lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
- #81
Baada ya kutokaaa pale kwenye mission impossible nikurudi nyumbani na kujikandaaa kwanza na barafuuuu! Nikaona nichungulie kwenye kiooo! Maaan jamaniii mashineeee ile sio ya kitoto!
Daddie ana piga simuuu mpaka basi! Naenda nae ki siasa ila kurudi tena kwenye MJUBILENG thubutuuuuu!!!! Matter of fact nikawaza KISTAAFU umalayaaaa! Kama kiinua mgongo cha million 10 nishachukuaaa! La msingi na secondari nifungue biashara basi! Nitadanga mpaka lini! Mwisho nitafia kwenye MIJUBILENG mwanangu abakie hana mzazi bureeee! Abakie Yatima bureee!
Asubuhi nikaenda kko Sokoni kwa msomaliii mbibi ndo wakali wa hizi kazi! Nikamwambia Naomba jani la kurudisha mitambooo sehemu zake! Akasema hali ipojeee! Nikamwambia hali Tete!
Akasemaaa 20,000! Nikatoa! Akasema unatwanga unachambiaaa! Mmmmh! Wasomali sina shakaaaa nao kabisaaaa! Ndo wakali wa hiziiii kazi! Siku zangu 3 inakuwa mpyaaaa kama ya mtoto mchangaaa!
Linalofuata Babu nammwaga vipi? Babu yule ni mtemiiii! Kummwaga kokote lazimaaa DIPLOMASIA ihusikeeee! Na million 10 yake nishakwapuaaaa! Ila ule mjubileng hapanaaaa! Hata kama mimi ni Yatima na Yatima hadekiiiii ila sio kwa teminator lileeeeee!!!!
Nikaanza nae mbaliii sanaaa! Daddie si unajua mi ni YATIMA na kwa wazazi wangu nilizaliwa peke yangu! Na Nina ndugu mmoja tu upande wa baba! Daddie ananionea hurumaaa! Hajui napoelekeaaa!
Sawa Daddie unanijaliii sanaa pesa una nips sanaa! Ila kuna mtu anataka KUNIOA! Simple di kama wewe Daddie naweka weka grease kidogo! Ila akinioa atanipa familia! Manake akinioa familia yake itakuwa familia yangu! And I do really need a family! Najua yeye kunipa familia haweziiii!
Akasema Sawa! Ila kwa ukijuaaaa THIS LIFE IS ONE BIG LIE! Either way life fack is all! I hope you find what you are really looking for! Na jibu naona tick mojaaaa! Nikajua nishachezea block! Raha ya wazee wenye pesa zao hawadiiii chaooo!
HUREEEEEEEEEEE! I was finally free and free at last! Nikamuita fundi nikamuuzia zile camera! Hapo Nina 10m faida ya una lui I! Na mwanangu kila siku tunakula marrybrown! Tunajichanaaa hatariiii!
Nikafungua ki supermarket! Mshenziiii tu! Kuagiza Yale mafriji sijui nini freezer, chocolate pesa yooote 10m kwapuuuuu! Imeishaaaa ndugu msomajiii! Hizi biashara tuwaachie tu wachaga!
Nashinda supermarket kwa siku unauza 50,000 sasa hapo unakula nini, unaishi vipi na unanunua mzigo na Nini! Nikaonaaa hapa nimepigwaaaa! Biashara hamnaaa hapaaa!
Na biashara ya umalaya nayo Ina karma hatariiii! Ukimkataaa bwana mziriii tu, jiandaeeee anaekujaaaa fekeroooo! Jamaniiiii jamniiiiii! Mbona mambo Black mamba!
Nikamtafuta shoga angu Mdigo! Tuliwazaneeee kwanzaaa! Anipe code! Narudije sokoniiiii! Soko limekaaa vipi! Akaniambiaaa Jf sahivi hamnaaa kituuuuu! Kumekauuuukaaaa hatariiiii! Ila nasikia Nyani Ngabu karudi na vidola dolaaa vyakeee!
Nikamwambiaaaa weeeeee! Nyaniiii huyuuu huyuuu! Akasema ndiooo shogaaa! Ila si unamjua alivokuwaaa mkavuuu! MOTP is cruel Ila Nyani is HEARTLESS and SOULESS! Yale mafutaaaa ya motoooo sio maji! Yule ni sumuuuu hajaribiwi kwa kumuonjaaaa!
Kiukweliiiii utumbooo ulinitetemekaaaaa! Nyani sio mtu wa kumchezeaaa! Inaitwa una balance shobo zako zoteeeee! Mmmmmmmh Kina kirefuuu!
Ukapita ukimyaaa mrefuuu! Kama shetaniiii kapitaaaa Kati yetu! Mdigo akasemaaa ila kila shetaniiii na mbuyuu wake! Kuna mchatiiii kamtulizaaa na kamkwapuaaaa Iphone 12 mchana a kweupeeee! GB 500 dada! Kiulaniiii!
Mmmmmhhhh! Hapo hapo nikapata wazo kila shetaniiii Lina nyimbo zake! Every beast has their rhythm! All we have to do is find his rythim! Kama mtoto kalegeaaaa yuleeee kamnyakuaaa I phone 12 pro max sisi wakongwe je!
Nikamwambia sikia Mdigo! Nyani is cynical and a psychopath, hatabiriki one minute he is so nice, the next anakutukania makaburi ya wazazi wako! He has no limit when he goes low! He is a beast! Yet still HE IS STILL A MAN! A man with code of honor! He is true to his beliefs!
Come to think of this, Nyani hawezi kukupa unsigned check! Nyani hawezi kukuzalilisha chumbaniii kama MOTP! He is a man of honor! Hataki kufanyaa mjingaaa tuuuu! Na kwakeee tunaendaaa kiutiiiii mwendo wa YES BOSS! Hatuyatibuuu mashetaniii yake kabisaaa! Trust me it will be okay! No cards under our sleeves! Honesty and honesty only!
Mdigo akasemaaa Aaaaah wapiiiii! Yule tukimtibua tutakuta papà zetu MMU! He has no limit! He is not the one to play with! SITAKIIIIIII! Sithubutuuuuuu!
Nikamwambia sikia Mdigooo! Be at the best at what you do! Sisi tumeamuaaaa kuwa malaya so let us be the best kwenye hiliiii! Kuna levels za umaluuni! Let’s go a little higher! CALMING THE BEAST LEVEL OF PROSTITUTION! Kwanza watu kama waleeee hawawezani na watu wengiii! Competition is very low!
Mdigo akasema HAPANA! Though I wish you all the best! Papà yako ikipostiwaaa utanisamehe niki comment I told you so! HAHAHAHAAAAA!
Nikamwambia Mdigo juzi nimemsurvive MANDINGOOOO! Trust me Nyani can not be any worse! Hii kaziiii naipigaaaa! Na nakualika uoneee kwa macho yako HOW I MAJESTICALLY SLOUGHTER THE BEAST!!!! Mdigo akatikisa tu kichwa or you get swallowed by the beast! Hahahaaaaa! Tukachekaaaa!!! Mdigo akasisitiza ITS NOT WORTH IT!
Simba mkaliiii lakini anazaaa na vyake vinaliwaaaa! Itakuwaaa Nyani! Nyani ananijuaaa kwa ID! Na I’d yangu mswahiliiiii balaaaaa! Hata kwa dawa haweziiiii kunipa date! Na ID mpya pia ana si discredit fastaaa! Mjanja mjanja sanaaaaa!
Online Kim pata sio rahisiiii! Hata ofline ku mpata mimi kama mimi sio rahisiii! Itikadi zangu sio mambooo yakeeee! Uswahiliii mwingi hivooo yani! Ikabidi sasa niwe impostureeee!
Katika kupeleleza kwangu kwa mkongwe mmoja nikajua atakuwa kiwanjaaa flaniii posta! Na wastaarabu wachacheeer! Nikamuombaaa mkongwe anipe nafasiiii! Akasema wewe sio type yakeee kabisaaa! The guy is not into single moms! Nikamwambia kwani mtoto nakuja naeee! Mbona hivoooo! Mimi sijakwambia nataka niwe mkeweeee! Mechi moja mashartiiii kibaoooo Acha hizooo! Akasema basi mjifanye kama Ambush tu!
Nikamwmabia Mdigo EL PLANO part 2 imeanzaaa! Hutakiiii kumuonaaa Nyaniii Na swagaaa zake za USA! Umbeaaa anatakaaa! Nyani anamuogopaaaa! Ila umbea ukaishindaaa nafsiii! Akakubaliiii!
Tumevaaa Na kuvuaaaa mara 10! Mwisho tu Kasema twendeee tu! Mkongwe anatupanga wako 2 guys from USA! Nyani Na mwenzieee! Nikamwambia tuko wa 2 Shaka ondoaaa! Namwambia mdigooo niachie Nyani huyo mwenzieee halali yanguuu! Mdigooo anasema nimekujaaaa kulewaaa sitakiii bwanaaa!
Tumefika kwanza tuna wazoom! Meza ya pembeni! Kucheki kule wako wanaume wa 2! Ambao ni tofautiiii unajuaaa kabisaaa hawa wanyamweziii! Jordan’s sio za Vunajbei! Saa sio midosho! Tshirts zenyeweeee!
Kimbembe mmoja Fidodidooo kama Snoopy, afu kuna mmoja ana BODY! La kufa mtuuu! Six pack hadi ndani ya tshirt unazionaaa! Maana alivaaa V neck! Aaaaaaaaah! Nikajiapizaaaa sitakiii sh 100 yakeeeeee! Tumepewa bureeee tupeaneeee bureeeeee!
Nikamwambiaaa Mdigo kuna change of plans! Kweli nime kuja kumfata Ngabu ila namtaka yule mwingineeeee! Mdigooo kanijiaaaa juuu hapanaaaa! Haiwezekaniiii! Haaaaaaaa! Na muuliza wewe si umefata pombeeee shikaaa adabuuuu! Akasema labda unifunge kambaaa! Pale kwa 50cent gombania goliiii!
Mkongwe akatuitaaaa mezaniiiii! Shoga angu Mdigo sio shogaaa kawahiiiii pembeni ya 50cent! Na mimi nikawahi pembeni! Malaya wa 2, tushaachana na habari za nyani tunamganda 50 cent!
Mdigo anasifiaaa Saa nzuriii! 50 yuko thanks! Sasa Yule mkongwe aliwa concise kina Nyani sisi sio mademu wa MMU! Kwa hio wakawa wanajiachiaaaa! Mkongwe akamuitaaa Nyani! Maraaaaa 50 cent akaitikaaaa! Naaam! Tukakanyagana Na mdigoooo
Nikajuaaaa kazi imeishaaaa! Sababu Mdigooo tushakubalianaaa Nyani hamtakiiii! So Fido Dido lazima amuhusuuuuu! Heheheeeeee! Ujasiri mda Mwingine unalipaaaa! Nimechukua ushindi wa mezaniiii! Nikajua sasa kashajuaaaa! Nyani shemeji yake kesi imeishaaaa!
Naona anajisemesha semeshaaaa sanaaaa! Hana adabuuuu huyuuuu! Nitamtwanga chupaaaa hanijuiiiii! Nikamwambia twende chooni! Akadindaaa siskiiii mkojo! Nikamnongoneza unakuja au nikuburuteeeee! Akasema twende shogaaa anguuu!
Tumefika chooni palichimbikaaaa!!!! Na muuliza ndo nini? Mbona unaniletea ungesee! Tumekubaliana nini afu unafanya nini? Fidodido ndo wakooo!
Mdigo akasema hapanaaaa!!! Yale sio makubaliano rasmiiii! Wanaume wote wa maana uwachukue wewe hapanaaaa!
mmmh! Nikachezaaa karata ya mtoto! Shoga angu sikiaaa wewe bado bintiiii! Leba hupajuiiii! Afu mi mkubwa kwakooo! Nakuzidiiii mpaka dhambiiii! Niachie basiii huyu mchatiiii mmoja tu! Kibingwaaaa! Au vipi shogaaa anguuuu!
Akasema Hapana kwanza Nakudaiiii! Ulinipeleka kwa MOTP nikakopwaaaa! I never held that against you! It’s time to pay back! Nifidie kwa kuniachiaaaa Nyani! Then we will be even! Kiubinadamu tu!
Nikamwambia diplomasiaaa imeshidjikana sasa vita ni vita muraaaa! Nikarudiiii!
Jamani Naomba ieleweke kwenye maswalaaa ya vitaaaaa! Huyuuuu NAMLA BILA KUMTAFUNAAA ASUBUHI KWEUPEEEEE!!!! Mtoto mdogo sanaaaa!!!!
Tumekaaa mezaniiiii! Nikaanza kumteketeza adui yanguuu mapemaaaa sanaaa! Nikamwambia Nyani huyu shoga angu mdigoooo! Wa Tanga! Wale was wahiii Swahili! Nyani akawa startled japo akaikanyagiaaa! Fido Dido anajiongeza maskiniii! I like Tanga women! Heheheheeeee! Namwambiaaa umeonaaaa! Anajimalizaaaa! Mdigooo kanunaaaaa! Nikajua nimemmalizaaa! Waaapiiii!
Akaniuliza umempigia dada wa kazi simuuu kujua kama mwanao amelala? Hivi ashaacha kunyonyaaaa au bado? Si hajafikaaaa Miaka mi tanò! Daaaaaah! Malayaaa mchafuuuu huyu! I’m a mother and as maternal instincts siweziiii Kimkanda mwanangu kwa sababu zote zileeeee!!!! Nikaonaaa kabisaaa Nyani yuko disppointed! Nikatoaaa simu! Namuongeshaaa this is my boy! Isn’t he handsome! Anagunaaa tu mmmmh!
Namwambia ain’t babies the cutest things in the world! Anagunaaa tu mmmh! Nikakandamiza bora mimi I made 1 mistake just 1 but dunia umenipa furahaaa kubwa from the mistakeee! Sio watu wengineeee hawana watoto ila wametoa Mimba mpaka vizaziiii! Ukiona hawana watoto kumbe watoto wao 10 wapo kwenye pipa la Dr! Inaitwa massacre! Nilimbamizaaaa moja la kooo Mdigooo!
Mkongwe akaonaa kabisaaa uwanja umegeukaaa RED! Ananikanyagaaa! FITA NI FITA MURAAAAAA! Mdigo akadakiaaa! Watu wengi mkizaaaa humjui kujitunzaaaa! Mwanaume utahangaika vipi na sehemu imepitisha the WHOLE baby! Uache sisi vichunaaa! Tumbo flat! No stretch marks! Why be an uncle! Eti Nyani? Na alifanya vile kusudi cause anajua Nyani ni lethal! Fido Dido anakuja liana naeeee 100% anakomaaa I like your figure mamacita! Nyani anataka kuongea anaishiaaa njiani!
Nikambamizaaa Mdigooo! Vi body si ndo ofisi zenu ma slay queen! Lazimaaa! Utambieeee! Mi nakuelewaaaa unatangaza biasharaaa! Dakika 10 hazijaishaaa ila ushatangaza biasharaaa! Maliziaaa SH NGAPI tujue mojaaa! Fido Dido alifikaaa beiiii! Mi nitalipaaaa!
Akanibamizaaaa wewe huuzi? Mjini unafanya kazi gani? Sema hapa mjini unafanya kazi ganiii? Kama mapambano sikutegemea Mdigo ni Taliban! Na anakaribiaaa kutekaaa nchi! Siwezi kukubaliiii!
Nikamwmabiaaa mimi mapenzi sio kaziii! Mapenzi stareheeee! Kama huyu kaka hapa nimemuelewaaa! Kwanini nijibaneeeee! Nasemajeeee naenda kumpaaaa bureeee! Bureee kabisaaa usiku kucha! Nime mfeeel tu! Kama Na wewe huuzi kampe Fidodido bureeee usiku kuchaaaa! Niakkata tawi tulilokaliaaaa woteeeee! Yeye anajitiaaa taliban sasa mimi Jihad John! Fidodido akadakiaaa I like you girls! You ao direct! I love Africa! I love Tanzaniaaaa!
Mdigooo akadakiaaa! Once a mother always a mother! Unanipa oda kama binti yako! Let’s make it fun! Tubet! Shingi 100 hii hapa! Mkongwe Zungusha! Nakuachiaaa wewe jichagulie! Kichwa Nyani, Na Mkia Snoopy! Anaebakiaaa namchukua mimi!
Mkongweee kazungushaaa! Rohoooo inanidundaaaaa! Anataka kufunua, Nyani akamzuiaaaaa! Niakasema so he has a heart after all! Whuuuuuu! Akasema let’s make it more interesting! LET US BOYS BET! Ila before we bet! Hatuwajuiiii so CONVINCE US! What do you have to offer? What is on the table!
Nikamsukumia Mdigo Anza wewe! Ili nitumie flows zake ku make a better offer! She offered an offer no man can ever refuse! Akasema! EVERYTHING IS ON THE TABLE! Haaaaaaa! Wote tukamuangliaaaaa! Fidodido kapagawa everything as in EVERYTHING! Akajibuuu yes, EVERY GAD DAMN THING! And I mean it!
Ndugu msomajiiii how higher can it get! Malaya katuma laki kwenye umaluuni wake! Kaweka kila kituuuu mezaniiii! Atakuwa kamielewa sanaaaa Nyaniiii! Mie pia nimemuelewaaaa! Ila EVERYTHING jamaniii kweliiii haki hiooo! Kumuachia Malaya ashinde siweziiii! Ila kama ku bid kasha bid highest offer there is!
NAKUACHIA HOME WORK NDUGU MSOMAJIII NISHAURIII NIFANYAJEEEE! WACHATIII NDO KAMA WALEEE WANYAMWEZIIII!!!!
ITAENDELEA kesho usiku!
Daddie ana piga simuuu mpaka basi! Naenda nae ki siasa ila kurudi tena kwenye MJUBILENG thubutuuuuu!!!! Matter of fact nikawaza KISTAAFU umalayaaaa! Kama kiinua mgongo cha million 10 nishachukuaaa! La msingi na secondari nifungue biashara basi! Nitadanga mpaka lini! Mwisho nitafia kwenye MIJUBILENG mwanangu abakie hana mzazi bureeee! Abakie Yatima bureee!
Asubuhi nikaenda kko Sokoni kwa msomaliii mbibi ndo wakali wa hizi kazi! Nikamwambia Naomba jani la kurudisha mitambooo sehemu zake! Akasema hali ipojeee! Nikamwambia hali Tete!
Akasemaaa 20,000! Nikatoa! Akasema unatwanga unachambiaaa! Mmmmh! Wasomali sina shakaaaa nao kabisaaaa! Ndo wakali wa hiziiii kazi! Siku zangu 3 inakuwa mpyaaaa kama ya mtoto mchangaaa!
Linalofuata Babu nammwaga vipi? Babu yule ni mtemiiii! Kummwaga kokote lazimaaa DIPLOMASIA ihusikeeee! Na million 10 yake nishakwapuaaaa! Ila ule mjubileng hapanaaaa! Hata kama mimi ni Yatima na Yatima hadekiiiii ila sio kwa teminator lileeeeee!!!!
Nikaanza nae mbaliii sanaaa! Daddie si unajua mi ni YATIMA na kwa wazazi wangu nilizaliwa peke yangu! Na Nina ndugu mmoja tu upande wa baba! Daddie ananionea hurumaaa! Hajui napoelekeaaa!
Sawa Daddie unanijaliii sanaa pesa una nips sanaa! Ila kuna mtu anataka KUNIOA! Simple di kama wewe Daddie naweka weka grease kidogo! Ila akinioa atanipa familia! Manake akinioa familia yake itakuwa familia yangu! And I do really need a family! Najua yeye kunipa familia haweziiii!
Akasema Sawa! Ila kwa ukijuaaaa THIS LIFE IS ONE BIG LIE! Either way life fack is all! I hope you find what you are really looking for! Na jibu naona tick mojaaaa! Nikajua nishachezea block! Raha ya wazee wenye pesa zao hawadiiii chaooo!
HUREEEEEEEEEEE! I was finally free and free at last! Nikamuita fundi nikamuuzia zile camera! Hapo Nina 10m faida ya una lui I! Na mwanangu kila siku tunakula marrybrown! Tunajichanaaa hatariiii!
Nikafungua ki supermarket! Mshenziiii tu! Kuagiza Yale mafriji sijui nini freezer, chocolate pesa yooote 10m kwapuuuuu! Imeishaaaa ndugu msomajiii! Hizi biashara tuwaachie tu wachaga!
Nashinda supermarket kwa siku unauza 50,000 sasa hapo unakula nini, unaishi vipi na unanunua mzigo na Nini! Nikaonaaa hapa nimepigwaaaa! Biashara hamnaaa hapaaa!
Na biashara ya umalaya nayo Ina karma hatariiii! Ukimkataaa bwana mziriii tu, jiandaeeee anaekujaaaa fekeroooo! Jamaniiiii jamniiiiii! Mbona mambo Black mamba!
Nikamtafuta shoga angu Mdigo! Tuliwazaneeee kwanzaaa! Anipe code! Narudije sokoniiiii! Soko limekaaa vipi! Akaniambiaaa Jf sahivi hamnaaa kituuuuu! Kumekauuuukaaaa hatariiiii! Ila nasikia Nyani Ngabu karudi na vidola dolaaa vyakeee!
Nikamwambiaaaa weeeeee! Nyaniiii huyuuu huyuuu! Akasema ndiooo shogaaa! Ila si unamjua alivokuwaaa mkavuuu! MOTP is cruel Ila Nyani is HEARTLESS and SOULESS! Yale mafutaaaa ya motoooo sio maji! Yule ni sumuuuu hajaribiwi kwa kumuonjaaaa!
Kiukweliiiii utumbooo ulinitetemekaaaaa! Nyani sio mtu wa kumchezeaaa! Inaitwa una balance shobo zako zoteeeee! Mmmmmmmh Kina kirefuuu!
Ukapita ukimyaaa mrefuuu! Kama shetaniiii kapitaaaa Kati yetu! Mdigo akasemaaa ila kila shetaniiii na mbuyuu wake! Kuna mchatiiii kamtulizaaa na kamkwapuaaaa Iphone 12 mchana a kweupeeee! GB 500 dada! Kiulaniiii!
Mmmmmhhhh! Hapo hapo nikapata wazo kila shetaniiii Lina nyimbo zake! Every beast has their rhythm! All we have to do is find his rythim! Kama mtoto kalegeaaaa yuleeee kamnyakuaaa I phone 12 pro max sisi wakongwe je!
Nikamwambia sikia Mdigo! Nyani is cynical and a psychopath, hatabiriki one minute he is so nice, the next anakutukania makaburi ya wazazi wako! He has no limit when he goes low! He is a beast! Yet still HE IS STILL A MAN! A man with code of honor! He is true to his beliefs!
Come to think of this, Nyani hawezi kukupa unsigned check! Nyani hawezi kukuzalilisha chumbaniii kama MOTP! He is a man of honor! Hataki kufanyaa mjingaaa tuuuu! Na kwakeee tunaendaaa kiutiiiii mwendo wa YES BOSS! Hatuyatibuuu mashetaniii yake kabisaaa! Trust me it will be okay! No cards under our sleeves! Honesty and honesty only!
Mdigo akasemaaa Aaaaah wapiiiii! Yule tukimtibua tutakuta papà zetu MMU! He has no limit! He is not the one to play with! SITAKIIIIIII! Sithubutuuuuuu!
Nikamwambia sikia Mdigooo! Be at the best at what you do! Sisi tumeamuaaaa kuwa malaya so let us be the best kwenye hiliiii! Kuna levels za umaluuni! Let’s go a little higher! CALMING THE BEAST LEVEL OF PROSTITUTION! Kwanza watu kama waleeee hawawezani na watu wengiii! Competition is very low!
Mdigo akasema HAPANA! Though I wish you all the best! Papà yako ikipostiwaaa utanisamehe niki comment I told you so! HAHAHAHAAAAA!
Nikamwambia Mdigo juzi nimemsurvive MANDINGOOOO! Trust me Nyani can not be any worse! Hii kaziiii naipigaaaa! Na nakualika uoneee kwa macho yako HOW I MAJESTICALLY SLOUGHTER THE BEAST!!!! Mdigo akatikisa tu kichwa or you get swallowed by the beast! Hahahaaaaa! Tukachekaaaa!!! Mdigo akasisitiza ITS NOT WORTH IT!
Simba mkaliiii lakini anazaaa na vyake vinaliwaaaa! Itakuwaaa Nyani! Nyani ananijuaaa kwa ID! Na I’d yangu mswahiliiiii balaaaaa! Hata kwa dawa haweziiiii kunipa date! Na ID mpya pia ana si discredit fastaaa! Mjanja mjanja sanaaaaa!
Online Kim pata sio rahisiiii! Hata ofline ku mpata mimi kama mimi sio rahisiii! Itikadi zangu sio mambooo yakeeee! Uswahiliii mwingi hivooo yani! Ikabidi sasa niwe impostureeee!
Katika kupeleleza kwangu kwa mkongwe mmoja nikajua atakuwa kiwanjaaa flaniii posta! Na wastaarabu wachacheeer! Nikamuombaaa mkongwe anipe nafasiiii! Akasema wewe sio type yakeee kabisaaa! The guy is not into single moms! Nikamwambia kwani mtoto nakuja naeee! Mbona hivoooo! Mimi sijakwambia nataka niwe mkeweeee! Mechi moja mashartiiii kibaoooo Acha hizooo! Akasema basi mjifanye kama Ambush tu!
Nikamwmabia Mdigo EL PLANO part 2 imeanzaaa! Hutakiiii kumuonaaa Nyaniii Na swagaaa zake za USA! Umbeaaa anatakaaa! Nyani anamuogopaaaa! Ila umbea ukaishindaaa nafsiii! Akakubaliiii!
Tumevaaa Na kuvuaaaa mara 10! Mwisho tu Kasema twendeee tu! Mkongwe anatupanga wako 2 guys from USA! Nyani Na mwenzieee! Nikamwambia tuko wa 2 Shaka ondoaaa! Namwambia mdigooo niachie Nyani huyo mwenzieee halali yanguuu! Mdigooo anasema nimekujaaaa kulewaaa sitakiii bwanaaa!
Tumefika kwanza tuna wazoom! Meza ya pembeni! Kucheki kule wako wanaume wa 2! Ambao ni tofautiiii unajuaaa kabisaaa hawa wanyamweziii! Jordan’s sio za Vunajbei! Saa sio midosho! Tshirts zenyeweeee!
Kimbembe mmoja Fidodidooo kama Snoopy, afu kuna mmoja ana BODY! La kufa mtuuu! Six pack hadi ndani ya tshirt unazionaaa! Maana alivaaa V neck! Aaaaaaaaah! Nikajiapizaaaa sitakiii sh 100 yakeeeeee! Tumepewa bureeee tupeaneeee bureeeeee!
Nikamwambiaaa Mdigo kuna change of plans! Kweli nime kuja kumfata Ngabu ila namtaka yule mwingineeeee! Mdigooo kanijiaaaa juuu hapanaaaa! Haiwezekaniiii! Haaaaaaaa! Na muuliza wewe si umefata pombeeee shikaaa adabuuuu! Akasema labda unifunge kambaaa! Pale kwa 50cent gombania goliiii!
Mkongwe akatuitaaaa mezaniiiii! Shoga angu Mdigo sio shogaaa kawahiiiii pembeni ya 50cent! Na mimi nikawahi pembeni! Malaya wa 2, tushaachana na habari za nyani tunamganda 50 cent!
Mdigo anasifiaaa Saa nzuriii! 50 yuko thanks! Sasa Yule mkongwe aliwa concise kina Nyani sisi sio mademu wa MMU! Kwa hio wakawa wanajiachiaaaa! Mkongwe akamuitaaa Nyani! Maraaaaa 50 cent akaitikaaaa! Naaam! Tukakanyagana Na mdigoooo
Nikajuaaaa kazi imeishaaaa! Sababu Mdigooo tushakubalianaaa Nyani hamtakiiii! So Fido Dido lazima amuhusuuuuu! Heheheeeeee! Ujasiri mda Mwingine unalipaaaa! Nimechukua ushindi wa mezaniiii! Nikajua sasa kashajuaaaa! Nyani shemeji yake kesi imeishaaaa!
Naona anajisemesha semeshaaaa sanaaaa! Hana adabuuuu huyuuuu! Nitamtwanga chupaaaa hanijuiiiii! Nikamwambia twende chooni! Akadindaaa siskiiii mkojo! Nikamnongoneza unakuja au nikuburuteeeee! Akasema twende shogaaa anguuu!
Tumefika chooni palichimbikaaaa!!!! Na muuliza ndo nini? Mbona unaniletea ungesee! Tumekubaliana nini afu unafanya nini? Fidodido ndo wakooo!
Mdigo akasema hapanaaaa!!! Yale sio makubaliano rasmiiii! Wanaume wote wa maana uwachukue wewe hapanaaaa!
mmmh! Nikachezaaa karata ya mtoto! Shoga angu sikiaaa wewe bado bintiiii! Leba hupajuiiii! Afu mi mkubwa kwakooo! Nakuzidiiii mpaka dhambiiii! Niachie basiii huyu mchatiiii mmoja tu! Kibingwaaaa! Au vipi shogaaa anguuuu!
Akasema Hapana kwanza Nakudaiiii! Ulinipeleka kwa MOTP nikakopwaaaa! I never held that against you! It’s time to pay back! Nifidie kwa kuniachiaaaa Nyani! Then we will be even! Kiubinadamu tu!
Nikamwambia diplomasiaaa imeshidjikana sasa vita ni vita muraaaa! Nikarudiiii!
Jamani Naomba ieleweke kwenye maswalaaa ya vitaaaaa! Huyuuuu NAMLA BILA KUMTAFUNAAA ASUBUHI KWEUPEEEEE!!!! Mtoto mdogo sanaaaa!!!!
Tumekaaa mezaniiiii! Nikaanza kumteketeza adui yanguuu mapemaaaa sanaaa! Nikamwambia Nyani huyu shoga angu mdigoooo! Wa Tanga! Wale was wahiii Swahili! Nyani akawa startled japo akaikanyagiaaa! Fido Dido anajiongeza maskiniii! I like Tanga women! Heheheheeeee! Namwambiaaa umeonaaaa! Anajimalizaaaa! Mdigooo kanunaaaaa! Nikajua nimemmalizaaa! Waaapiiii!
Akaniuliza umempigia dada wa kazi simuuu kujua kama mwanao amelala? Hivi ashaacha kunyonyaaaa au bado? Si hajafikaaaa Miaka mi tanò! Daaaaaah! Malayaaa mchafuuuu huyu! I’m a mother and as maternal instincts siweziiii Kimkanda mwanangu kwa sababu zote zileeeee!!!! Nikaonaaa kabisaaa Nyani yuko disppointed! Nikatoaaa simu! Namuongeshaaa this is my boy! Isn’t he handsome! Anagunaaa tu mmmmh!
Namwambia ain’t babies the cutest things in the world! Anagunaaa tu mmmh! Nikakandamiza bora mimi I made 1 mistake just 1 but dunia umenipa furahaaa kubwa from the mistakeee! Sio watu wengineeee hawana watoto ila wametoa Mimba mpaka vizaziiii! Ukiona hawana watoto kumbe watoto wao 10 wapo kwenye pipa la Dr! Inaitwa massacre! Nilimbamizaaaa moja la kooo Mdigooo!
Mkongwe akaonaa kabisaaa uwanja umegeukaaa RED! Ananikanyagaaa! FITA NI FITA MURAAAAAA! Mdigo akadakiaaa! Watu wengi mkizaaaa humjui kujitunzaaaa! Mwanaume utahangaika vipi na sehemu imepitisha the WHOLE baby! Uache sisi vichunaaa! Tumbo flat! No stretch marks! Why be an uncle! Eti Nyani? Na alifanya vile kusudi cause anajua Nyani ni lethal! Fido Dido anakuja liana naeeee 100% anakomaaa I like your figure mamacita! Nyani anataka kuongea anaishiaaa njiani!
Nikambamizaaa Mdigooo! Vi body si ndo ofisi zenu ma slay queen! Lazimaaa! Utambieeee! Mi nakuelewaaaa unatangaza biasharaaa! Dakika 10 hazijaishaaa ila ushatangaza biasharaaa! Maliziaaa SH NGAPI tujue mojaaa! Fido Dido alifikaaa beiiii! Mi nitalipaaaa!
Akanibamizaaaa wewe huuzi? Mjini unafanya kazi gani? Sema hapa mjini unafanya kazi ganiii? Kama mapambano sikutegemea Mdigo ni Taliban! Na anakaribiaaa kutekaaa nchi! Siwezi kukubaliiii!
Nikamwmabiaaa mimi mapenzi sio kaziii! Mapenzi stareheeee! Kama huyu kaka hapa nimemuelewaaa! Kwanini nijibaneeeee! Nasemajeeee naenda kumpaaaa bureeee! Bureee kabisaaa usiku kucha! Nime mfeeel tu! Kama Na wewe huuzi kampe Fidodido bureeee usiku kuchaaaa! Niakkata tawi tulilokaliaaaa woteeeee! Yeye anajitiaaa taliban sasa mimi Jihad John! Fidodido akadakiaaa I like you girls! You ao direct! I love Africa! I love Tanzaniaaaa!
Mdigooo akadakiaaa! Once a mother always a mother! Unanipa oda kama binti yako! Let’s make it fun! Tubet! Shingi 100 hii hapa! Mkongwe Zungusha! Nakuachiaaa wewe jichagulie! Kichwa Nyani, Na Mkia Snoopy! Anaebakiaaa namchukua mimi!
Mkongweee kazungushaaa! Rohoooo inanidundaaaaa! Anataka kufunua, Nyani akamzuiaaaaa! Niakasema so he has a heart after all! Whuuuuuu! Akasema let’s make it more interesting! LET US BOYS BET! Ila before we bet! Hatuwajuiiii so CONVINCE US! What do you have to offer? What is on the table!
Nikamsukumia Mdigo Anza wewe! Ili nitumie flows zake ku make a better offer! She offered an offer no man can ever refuse! Akasema! EVERYTHING IS ON THE TABLE! Haaaaaaa! Wote tukamuangliaaaaa! Fidodido kapagawa everything as in EVERYTHING! Akajibuuu yes, EVERY GAD DAMN THING! And I mean it!
Ndugu msomajiiii how higher can it get! Malaya katuma laki kwenye umaluuni wake! Kaweka kila kituuuu mezaniiii! Atakuwa kamielewa sanaaaa Nyaniiii! Mie pia nimemuelewaaaa! Ila EVERYTHING jamaniii kweliiii haki hiooo! Kumuachia Malaya ashinde siweziiii! Ila kama ku bid kasha bid highest offer there is!
NAKUACHIA HOME WORK NDUGU MSOMAJIII NISHAURIII NIFANYAJEEEE! WACHATIII NDO KAMA WALEEE WANYAMWEZIIII!!!!
ITAENDELEA kesho usiku!