Weekend story: A Woman of the people

Weekend story: A Woman of the people

Hii ni chai, hii story ni ya uwongo, hakuna mwanaume Kijana mid 30's bongo hii, mwenye uwezo na nia ya kumuhonga mdada Ambaye hafahamiani nae vizuri USD 24,000.. wanaume vijana wa kuhonga wadada USD 24000, wanapatikana Marekani na nchi za ulaya, middle east, west na south Africa ila sio east Afrika hii
Acha kukariri mkuu kama wewe huna hayo maisha watu wanayo
 
Acha kuota ndoto za mchana dada mwanaume wa kuhonga hizo atoke wapi?Baadhi ya wadada inabidi muache maisha ya kwenye tamthilia.
Sticker ya kukung'ong'a inakuhusu dada. Kuna ujumbe wako WhatsApp
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuna mtu nilimuopoa humu[emoji1436]‍[emoji3601][emoji1436]‍[emoji3601][emoji1436]‍[emoji3601]nilikuja kupitia comment zake badae[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata wewe ungemkataa kwa comments tu lakini siku tunaonana nusu nizime
Walahi tunapishana na watu
anyway asije akapita humu akaona comment japo hii si mitaa yake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Surviving The Average Sam!

Sam is a sweet guy huku MMU! Everybody knows that! It’s not news! Very cool and very soft! He has only 2 main focus on JF! Pussy and prime! That’s it! The thing about Sam he was born in Europe or America it doesn’t make much difference anyway! And like most kids born outside kuna fuse zimeunguaaa! Kama sisi tuliozaliwa uswaziii nasi Kuna fuse nazo zimeunguaaaa! Ila kuungua kwetu fuse ni tofauti! Wenzetu like Sam they become too nice, too sweet and too soft!

Unaweza kumuanika mwanamke wako wa Jf humu humu Jf? Who does that? Sam does it every day every time! Jeeeeeeeez! Either way Sam is a good man! Too good maybe! But still better than most!

And Sam always put his real picture on Jf avatar! Yes he does!!!! Check for yourself! Sam is not a common lier like most of you! He has class, he was born in America remember!

Unlike most men here who lies is their middle name, Sam is different! Like Different Different! He is a honorable man! He tells you where he real works! Like for real! He tells you his position! And how hard he works in his job! Even how much he is making! Isn’t he sweet! The sweetest I ever met in these streets of Jf! He even definitely tells you he has a girlfriend Mariah! The lucky one! How cute!

I saw Sam around these MMU streets for sometime! As always he was never PROBLEMATIC! Like never! He is a very cool man! And honorable! He never posts anything! He always likes every damn thing from everybody! That is how cool he is! He could have gone unnoticed if not for his boasting girlfriend Mariah!

Mariah was always on Sams business! If she says Sam stop commenting Sam will stop! If you don’t know Sam like I do, you may think Sam is pussy who can’t standup for himself! Ooohh dear! You don’t know until you know!

Maria was always on our necks on how sweet Sam is! How deep Sam loves her! How lucky she was while we were all struggling to make ends meet in here! Tunachezea mpaka Mijubileng! Hapanaaaaa life cannot be this unfair!

Finally Mariah caught my attention! And I gave her my full unwanted attention! She done succeed making me jealousy! And OFFICIALLY I WAS GOING FOR SAM!

It was wrong and I knew it was wrong! Mariah was also a nice lady! She worked for a living guys! Like 9 to 5 job! Loved Sam not for his money! And even met Sams parents! She also went to church regularly with Sam! 2 knuckle heads! Sorry 2 love birds!

Ningesema nimshirikishe mtu yoyote angesema sio vizuriiii kabisaaaa! Au Angelina Why? Manake Sam na Mariah hawakuwa na tabuuu na mtu yoyote! So I needed someone who sees things differently! Someone who can never be fooled! Some one who will understand me and see my perspective!

Mpaka mda huu Mdigo was unreliable manake naeza muuliza tu asha mtumia Pm! Sina imani nae kabisaaaa! Niksende kwa Lara 1! She is from the streets she understand every trophy is for the taking! The win is never for the week!

Nikamnunulia pombe! Akilewa sasa ndo akili zake zinafanya kazi vizuri! Nikamwambia nataka nikae kwa Sam! Akaniuliza unaniomba ruhusa Mimi Mariah? Hahahahaa! Nikamwambia na kuomba ushauriii! Akashangaaaa! Sasa ushauri wa nini? Papa si yako au Mimi Siku hizi meneja wa papa yako? Nikamtuliza sio kihivoooo! Simuelewi elewi! Ndo maana nasita Sita! Yeye na mwanamke wake ni special case! Hahahahaaa! Tukachekaaaa!

Akasema hamna Sam mbona yuko fresh tuuu! Yule mwanamke ndo anamganda kaka wa watu Kama lubaaaaa! Ila ndo penziiii tena ni upofuuu! Kampa vyoteeee kamvurugaaaa! Heheheheee!

Nikakazia hoja yanguuu sasa Mimi nataka nikae paleeeee! Lara akasema sasa Hilo mbona kama kumsukuma Mleviii! Mbona watu wanajiseviaaa Sam sanaaa tu! Sema ndo wana sema mkono wa birikaaaa hatariiii! Mmmmmhhh! Mbona mapyaaa na ya kushtuaaaa!

Wanaojiseviaaa kina nani na kivipiiii? If jamaniii mtu hata bikra haijamtokaaa vizuriiii mshaanza vuruguuuu! Lara anasema Mimi sijuiiii ila nimesikiaaaa tu! Labda uende wewe ulete mrejesho! Ila mbona washawahi kuchambanaaa mule mule na Mariah stuck for her man! Nyokoooo kweli! Wewe mwanaume kashikwa ugoni afu unamtetea wale wote fuse zimeunguaaa! Hahahahahaha!

Sam nimemzamia Dm tu! Ashaanza mambo yake kunipa life history yake! Na Kama dawa lazima ujuzwe Ana girlfriend anaitwa Mariah! Anafanya kazi Serengeti Breweries! Kazi gani anafanya pale! Ni manager! Mpaka kitambulisho chake cha kazini kanitumia just in case I don’t believe him! Kanitumia mpaka Gari yake anayoendesha! With some you don’t need to try hard at all!

Tukaenda tukaenda he seemed from a rich family! Na Mimi kama mjuavooo kazi za bureee sitakiiii! Sam kalegeaaaa sanaaa! Too naiveee, too soft bila mu exempt majukumu ya ubaba mapemaaaa kabisaaa! Nikapna ye mwenyewe mtotoooo Toto mambo yake afu nimpe na mototo juuu so nitamvuruga!

Most of the times anaongelea mambo yake na Mariah! And how the love each other! Wanatembeleana! Mariah ana ufunguo wa nyumbani kwake! Sometimes Ana lala kwa Sam! Ila kabla hajaja lazima ampigie simu! Hehehehee! Yaaani hawa! Kama wazungu sijui watoto! Hata sikuwaelewa! Hapo kwake nikakaribishwaaa na mimi! Nikauliza Mariah alinikuta itakuwajeeee? Anasema Mariah Hana shidaaa kabisaaa! I can tell her you are coming! Jamaniiii! Mbona mamboooo!

He was the sweetest being I never met online and offline! Hajuiiii kukasirikaaaa! Ataeolewa nae atafaidiiii Sanaa! Hata umuuzi vipiiii hajuiiii kukasirikaaaaa! Unakoseaaa wewe yeye anaomba msamahaaaa! Haki kuna mda nikawa nawaza maybe anan nipendaaaa kweli! For real for real! Ata ku cheki 24/7! Hata umkaripieeee! Ukiamka ata kutext, mchana ata kutext, all day long! And he always remembers to be sweet!

Nikarudi kwa Lara! Bwanaaa mbona kama Sam mnamuoneaaaa? Anasisitiza Sam Ana mkono wa birikikaaaaa! Hatoiiiii pesaaa asilaniiii! Nakwambiaaaa! Mmmmmh! Nikamuuliza mbona analipwa Mshahara mkubwaaa sanaaa! Lara ananiuliza kwa hio? Nyumba anayokaaaa mchezooo! Mmmmmh! Nikamuuliza wewe umeijuaje? Akaniuliza Nani ambae haijuiii? Mmmmh! Nikaonaaaa ina maana huyu dogo Sam haya mambo alionambia kamwmabia kila mtu au? Lara akasema sio kila mtu ila akimuelewa mtu Beki hazikabiiiii!

Na michezo ya online haijuiii! NEVER EVER TELL TINY BIT OF TRUTH! Sababu hizo info zitatumika dhidi yako! Hata ukitoka na mtu Kama inakaa Sinza mwambie Mikocheni, tafuta hata kwa shoga ako akushushe then urudi kwako kimwamba! He is innocent! Oooh how cute!

Nikawambia Sam Nina shida ya kibingwa! Hakubishaaaa! Akasema mwisho wa mwezi mita ku sort! Hio Tarehe 10 ndugu msoamjiiii! Sikushangaaaa sanaaa manake kwa wafanyakazi ni kawaidaaa kabisaaaa kuishi paycheck after paycheck!

Kadri navochat nae nazidi kugunduaaa Ana vinyodoooo flaniii hivi! Vya kukuinua Kama yeye bab kubwa flaniii hivi! Afu pia mshamba tu badooo! Kwanza hio kazi anafanya zaidi ya miaka mi 5 anajionaaaa babu kubwaaa! Kwa level yake kama mwanaumeee na until wake ilikuwa achievement! Ila kwa level zangu za MOTP na BABU alikuwa level za chini kabisaaa! Apart from hio 7 figure salary sidhaniii kwa ulegevuuuu ule angeweza kufanya makaratekaaa yoyote ofisini au manuvaaa manuvaaa!

And he wa like expecting some kind of inheritance maana anavo sistiza his parents are rich! Wanakaaa Masaki! Kama Masaki ni Dubai! He always spoke about how blessed he is! Mambo yake hayooo hayooo nyoronyoroooo! Sijui niwaambie vipi!

Nikarudi kwa Lara mbona haya mambo ya Sam na jinsi Mariah anavotuchoma utambiiii MMU Kama tofautiii kabisaaa! As if ni watu wa 2 tofautiii! Mariaaah anajuaaa ku boast Yule dada! Yaani utasemaaa yupo na Brad Pitt! Anakutiaaa hamasaaaaa na masham Shaam utajutaaaa kukosa bwana Jf!

Bwana mwenyewe ninae chat naeeee kalegeaaaa Kama lisonkooo flaniii hiiiviii, Toto la kishuaaaa! Ila Sam wa comment za Mariah ni mwanaume kamiliiii! Shupazaaaaa! Anamkolezaaa na kumfikishaaa demi wakeeee kunakoooo!

Nikamwambia Lara au huyu Sam and multiple personalities! Akiwa kwangu bwege mmoja akiwa kwa Mariah shupazaaa mojaaa! Au Ana nichotaaaa!

Lara alaniulizaaa wewe kwenye tambooo zooote za Mariah ashawahi sema Sam kamnunulia hata chupi zaidi ya dinner tu hizo na kumfanya motto wa watu housegirl? Sam is a good man but definitely not for you!

Namwambiaaa mbona kama Mariah anatunzwa na kupewa matunzooo! Lara akasema Mariah WORKS FOR A LIVING! Anatunzwa na nani? Labda wazazi wake! Sam pale anajipigiaaaa tu! Mmmmmmh! Kama kweliiii! Alaniulizaaa utawezaaa kutumika bureeee? Nikasema Ngoja tuoneeeee! Alanisistiza mtoto wetu ukienda mpe taratibuuuu hajazoea mbilinge mbilinge! Utamvunjaaa mshipa bureee! Mariah aandike mwezi mzimaaa aliemvunja bwana wangu Dudu Nani? Hehehehee! Na walivo fyatuuu wote atakuwa anamuuguza na kumfanyia dressing! Hehehehee!

Sam alanialikaaa dinner! He is expensive! Na wasiwasi tulikuwa tunakula corporate tab! Si mnajua ma meneja wa hizi kampuni wanapenda mafungu ya ku entertain watejaaa wana entertain malayaaa mwanzo mwishooo! He was so extraaa!

Akaniambiaaa namwambiaaa chagua wewe! Basi chizi nimempa rungu kachagua Shooters grill! He could have gone above ila alikuwa Ana mashaka Mimi mswahili mswahili! But shooters sio pabaya and is kind of expensive!

Anakufata kwako! He is so politeeeee! His momma raised him a good boy! Anasalimia kila mtu toka moyoniii! Huku uswazi kulivo na watuuu! Na woteee aliwasalimia! Anamuaga dada wangu wa kazi akijua mdogo wangu that he is taking me out! He is a good man she should not be worried! Atanirudisha salama! What a gentleman ! Dada wa kazi was like is he for real? Namtikisia kichwaaa Kaa kwa kutulia!

Anakufungulia mlango wa gariii! He is not faking! He has manners and class! Anakuvutiaa kiti! Anakupa menu na kukuelezea kila aina ya chakula kwenye menu! Pro na cons zake! Anakushauri Ujaribu kipi!

Vinywaji vikaja anakuonjesha chake! Nikakipenda zaidi akanipa! Chakula anakwambia try mine! Anakuonjeshaaa! He is so sweet! Ndo maana Mariah kaamua kujitoaaa akili wawe wote machiziiii! Hehehee! Na Mimi najiunga kwenye Chama la machizi fresh!

Huu uchizi chizi wake ndo ukanitia nyegeeer si kidogo! Nikasema huyu chizi fresh sijawahi kula type hiziiii! Leo simuachiiiii! Nampapasa miguuu chini ya mezaaa, anastukaaaa! Anasisimukaaaa! Hahahahaa! Nyieeerr! Kuishi kwingi kuona mengi!

Hapo Mara 2 kampigia Mariah yupo dinner with a friend! Ananiambia ongeaaa na Mariah! Nikamwambia msinileteer uchuroooo! Kumlia mtu bwana wale is one thing ila kuongea nae kwenye simu kwa ukavuuu sio sio!

Nikamwambiaaa tafutaaa sehemu tukalaleeee! Mi kwangu sirudiiii! Anauliza Nikita furie sehemuu ukalale you mean? Namwambia nikalale kivipiiii tukalaleee woteeee! Tufanyaneee! Nini usicholewa sasa?

Anauliza are you really serious? I have a girlfriend! Namwambia n Mimi I have a boyfriend so? Anauliza won’t you feel I took advantage of you? Khaaaaa! Nikamwambia Sweety we are going to take advantage of each other! Kwani Mariah wewe ndo utamwambiaaa? Mimi sina mpango huo! Bado anauliza uko serious? Daaaaah! Namwambia Mimi nime toka kwangu nimenyoa vuu how serious can it get!

Anauliza which hotel! Namwambia mfuko wako tu bro! Akasema I know this place! Jamani Leo mbona kazi ipo! Njiani Mariah kapiga simu baby niko nyumbani nakungojeaaa! Nikaonaaa Kama anataka kighairiii! Nikamabia baby hutaki kunyonywa P! Hehehehe! You bet aliamua nini!

Mariaaah akapiga tenaaa! Nikazimaaa ile simuuu! Na kuanza kumpapasa huku anaendeshaaa! Kidogo tupate ajali! Nikawambia bwana midadi ishanipandaaa! Tu naanza humu humu kwenye gariiii!

Alivolegeaaaa nikaju show yake dakika 3 tu! Kala kiti cha gariiii! Alinikunjaaaa sikuaminiii Kama yule lege lege anaweza kuwa nguvu zoteee zile! Umalaayaaa uliniishaaaa!

Kiukweli mambo anayajuaaa na anayafanya toka rohoniiiii! Kwenye Gari vya fastaaa vi 2 vya mkweziiii! Na bado anatakaaa tenaaaa! Jamaniiiii! Huyu mtu au Pepo! Niko hoiiiii hoiiiii! Nikashukuruuu kwenye gariii maana kitandani anaweza kukuua! Na mzigo anao mkubwa! Hasara juu ya shotiii!

Namwmabia vas basi twende! Akajilaza Siti ya nyumaaa! Ananikumbushaaa ulisemaaa utaninyonya P! Haya huu ndo mda wako baby! Hehehehehe! Khaaaaa! Namwambia baby twende kwanza hotelini tuogeeee tuwe safiii nitafanya hio kazi! Hapo napiga hesabu nikifika tu hotelini namkimbiaaaa!

Anakataaaa! Hotelini tutaenda ila zoezi lifanyike sahiviiii! Jamaniiii ndugu msomajiiii zoezi lifanyike vipi wakati machine imetoka ndani ya mwili wangu! Yaaaaahhhkhhhhh! Pyuskiiiii! Sikubaliiiii! Sio haki!

Nambembeleza baby kuogaaa kwanza! Kuna ma gonjwaaa! Ananibembelezaaa zoeziiii likamilike hapo hapooo! Kidogooo tu! Anapendaaa sanaaa!

Nikaanza kuwa mkali na yeye Akaja juuu! Kamzimia mwanamke wake simu, Mimi ndo nimeitisha mechi, nimeahidi kwa mdomo wangu nitamnyonya hizo P! Kwanini nakupa kigeugeu na sitimizi ahadi zanguuu! Mi Toto ya kisonkooo ina tabuuu!

Mi najua bwelegeje hana la kunifanyaaaa! Nikampandishiaaa kibesiiii! Ghafla akaniamuru nishuke kwenye Gari lake! Jamniiiii Masakiii usiku! Nikajuaaa masihara! This is Sam the sweet guy remember! Weeeeeeee!

Akashuka alaniburuta chiniiii! Na tight tu na sidiriaaaaa! Suruali na top zimo Garini! Akawasha Gari akaondokaaa! Nilikimbiaaaa! Bahatiiii nikakuta machanguuuu! Wakati a nakujaaa ndukiii! Wakaniuliza vipiiii?

Nawaambiaaa mteja kaja mmoja afu wapo wa 3 nime kimbia! Wananiambia ndo shida ya wateja wa huku washenzi washenzi kweli! Wakanipa mtandio na kuniitia boda mpaka Mwananyamala! Wakanipa na 10,000 ya kula kesho maana naondoka lindo mapema na lishaingia nuksiiii!

ITANEDLEEAAAAAAAAA!!!!!
 
Story tamu kwa kweli.
Sema kudanga ni gharama na ni adhabu ndo maana naoneaga huruma slay queen. Kwenda hotel nilipe dollar 100 kisa nipate danga kwa kweli bora muninyonge

Hizo dollar kuzitoa ni kazi haswa kama umezitafuta kwa jasho lako....slay queens wanajua kujilipua sijawahi kuwaelewa
 
Surviving The Average Sam!

Sam is a sweet guy huku MMU! Everybody knows that! It’s not news! Very cool and very soft! He has only 2 main focus on JF! Pussy and prime! That’s it! The thing about Sam he was born in Europe or America it doesn’t make much difference anyway! And like most kids born outside kuna fuse zimeunguaaa! Kama sisi tuliozaliwa uswaziii nasi Kuna fuse nazo zimeunguaaaa! Ila kuungua kwetu fuse ni tofauti! Wenzetu like Sam they become too nice, too sweet and too soft!

Unaweza kumuanika mwanamke wako wa Jf humu humu Jf? Who does that? Sam does it every day every time! Jeeeeeeeez! Either way Sam is a good man! Too good maybe! But still better than most!

And Sam always put his real picture on Jf avatar! Yes he does!!!! Check for yourself! Sam is not a common lier like most of you! He has class, he was born in America remember!

Unlike most men here who lies is their middle name, Sam is different! Like Different Different! He is a honorable man! He tells you where he real works! Like for real! He tells you his position! And how hard he works in his job! Even how much he is making! Isn’t he sweet! The sweetest I ever met in these streets of Jf! He even definitely tells you he has a girlfriend Mariah! The lucky one! How cute!

I saw Sam around these MMU streets for sometime! As always he was never PROBLEMATIC! Like never! He is a very cool man! And honorable! He never posts anything! He always likes every damn thing from everybody! That is how cool he is! He could have gone unnoticed if not for his boasting girlfriend Mariah!

Mariah was always on Sams business! If she says Sam stop commenting Sam will stop! If you don’t know Sam like I do, you may think Sam is pussy who can’t standup for himself! Ooohh dear! You don’t know until you know!

Maria was always on our necks on how sweet Sam is! How deep Sam loves her! How lucky she was while we were all struggling to make ends meet in here! Tunachezea mpaka Mijubileng! Hapanaaaaa life cannot be this unfair!

Finally Mariah caught my attention! And I gave her my full unwanted attention! She done succeed making me jealousy! And OFFICIALLY I WAS GOING FOR SAM!

It was wrong and I knew it was wrong! Mariah was also a nice lady! She worked for a living guys! Like 9 to 5 job! Loved Sam not for his money! And even met Sams parents! She also went to church regularly with Sam! 2 knuckle heads! Sorry 2 love birds!

Ningesema nimshirikishe mtu yoyote angesema sio vizuriiii kabisaaaa! Au Angelina Why? Manake Sam na Mariah hawakuwa na tabuuu na mtu yoyote! So I needed someone who sees things differently! Someone who can never be fooled! Some one who will understand me and see my perspective!

Mpaka mda huu Mdigo was unreliable manake naeza muuliza tu asha mtumia Pm! Sina imani nae kabisaaaa! Niksende kwa Lara 1! She is from the streets she understand every trophy is for the taking! The win is never for the week!

Nikamnunulia pombe! Akilewa sasa ndo akili zake zinafanya kazi vizuri! Nikamwambia nataka nikae kwa Sam! Akaniuliza unaniomba ruhusa Mimi Mariah? Hahahahaa! Nikamwambia na kuomba ushauriii! Akashangaaaa! Sasa ushauri wa nini? Papa si yako au Mimi Siku hizi meneja wa papa yako? Nikamtuliza sio kihivoooo! Simuelewi elewi! Ndo maana nasita Sita! Yeye na mwanamke wake ni special case! Hahahahaaa! Tukachekaaaa!

Akasema hamna Sam mbona yuko fresh tuuu! Yule mwanamke ndo anamganda kaka wa watu Kama lubaaaaa! Ila ndo penziiii tena ni upofuuu! Kampa vyoteeee kamvurugaaaa! Heheheheee!

Nikakazia hoja yanguuu sasa Mimi nataka nikae paleeeee! Lara akasema sasa Hilo mbona kama kumsukuma Mleviii! Mbona watu wanajiseviaaa Sam sanaaa tu! Sema ndo wana sema mkono wa birikaaaa hatariiii! Mmmmmhhh! Mbona mapyaaa na ya kushtuaaaa!

Wanaojiseviaaa kina nani na kivipiiii? If jamaniii mtu hata bikra haijamtokaaa vizuriiii mshaanza vuruguuuu! Lara anasema Mimi sijuiiii ila nimesikiaaaa tu! Labda uende wewe ulete mrejesho! Ila mbona washawahi kuchambanaaa mule mule na Mariah stuck for her man! Nyokoooo kweli! Wewe mwanaume kashikwa ugoni afu unamtetea wale wote fuse zimeunguaaa! Hahahahahaha!

Sam nimemzamia Dm tu! Ashaanza mambo yake kunipa life history yake! Na Kama dawa lazima ujuzwe Ana girlfriend anaitwa Mariah! Anafanya kazi Serengeti Breweries! Kazi gani anafanya pale! Ni manager! Mpaka kitambulisho chake cha kazini kanitumia just in case I don’t believe him! Kanitumia mpaka Gari yake anayoendesha! With some you don’t need to try hard at all!

Tukaenda tukaenda he seemed from a rich family! Na Mimi kama mjuavooo kazi za bureee sitakiiii! Sam kalegeaaaa sanaaa! Too naiveee, too soft bila mu exempt majukumu ya ubaba mapemaaaa kabisaaa! Nikapna ye mwenyewe mtotoooo Toto mambo yake afu nimpe na mototo juuu so nitamvuruga!

Most of the times anaongelea mambo yake na Mariah! And how the love each other! Wanatembeleana! Mariah ana ufunguo wa nyumbani kwake! Sometimes Ana lala kwa Sam! Ila kabla hajaja lazima ampigie simu! Hehehehee! Yaaani hawa! Kama wazungu sijui watoto! Hata sikuwaelewa! Hapo kwake nikakaribishwaaa na mimi! Nikauliza Mariah alinikuta itakuwajeeee? Anasema Mariah Hana shidaaa kabisaaa! I can tell her you are coming! Jamaniiii! Mbona mamboooo!

He was the sweetest being I never met online and offline! Hajuiiii kukasirikaaaa! Ataeolewa nae atafaidiiii Sanaa! Hata umuuzi vipiiii hajuiiii kukasirikaaaaa! Unakoseaaa wewe yeye anaomba msamahaaaa! Haki kuna mda nikawa nawaza maybe anan nipendaaaa kweli! For real for real! Ata ku cheki 24/7! Hata umkaripieeee! Ukiamka ata kutext, mchana ata kutext, all day long! And he always remembers to be sweet!

Nikarudi kwa Lara! Bwanaaa mbona kama Sam mnamuoneaaaa? Anasisitiza Sam Ana mkono wa birikikaaaaa! Hatoiiiii pesaaa asilaniiii! Nakwambiaaaa! Mmmmmh! Nikamuuliza mbona analipwa Mshahara mkubwaaa sanaaa! Lara ananiuliza kwa hio? Nyumba anayokaaaa mchezooo! Mmmmmh! Nikamuuliza wewe umeijuaje? Akaniuliza Nani ambae haijuiii? Mmmmh! Nikaonaaaa ina maana huyu dogo Sam haya mambo alionambia kamwmabia kila mtu au? Lara akasema sio kila mtu ila akimuelewa mtu Beki hazikabiiiii!

Na michezo ya online haijuiii! NEVER EVER TELL TINY BIT OF TRUTH! Sababu hizo info zitatumika dhidi yako! Hata ukitoka na mtu Kama inakaa Sinza mwambie Mikocheni, tafuta hata kwa shoga ako akushushe then urudi kwako kimwamba! He is innocent! Oooh how cute!

Nikawambia Sam Nina shida ya kibingwa! Hakubishaaaa! Akasema mwisho wa mwezi mita ku sort! Hio Tarehe 10 ndugu msoamjiiii! Sikushangaaaa sanaaa manake kwa wafanyakazi ni kawaidaaa kabisaaaa kuishi paycheck after paycheck!

Kadri navochat nae nazidi kugunduaaa Ana vinyodoooo flaniii hivi! Vya kukuinua Kama yeye bab kubwa flaniii hivi! Afu pia mshamba tu badooo! Kwanza hio kazi anafanya zaidi ya miaka mi 5 anajionaaaa babu kubwaaa! Kwa level yake kama mwanaumeee na until wake ilikuwa achievement! Ila kwa level zangu za MOTP na BABU alikuwa level za chini kabisaaa! Apart from hio 7 figure salary sidhaniii kwa ulegevuuuu ule angeweza kufanya makaratekaaa yoyote ofisini au manuvaaa manuvaaa!

And he wa like expecting some kind of inheritance maana anavo sistiza his parents are rich! Wanakaaa Masaki! Kama Masaki ni Dubai! He always spoke about how blessed he is! Mambo yake hayooo hayooo nyoronyoroooo! Sijui niwaambie vipi!

Nikarudi kwa Lara mbona haya mambo ya Sam na jinsi Mariah anavotuchoma utambiiii MMU Kama tofautiii kabisaaa! As if ni watu wa 2 tofautiii! Mariaaah anajuaaa ku boast Yule dada! Yaani utasemaaa yupo na Brad Pitt! Anakutiaaa hamasaaaaa na masham Shaam utajutaaaa kukosa bwana Jf!

Bwana mwenyewe ninae chat naeeee kalegeaaaa Kama lisonkooo flaniii hiiiviii, Toto la kishuaaaa! Ila Sam wa comment za Mariah ni mwanaume kamiliiii! Shupazaaaaa! Anamkolezaaa na kumfikishaaa demi wakeeee kunakoooo!

Nikamwambia Lara au huyu Sam and multiple personalities! Akiwa kwangu bwege mmoja akiwa kwa Mariah shupazaaa mojaaa! Au Ana nichotaaaa!

Lara alaniulizaaa wewe kwenye tambooo zooote za Mariah ashawahi sema Sam kamnunulia hata chupi zaidi ya dinner tu hizo na kumfanya motto wa watu housegirl? Sam is a good man but definitely not for you!

Namwambiaaa mbona kama Mariah anatunzwa na kupewa matunzooo! Lara akasema Mariah WORKS FOR A LIVING! Anatunzwa na nani? Labda wazazi wake! Sam pale anajipigiaaaa tu! Mmmmmmh! Kama kweliiii! Alaniulizaaa utawezaaa kutumika bureeee? Nikasema Ngoja tuoneeeee! Alanisistiza mtoto wetu ukienda mpe taratibuuuu hajazoea mbilinge mbilinge! Utamvunjaaa mshipa bureee! Mariah aandike mwezi mzimaaa aliemvunja bwana wangu Dudu Nani? Hehehehee! Na walivo fyatuuu wote atakuwa anamuuguza na kumfanyia dressing! Hehehehee!

Sam alanialikaaa dinner! He is expensive! Na wasiwasi tulikuwa tunakula corporate tab! Si mnajua ma meneja wa hizi kampuni wanapenda mafungu ya ku entertain watejaaa wana entertain malayaaa mwanzo mwishooo! He was so extraaa!

Akaniambiaaa namwambiaaa chagua wewe! Basi chizi nimempa rungu kachagua Shooters grill! He could have gone above ila alikuwa Ana mashaka Mimi mswahili mswahili! But shooters sio pabaya and is kind of expensive!

Anakufata kwako! He is so politeeeee! His momma raised him a good boy! Anasalimia kila mtu toka moyoniii! Huku uswazi kulivo na watuuu! Na woteee aliwasalimia! Anamuaga dada wangu wa kazi akijua mdogo wangu that he is taking me out! He is a good man she should not be worried! Atanirudisha salama! What a gentleman ! Dada wa kazi was like is he for real? Namtikisia kichwaaa Kaa kwa kutulia!

Anakufungulia mlango wa gariii! He is not faking! He has manners and class! Anakuvutiaa kiti! Anakupa menu na kukuelezea kila aina ya chakula kwenye menu! Pro na cons zake! Anakushauri Ujaribu kipi!

Vinywaji vikaja anakuonjesha chake! Nikakipenda zaidi akanipa! Chakula anakwambia try mine! Anakuonjeshaaa! He is so sweet! Ndo maana Mariah kaamua kujitoaaa akili wawe wote machiziiii! Hehehee! Na Mimi najiunga kwenye Chama la machizi fresh!

Huu uchizi chizi wake ndo ukanitia nyegeeer si kidogo! Nikasema huyu chizi fresh sijawahi kula type hiziiii! Leo simuachiiiii! Nampapasa miguuu chini ya mezaaa, anastukaaaa! Anasisimukaaaa! Hahahahaa! Nyieeerr! Kuishi kwingi kuona mengi!

Hapo Mara 2 kampigia Mariah yupo dinner with a friend! Ananiambia ongeaaa na Mariah! Nikamwambia msinileteer uchuroooo! Kumlia mtu bwana wale is one thing ila kuongea nae kwenye simu kwa ukavuuu sio sio!

Nikamwambiaaa tafutaaa sehemu tukalaleeee! Mi kwangu sirudiiii! Anauliza Nikita furie sehemuu ukalale you mean? Namwambia nikalale kivipiiii tukalaleee woteeee! Tufanyaneee! Nini usicholewa sasa?

Anauliza are you really serious? I have a girlfriend! Namwambia n Mimi I have a boyfriend so? Anauliza won’t you feel I took advantage of you? Khaaaaa! Nikamwambia Sweety we are going to take advantage of each other! Kwani Mariah wewe ndo utamwambiaaa? Mimi sina mpango huo! Bado anauliza uko serious? Daaaaah! Namwambia Mimi nime toka kwangu nimenyoa vuu how serious can it get!

Anauliza which hotel! Namwambia mfuko wako tu bro! Akasema I know this place! Jamani Leo mbona kazi ipo! Njiani Mariah kapiga simu baby niko nyumbani nakungojeaaa! Nikaonaaa Kama anataka kighairiii! Nikamabia baby hutaki kunyonywa P! Hehehehe! You bet aliamua nini!

Mariaaah akapiga tenaaa! Nikazimaaa ile simuuu! Na kuanza kumpapasa huku anaendeshaaa! Kidogo tupate ajali! Nikawambia bwana midadi ishanipandaaa! Tu naanza humu humu kwenye gariiii!

Alivolegeaaaa nikaju show yake dakika 3 tu! Kala kiti cha gariiii! Alinikunjaaaa sikuaminiii Kama yule lege lege anaweza kuwa nguvu zoteee zile! Umalaayaaa uliniishaaaa!

Kiukweli mambo anayajuaaa na anayafanya toka rohoniiiii! Kwenye Gari vya fastaaa vi 2 vya mkweziiii! Na bado anatakaaa tenaaaa! Jamaniiiii! Huyu mtu au Pepo! Niko hoiiiii hoiiiii! Nikashukuruuu kwenye gariii maana kitandani anaweza kukuua! Na mzigo anao mkubwa! Hasara juu ya shotiii!

Namwmabia vas basi twende! Akajilaza Siti ya nyumaaa! Ananikumbushaaa ulisemaaa utaninyonya P! Haya huu ndo mda wako baby! Hehehehehe! Khaaaaa! Namwambia baby twende kwanza hotelini tuogeeee tuwe safiii nitafanya hio kazi! Hapo napiga hesabu nikifika tu hotelini namkimbiaaaa!

Anakataaaa! Hotelini tutaenda ila zoezi lifanyike sahiviiii! Jamaniiii ndugu msomajiiii zoezi lifanyike vipi wakati machine imetoka ndani ya mwili wangu! Yaaaaahhhkhhhhh! Pyuskiiiii! Sikubaliiiii! Sio haki!

Nambembeleza baby kuogaaa kwanza! Kuna ma gonjwaaa! Ananibembelezaaa zoeziiii likamilike hapo hapooo! Kidogooo tu! Anapendaaa sanaaa!

Nikaanza kuwa mkali na yeye Akaja juuu! Kamzimia mwanamke wake simu, Mimi ndo nimeitisha mechi, nimeahidi kwa mdomo wangu nitamnyonya hizo P! Kwanini nakupa kigeugeu na sitimizi ahadi zanguuu! Mi Toto ya kisonkooo ina tabuuu!

Mi najua bwelegeje hana la kunifanyaaaa! Nikampandishiaaa kibesiiii! Ghafla akaniamuru nishuke kwenye Gari lake! Jamniiiii Masakiii usiku! Nikajuaaa masihara! This is Sam the sweet guy remember! Weeeeeeee!

Akashuka alaniburuta chiniiii! Na tight tu na sidiriaaaaa! Suruali na top zimo Garini! Akawasha Gari akaondokaaa! Nilikimbiaaaa! Bahatiiii nikakuta machanguuuu! Wakati a nakujaaa ndukiii! Wakaniuliza vipiiii?

Nawaambiaaa mteja kaja mmoja afu wapo wa 3 nime kimbia! Wananiambia ndo shida ya wateja wa huku washenzi washenzi kweli! Wakanipa mtandio na kuniitia boda mpaka Mwananyamala! Wakanipa na 10,000 ya kula kesho maana naondoka lindo mapema na lishaingia nuksiiii!

ITANEDLEEAAAAAAAAA!!!!!

[emoji28][emoji28][emoji28]Sam na Maria nawasalimu [emoji1498]‍♀️
 
Igweeeeeeeee!!!

RIP WARUMI! ( Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! )

Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So relax! And yes nimerudi kudanga humu like i never left!

Mambo ni mengi, Ubuyu ni mwingi! Na sinaga kazi mbovuuu! Ukiona biography Jua tu $$$$$ sio shida zetu kwenye story zetu!

Hii sio story tuelewane! Ni biography! TRUE EVERY LINE EVERY DETAILS! Mpaka nimerudisha papito humu baada ya kuizunguka dunia nzima! Mjue humu ni mgodiiii! Sahivi nakomaaa mpaka miele week!

WHO IS WOMAN OF THE PEOLE? HUMU MMU NI NANI? ANA UHUSIANO GANI NA MAN OF THE PEOPLE! KATOKEA WAPI NA KAPATAJE HIZO $$$ 20,000! Nyani Ngabu kwa $$$ 1000 tu nakuwa chawa wako pro max! Na wewe unatajwa sanaaa kwenye list ya WOMAN OF THE PEOPLE! Kunywa panadol mapemaaa!

THE FULL BIOGRAPHY OF THE BADDEST ONE AND ONLY WOMAN OF THE PEOPLE COMMING SOON( LEO LEO) Kunirudisha humu niandike gazeti kaonesha jeuri ya pesa! Kanambia only you can write my Biography! Talk your number! Jamaniiii! Yule yule mchovu mwenzetu!

USIBANDUKE!
Karibu tulimiss vionjo vyako aisee
 
Tuachane na Smart911 !!!! I told you HE IS TOO SWEET to handle this shit!

NA NIMEONAAA SASA SIOMBI CONSENT BORA TWENDE TU KWA CODES! Nawapa code mpaka mtamjuaaaa muhusikaaaa!

Leo ni zamu ya AVERAGE JOE WA MMU!
Hio ya msweet Better not aisee japo nilikua nahamu nayoooo Ila bora mwamba kagoma kuachia codes!!
 
Back
Top Bottom