguooo na 200k nimepewaaaa! Nahama kambiii sahiviiii nahamia chama la wazeee ! TANU OYEEEEE!!!

Kesho nimesizi kwanguuu ana piga simuuu kuna watu wanakuja kwako kuna kazi nataka wanifanyieee! Nipo wakufanyie kivipiiii huku kwanguuu? Yupo tuliaaaa! Wanakuja hapo waelekeze!

Nikapigiwa simu! Zikaja mtu zina suit zimezama ndani zikaanza kufunga Cctv! Nikawauliza kwani Flani ni nani na anafanya Nini? Nikaambiwa utamuuliza mkiwa kitandaniii atakujibu vizuriii! Ila kuanzia sasa upo under surveillance! Hatukushauriiii udangeeeee!!!! Kudanga sahivi nje ya nyumba!

Usiku kaja ! Analalamikaaaa! Mbona unakaaa mazingiraaa mabovuuu hiviii! Ki andata cha mbwaaa hiki! Nikamwambia huu urithiiii! Wazazi wamenipinda wameniachiaaaa! Akasema hata kamaaaa! Siweiziii lala huku mimi! Nitakuwa na ku monitor tu kwa simu! 24hrs! Akaondoka! Ha kulala paleee!

Yaani mpaka hapooo nakogaaa pesa tu! Papà sijatoaaaa kabisaaaa! Akaniambia siku nikutumie nae gymcana ! Nikamkuta na wanae wa Kiume wa 2! Akanitambulisha mama enu mdogo! Wakanisalimia! Nikajipa moyo mama yao atakuwa kafaaa! Thubutuuuu! Dakika 10 nyingi mama yao kapiga simu!

Nilichomuelewa Mzee ni mkweliiii! Hasemi uongo bila sababu! Hata wanae si viwanaume vidogo kavichana live anajua vitahimili! Wananiaga bye aunty!

Hapo kidogo nimeanza kumzoeaaa! Nawmwita daddy! Nataka kumcomfuseeee! Nimpotezeeee kabisaaaa! Anapendaaaa hayooo mambo ya daddie! Mda wa kuondoka kama kawa 300,000!

Nikakak chini na Lara, akaniambia kwa anavo Kupa pesa na hataki mechi kuna tatizo zitooo mnooo la kiufundiiii! Lazima weakness yake Ipo kwenye game! Perhaps ashapoteza uwezooo wa mambo yetuuu! He just needs company! Nikasemaaa Mbona itakuwaaa pambeee sanaa! Nipo hapa companion wa kudumuuu!

Bwana weeee vilaki laki vyake vikawa vimenichoshaaaa! Kwanza nakaguliwa kwenye cameraaa24/7! Afu kwa lakiiii! Thubutuuuuuu! Nikapanga nimpige zinga kubwaaa kubwaaa!

Nikamwmabia Daddy nimepata eneo nataka nihame hukuuu! Uwanja Goba million 10! Akasema it’s good kumtafutia mwanao a nice home! Daddie nyieee ana roho ya peke yakeee! Akanipa million 5 kwa bank! Akaniambia 5 nitakupa cash! Nitakwambia pa kukutana!

Basi Daddy ananiambia ujue at my age siwezi kulala na mwanamke ghaflaaa tu hukawiiii kunikaba usikuuu! So I need you to come in my home, look my wife in the face, my family then ujue mimi ni mtu mzuriiii! I’m a family man! Hapo nitakuwa na amani kulala na wewe hutanikaba na mtooo!

Nikaenda Jumapili kuna barbecue kwakeee! Masakiiii! Nikakaa meza moja na mkewe na wanaeee! Pesa hiziiii! Kama mtu! Anamwambia huyu binti na msaidia ni kama mwanangu tu! Mkewe anasema mmmhhh unasaidiaga wazuriii wazuriiii tu! Wa barabarani huwaoniii? Binti usikose rahaaa! Namtaniaaa tu!

Kuna mda Mkewe kanikaba kwenye angle kwa hio wewe ndo msaidizi wangu sahiviii! Najibaraguzaaaa hapanaaaa! Hapanaaaa! Sio hivooo! Akasema aaah maisha mafupi sikufanyiiii ubaya kesho nimetanguliaa umekuwa no 1 ukumbuke Wema wangu kwa wanangu! Niko sawa mama! Maishaaa hayaaaa!

Ananiambiaa mkumbushe kumezaaa dawa, ana pressure ya kushukaaa! Na pombe kidogooo sanaaa! Na speed zenu kunakooo utakimaliziaaa hiki kizeeee! Niko Yes mom! Balaaa lilikuwa zito ndugu msomajiiii!

Kama kawa 300,000 zangu nikaondokaaaa! Tena Nishapata mkandaaa kizeee kama hikiii mechiii haikeshiiii kabisaaa kamoyo kashaanza kusuaaa suaaaaa! Naenda kuchukua million 5 fastaaaa! Kama natelezaaaaa!!!!

Akaniambiaaa ameona Serena panafaaa! Nimejikokiiiii! Nimepigaaa zote nyeupeeeee! Vizeee vya jandoooo hiviiii! Vina traditions sanaaaa! Unaweza VAA red akaghairi mechiii! Nimepiga na shanga zanguuu! Tena Niko makini kwa rangiii za shanga na maana zake! Traditions again!

Naondoka mwanangu ananiambia mama nileteee zawadiiii! Nikamwambiaaa ata baba! Utulieeeee! Naingiaaaa kazini kwa mbwembweee!

Tumekunywaaa kidogo! Tukazama rooom! Nikampa dawa zake kabisaaa! Sitaki mada case mieeeee! Kwenye dressing table kuna bahashaaa Ina million 5 kabisaaa naionaaaa! Yaaani ni ndani ya dakika 0 ILE million 5 inabadilisha ownership! I nearly screamed!

Nikaanza kumi andata Daddie! Kama nilivowaambia traditions! Bwanaaaaaa bwnaaaaa! Kwenye kumuandaaa ila namvuaaa boxerrr naionaaa mashineeee! ANACONDA! Tena yule mzeee! Hamo akasomeeeee! Mjubileng huu hapaaa!

Wasomaji mimi ni mdogo mdogooo! Mfupi afu mwembamba ule MJUBILENG napambana nao vipiiii? Si natenguliwa kizaziiii!!! Tobaaaaa! Nawazaaaa sijui nikimbieeeee! Machoziiii ya anilengaaaaa! Nikiwaza million 5 pale kwenye mezaaa najitiaaa moyoooo! You can do this! You can do this! Dakika zako 15 umetoka na bahashaaa! Don’t be pussy! Pambana na mjubileng uleeee pesa yenyewe ya maana!

Yaani ule mjubileng unataka mahesabuuuu makaliiii sanaaa! Na kama hujapitaaa mkoleniii lazima sehemu zako za Siri ziharibiwerr vibayaaa sanaaa! Unaweza pata fistulaaaa! Hahahahaa! Weeeeeeee! Nikawaza wote unizamee aaahhh thubutuuuuu! Ndo maana alikuwa ananimwagia helaaaaaa! Anajuaaa ulemavu wa papà atao niachia!

Uzuri nilibeba mafuta ya olive oil nimfanyie massage daddie vizeee vinapendaaa sanaaa! Nikayakumbukaaa! Nikamwambiaaa daddie Ngoja nikufanyie massage ya mjubileng!!! Akakubaliii! Mafutaaa kama yoteeee!

Nikaonaaa ana enjoyyyy! Kama anakujaaa! Nikasema sifanyiiii makosaaa! Napitaaa naeee round hiii moja mojaaa! Nikakumbuka kungwi alikuwa anasisitiza ku master style ya kuchuchumaaa miguuu ndo ikusupport! Sikuwahi kujua umuhimu wake!

Manake ukisema yake juu kwa kupigaaa goti, Ali kushuka kiuno mtu mwenyewe wa gym anakushusha kwenye mashine wima wimaaaa! Huna bahatiii!

Nimedandiaaa kwa style kama naruka churaaa! Nimeikaliaaa robo na support ya miguuu! Nimeenda nae kidogo tu nishamlegezaaa! Kajaribuuu kunishushaaa wapiii miguuu ime support! Nimekwea mnazi juu kwa juuu wazungu haoooo! Nikarukaaa fastaaa!

Dada wa kazi nishampa code red! Akapiga simuuu shangazi kaja anauliza Mbona Huru di! Nikajisemesha Niko njianiii! Nika kwapuaaaa lile bahashaaa! Motoooo! Sikuhesabuuuu!!!!

Babu ana nitexttt mtoto mtamuuuu sanaa ila umenipaaa kidogooo sanaaa! Nataka nije nikufaidiiii mzimaaaa mzimaaaaa!

WEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!

ITAENDELEA kesho!
Una hila wewe eti Msingi kiuno [emoji15] za sabuni zinapatikana mbona.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1436]‍[emoji3601][emoji1436]‍[emoji3601][emoji1436]‍[emoji3601]you can sense mkopaji from far dada vipii

Shida Ni kufuata procedures
 
WOTP almanusura achanywe kizazi 😂😂hela hizi
Halafu hapo kwenye daddy sijui kwanini kuna member nimemkumbuka
 
He ain't riding in a lambo

[emoji1][emoji1787]

Lemme go to YouTube seeing some golddigger pranks[emoji1]
 
Fitaaaa ilikuwa fitaaaaa muraaaaaaa!!!!

Nikaweka counter offer EVERYTHING! Fido ana hahahaaa anaonaaa bet inachelewaaa! Mkongwe akazungushaaa ILE shillings! Anataka kufunguaaa! Nyani akamkataza! You know what ladies! Nimechokaaa sanaaa! The nigh was interesting! Ila nalazimika kuondokaaaa!

Fido kidogo amnyonye damuuu! Alajikataaaa kiulaini! SOMETIMES THE DEVIL IS NOT SO BLACK AS HE IS PAINTED! (OR HE IS THE DARKEST SHADE OF BLACK )

Tukaondokaaa kimyaaa kimyaaaaa! Haina manenoooo! Wanasema ukubwa jalala! I decided to be the bigger person! Nikamuita Mdigo mdogo wangu I AM SORRY for tonight , I’m sorry about MOTP! You mean much more than all these dicks combined! peace!

Akasema I’m sorry I used your son against you! I’m sorry Nilikiuka makubaliano! The dude was hot! Nikamwambia twende club! This life time has more dudes to offer than you can ever imagine!

Nimerudi kwangu alfajiriiiii! Nikajitupaaaa kitandaniiii niko hoiiii! Niko bwaaaaaaax! Niko bored! Kufumba macho tu! Nikapotelaaaa usingiziiniiiii kabisaaaa!

Nastukaaa saa 11 jioniii! Nikala bagga! Drunk and fat is not a way to go life! Nikawazaaaa sanaaaaa! Badooo naona kumkosa Nyani ni uzembeee mkubwaaa! Mbona inawezekanaaa kabisaaaaa!

Nikampigiaaa magoti mkongweee! Chonde chondeee nipe 1 more chance! 1 last chance! No mistakes! Akagomaaaa kabisaaa! Anadaiii Jana tumemvuaaa nguo stand ya Magufuli! Nikamuombaaaa answer was no!

Nikamtuma dada bia zingineee! Nikilewaga nakuwaga Na akiliii sanaaaa! Kweli katikaaa ulevi wazo likanijiaaa! Huyu bwege nikimpitishia msakooo wa kiwanja kwa kiwanja nitashindwa kweli Kumpata? Dar yenyewe ndogooo! Na sehemu zinazo happen no chacheeee! Itakuwa uzembeee! Na sababu kaja likizo tu hawezi kukosa sehemu kama 4 tu! NAPITA ZOTEEEE! NO STONE WILL BE LEFT UNTOUCHED!

Nikalala kwanza! Naamka bichwaaa linagongaaaa! Nikaogaaaa maji ya baridiiiii! Kidogooo nifeee! Hamna tiba rahisi ya hangover! Nikanywa Na supuuu! Bado hali yangu ilikuwa ya kusuaaa suaaaa!

Kuja kupata nafuuu Jtano! Mdigo ana nichekiiii vipi hajakitafutaaaaa! Malayaaa huyuuu vipi! Akanistuaaaaa! Au kamtafuta yeye! Nikamtegaaaa sikutaka ajue kanipanikishaaa! Nikamwambiaaa mimi nishaachana na habariiii hizoooo! To hell with him!

Akagunaaaa! Akasema nakujuaaa! Hushindwagi kirahisiiiii! Lazimaaa una karata mkononii!!! Nikamwambiaaa mimi naumwaaa hoiii karataaa gani hiooo! Akagunaaa mmmmmhhh! We si umempigiaaa Mkongweee! Unaombaaa second chance! Nikamkaziaaa so? Si kaninyimaaa! Imeishaaa hio! Akagunaaa tu Mmmmh! Not like you! Nikamuhakikishia kabisaaa sina tricky!

Usiku nikaanza u night walker! Get rich or die trying! Viwanja vi 3 holaaaa! Cha 4 JACKPOT! Nikawazaaa sanaaa! Kwanza alikuwa Na wachat wengineeee! Ana kulaaa bataaa! Akijua I stalked him atakuwa panaroid! Wenzetu hizi issue za Stalking wanazichukulia very serious!

Nikakaa tu karibuuu! Namsikizia story zake! Boring same old staff! Ila akawa anamwambia anaenda Zanzibar! Kesho for a week! Hotel flaniiii! BINGO! Hotel hio ni ghaliii! Ila ni low season! So sometimes you gonna invest in this shit! Zanzibar I’m comming !

Nikamuaga dada exactly napoendaaa! Si mnajua na mtoto siwezi ku disappear out of the blue! I deserve a vacation! Life is hard! Life will always be hard! Mda Mwingine unajitatuaaa tu akiliiii!!!

Nikapakiiii vitu vyanguuu konkiiii! Mdigooo akapigaaa tenaaa! Kama mwangaaa! WOTP umekubalijeeee tumkoseee yule mchatiiii! Nikamwambia sipo huko tenaaa! Na mikakati mipyaaaa! She knew me! She knew I was cooking something and I wasn’t gonna let her in my kitchen! Not after how she behaved recklessly last time!

Nimepanda boat la saa 4! Jioni nipo Zanzibar! Hotel mojaaa ya nyaniii! Sometimes all you need is to be at the right place at the right time and fate will gladly smile upon you! Believe me! Just a little action you are in!

Nacheck in hotel Kama mtu vileeee! Guess who was also checking in? You can never guesss! Mdigoooo huyuuu hapaaa! Looking all glamarlous as usual! Huyu nakuja kumuwekea sumuuu! Hanijuiiii!

Never show your enemy they shook you! Nikamkumbatiaaaa! Waaaoahhh! Nae kinafikiii akanikumbatiaaaa! Kila mtu akalipia room yakeee! Mmmhhh! Let the savagery begin!

Nikawaza Nyaniii lazima nitampata at the pool! Nikatokaaaa kawaidaaa! Sio mtu wa kupaniaaa! Namkutaaa mdigooo kajianikaaa Na bikini body yakeee! All white as usual! Wazungu wanapatitika! Badalaaa ale vichwaaa vya maana anangangania Na fantasy! Bwege tu huyuuu!

Nikarudiiii! Sawa Mungu hajanipa body la Mdigooo Ila kanipa akili! Maybe the pool is not the best spot at my interest! Hizi stretch marks sio za kuanikaaa kabisaaa!

Sometimes you should not dwelll at what you don’t have! Rather than what do you have! Vita yoyote Kabla hujaishinda physically lazima uishinde kichwani kwanza!

“YOU LACK NOTHING! USE WHAT I GAVE YOU! “Sincerely God

She maybe be hot! But I’m smart and she is dumb! I’ll use her dumbness against her! Nikavaaa kigauniii Na kuongozaaa bar! Nafika bar Nyaniii huyuuuu hapa!

Akanikumbukaaa the bet lady! Na Mimi nikamkumbuka! ANAULIZA huku umefata nini? Namwambia vacation! Akashangaaa! Nikamuuliza ulijua mimi mswahiliii? Akagunaaa! He never says much! Nikamwambia njoo tucheze pool!

Hio mitegooo ya pool sasaaa! Kujibiduaaa kama koteeee! He was ready to be shipped! My bed or his bed ndo kilichobakia kuamuliwaaa! Naombaaaa maduaaaa yoteee Mdigooo asitokeeee kokoteee!!!!

Ananiuliza where do you work! Namjibuuu Bank! Anauliza Mbona pale ulishindwa kujibu! Nikamwambia huwezi Jua nani alikuwa anafatilia ule upuuzi siwezi kujapordise reputation ya bank kijinga vileee! Nika muonesha picha yangu ya bank kitambooo! Before the economy crushed!

He was all in! Anajuaaa anabanjukaaa na Banker! Maninaaaa ! Mjiniiii hapaaa! Naona mda unaenda hajiongeziiii na yule akili mbovu mda wowote anaibukaaa! Nika mchana tu YOUR ROOM OR MINE!

Akajibu mine, because it’s a suite baby! Hizo deluxe rooms are not my thing! Namvutaaaa tuwahiiii kama weziiiiii!!! Nilikuwa sitakiii mambo yawe mengiiii sanaaaa!

Na ikumbukwe hii show ilikuwa kifuta jasho! Nishaingiaaa hasaraaa kibaoooo! I was not going to perform! Just sit back and enjoy myself! To the fullest!

The suite was worth every penny! Nilitaka kujisnap nikawazaaaa sanaaa! Atanionaaa mswahiliii! Wakati hapo nipo kwenye character ya corporate banker! Nazungumzia how the season is low!

Kwa kawaidaaa hizi play of skills ni muhimu mda mwingineeee! To bring someone to the mood! Nimekaaa pale! Tunakunywaaa! Mambo mdogo mdogooo! Niki usoma mchezooo!

Game ikapigikaaaa! Siwezi kuwaambia details Ila kama tulivokibalina mtu mwenyewe dakika 3 mbeleee! Baada ya game nikamuuliza mimi na Mdigo alivutiwa na nani siku ile HONESTLY! Hakufikiriaaa! Akasema wewe!

I knew it! HE WAS LIEING LIEING! Kawaida yake ni mtu wa kufikir sanaa! Ila mda huu he was very direct! Na the fact that sijamuonaaa mdigooo jioniii yoteee ile nafsi yanguuu ikawa na Mashaka!

Mdigo naemjuaaa mimi angepita chumba kwa chumbaaa kunikaguaaaa! Yes I did win! Ila the win was so simple! Kama ushindi wa mezaniiii!!! Haukuwa Na ladhaaaa kabisaaaa!!!! Raha ya ushindi uwe wa kupenyaaaa!

Ila nikalala! Nikaja kuamshwaaa na room service mda wa buffeeee ! Nikataka nimsakeee mdigoooo nijueee tu what she is up to! Au nilimfikiriaaa vibayaaaa! Sivooo alivoooo alikuja Na mambo yake mengineee kabisaaa!

Nikashukaaa caffeteriaaa! Nikamkutaaa! Looking flawless as usual! Nikamkumbatiaaa shoga angu tenaaa wa ubaniiii! Akamuitaaa muhudumu Na kumuuliziaaa Nyaniii! Hehehehe haloooooo! Bado ana windaaa wenzie tusha chinjaaaa!!!!

Mhudumuuu akasema Mbona ame check out mda si mda kuna flight anawahiiii Dar! Mdigooo akadakiaaa Ina maana hayupooo kwenye suite yake? Nikamdakiaaa wooooo woooo umejuaje Nyani ana suite? Akasema sababu nimelala nae Jana bafuniii kwa hio suite tulivo toka pool! Ndo kanichoshaaa nikalala kwangu usiku akaenda bar!

Mazafantaaaaaa!!!! Akaniwahi na wewe umejuaje ana suite! Nikamwmabiaaa nimelala nae usikuuu kucha nilikutana nae bar! Hapo hapo tukarukianaaaa!

Mshenziii wewe malayaaa bwana Ali Anza na Mimi but you just couldn’t keep your legs shut! Kaniinamisha bafuniiii mambo yako kuwa heavyyyy! Hapo ngumiii zinapigwaaaa!

Ghafalaaa! Nikakumbukaa KATUTOROKAAA! Nikamwambia mdigo! He PLAYED US! Tumetorokwaaaa! Sasa tukawa page mojaaaa! HE HAS A NERVE! Fastaaa tukawahiii boat! Bahati yake Ali kaa first class Na alikuwa ame book maana kumejaaa!

Feriiii tukamkosaaa! Tukaungaaa nae airport! Mshenziii alikuwa na mwanamke Mwingine wanaagana! Tukamvamia akaombaaa farghaaa na sisi Kama watu wazimaaa!

Tukamwambiaaa inakuwajeeee? Kwanini atuchezeeee mchezoooo mchafuuu! Akajitetea! Jamaniii jamaniiii ndugu wasomaji! Wachatiii you were all throwing yourselves at me tangiaaa bar! You nearly tore each other apart pale bar! You stalked me the hotel!

Well wote ni wazuriiii sanaa kila mtu kwa namna yake! Nilijitahidi kuchaguaa ila nikaonaaa ataenikosa ataumiaaa! Na Kwanini animoseeee Mimi nipo teleee nawatoshaaa woteeee!

Come on! We both enjoyed! It was fun! It can remain like that! After all it’s what we all wanted! Win win! Maybe I didn’t pay for it! Well I was wrong! $500 hiii split it 50/50! Akakuta sura hazinaaa ushirikianooo! Chumba tu $100! Akajiongeza okay $1000! Tukazikwapuaaa! Anasisitiza chukueni namba yangu wa chatiii basiiii! You know to keep in touch!

KWENDRAAAAAAAAAAAA!!!!!!!
 
Back
Top Bottom