Queen Horse
JF-Expert Member
- Sep 12, 2013
- 414
- 317
Hakyanani sisi wanawake tunapitia maswahibu ha ha haaaa yaan nimecheka kama mazuri.. wee Sam wewe mungu anakuonaaa ha ha haaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo ulikua unapwita[emoji28]Hio ya msweet Better not aisee japo nilikua nahamu nayoooo Ila bora mwamba kagoma kuachia codes!!
Wana moyo wale sijui wanawezaje. Nina mdogo wangu wa mjini mjini jamani yule ni masta. Kwenda kukaa hotel Nairobi sijui Mwanza haoni hasara. Namwambiaga hizo hela mdogo wangu si ungefanya hata biashara ila ndo kama kasharogwa akili yake yote inawazaga wapi kuna wapopo akawadange.Hizo dollar kuzitoa ni kazi haswa kama umezitafuta kwa jasho lako....slay queens wanajua kujilipua sijawahi kuwaelewa
Huyo ndo anatubania. Halafu namba yako sijui imepotelea kwenye simu yangu siioniila nyie mbona mnanibania jamani?
Wapo makauzu hakuhongi hata elfu 10 na anakuomba Tigo.Na kibongo bongo mwanaume akikuhonga tsh million 50, lazma atakuomba tigo Mzigua90
Ha ha ha ha ha nimecheka mno vipi umezimua mchana huu nini?Wapo makauzu hakuhongi hata elfu 10 na anakuomba Tigo.
Kwa kweli vya Tigo hapana ila kwa 50M nitasema na moyo wangu tu kwani marinda sh ngapi jamani.
Nimeandika huku nawaza mjulubeng unaingia kunako nikasema Eeh Mungu niepushe na jaribu hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28]Wapo makauzu hakuhongi hata elfu 10 na anakuomba Tigo.
Kwa kweli vya Tigo hapana ila kwa 50M nitasema na moyo wangu tu kwani marinda sh ngapi jamani.
Nimeandika huku nawaza mjulubeng unaingia kunako nikasema Eeh Mungu niepushe na jaribu hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo makauzu hakuhongi hata elfu 10 na anakuomba Tigo.
Kwa kweli vya Tigo hapana ila kwa 50M nitasema na moyo wangu tu kwani marinda sh ngapi jamani.
Nimeandika huku nawaza mjulubeng unaingia kunako nikasema Eeh Mungu niepushe na jaribu hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku kwetu pombe mchana natoa wapi lakini? Niko very sober Sema nimechoka akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Ha ha ha ha ha nimecheka mno vipi umezimua mchana huu nini?
Mi nimehonga simu na namba zakeHuyo ndo anatubania. Halafu namba yako sijui imepotelea kwenye simu yangu siioni
ngumu sanaHuku kwetu pombe mchana natoa wapi lakini? Niko very sober Sema nimechoka akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nimewaza tu kweli niwekewe 50M mezani nitaweza kuruka kiunzi kweli mimi?
Ngoja nimwambie beb wangu Hazard CFC anipeeMi nimehonga simu na namba zake
google namba yangu utaipata
Hapo ndo ujue vile Satan ako na nguvu [emoji28]Sasa assume ndo umekutana nae halafu kaweka 50M uamue wewe kutunza bikra au utoe upunguze shida
Mengine hayafai kua hata majaribu daahSasa assume ndo umekutana nae halafu kaweka 50M uamue wewe kutunza bikra au utoe upunguze shida