Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

QUOTE="juan moses, post: 21135703, member: 208537"]Thank God Nimevaa Suti... Kudindisha Huku Sio Kuzuri!!

School of law inaruhusu hizo mambo?[/QUOTE]
Dah! Kaunganisha vitano!!huyu sio wa dunia ya wala chips[emoji15]
 
Oohps hatimae nimewafikia, leo leo nimeanza kiporo cha nyuma cha hadithi ya lara moko nikaunganisha na ya mchizi The man of the people...
Aisee lara 1 nakosa sifa ya kukusifia, we piga kaziii
 
Kesho yake sasa baada ya kufanya niliofanya nikaanza sasa kujutia maamuzi yangu. Kwanza nikawa najilaumu kwa ujinga niliofanyaaa. Nikafika kwangu jioni na kumkuta wife kajiandaa kwa mechi ya kunikaribishaaa nyumbani. Ikabidi kwanza nijifanye naumwa ghafla tu ili nistoe mchezoooo.

Wife akapata shaka, bwana huniambii kitu huko unakotoka lazima umeuzaa mechi. We wiki nzimaaa yote hii ushindwe hata kimojaaa tu cha kukaribishanaa. Mimi najua umeuzaaa mechi. We jibalaguzeeee hapo ila usiponipa kimojaaa hiko cha kufutia jasho lazima nitajua umeuza mechi na si vinginevyo.

Mi nikamgeuzia kibao ndo adabu hio na alivofunzwa kwao, kwamba mtu akiumwa ndo umanangeee? Kazini tunaendaga wote useme ananichunga masaa 24? Mtu mzima hachungwiiii, anajichunga mwenyewe. Kwanza mjii kuna hotel kibao za short time, mda wa lunch kama nikiamua nachepuka tu, kwani nini kitanizuia kwa mfano, sio lazima niende Mbeya ndo nikachepukeeee. Kama najitunza mjini na huko Mbeya nimejitunza. Usiku ukaisha kimachale machachale.

Yule muathirika hasikii la nani wala nani anataka ndoaaaa. Nadhani kichwani mwake alikuwa ananihesabia na mimi nishaathirika, na kama nimeathirika siwezi kurudi kwa wife, so nitamuoa yeye automatically. Nilimtimuaaaa msitake kujua. Nikawa najikusanya nikapime.

What made hold it together sikuzote hizi baada ya tukio ni kwamba niwe tu mkweli the cargo was worth the risk 200%. Hata kama nimepata hio ngoma, it was fair nimeitoa kwenye performance ya show ile ya kibabe na sio show nyingine zozote hafifuuu afu sio elekezi wala nini afu upate na miwaya juu ingekuwa mkosi juu ya mkosiii. Show ile ilikuwa tamuuu sanaaa, japo ndo inanigharimu ila kama situation ingejirudia sina uhakika ningefanya maamuzi tofautiii.

Wife kachachamaa anataka mzigo, sasa siwezi kumuweka pending milele, au nikisema nitumie zana nayo lazima angestukaaa kwa namna yoyote ile. We kwenda Mbeya kurudi tu ndo kutumia zana inakuwa namna gani tenaaaa? Nikawa tu namuweka pending. Nikaanza kujizushia nasikia kama nina ngiri sijui tezi dumeee mradi gonjwa amabalo najua yule mwanamke hawezi kugundua nimembambikaaa. Akamwambia mkwe, mkwe akaniletea mitishamba pale sasa sijui ya ngir, au tezi dume, au vyote mi nikanywa tu just to cover the story.

Siku hio nikaenda kupima mwenywe kwa hiari, naulizwa mbona umekuja kupima, nasema ni vizuri kucheki afya, naulizwa mbona hujaja na mwenzio, nasema mimi mseja sina mke wala mpenzi. Dr. nasaaa kibaoooo, vijanaa hamjatulia, sijui nini na nini kila analoliongea anapita mule mule nilimotambaa mimi. Mwisho nikapimwa nikaambiwa majibu nifate kesho. What was odd Dr alinipa namba yake binafsi nikija nikamkosa nimcheki sijui alishajua nimeathirika sijui.

Kesho nimekuja hakuwepo, nesi akacheki kwenye computer aasema niende upande wa clinic. Nilichokaaa ndugu msomajiiii. Nikajua tayari blue print, nikaanza kutubuuu na kuandika wosiaaa kabisaaa kichwani mwangu. Kufika clinic ndo kuna wale wagonjwa wenywe haswaaa, wanaochukua dose, wamekaa wanangoja Dr. akuje. They were drained of life, i could see nyuso zao hazina hata tone la hope. Na mimi nikakaa nikawa nimeshika tamaaa. I wish you could see me ndugu wasomaji.

Akaja, akashangaa kwanini nipo pale, nikamwambia file liko huku mkuu, nakusikizaaa. Akachukua akalisomaa, akasema hukutakiwa kuwa huku, limekuja kimakosaa. Wewe bwana bado mzimaa kidogooo. Ila usipojiangalia unaweza kujikuta huku upande wa pili. Kuna mstari mwembamba sanaa kati ya positive na negative. Nenda bwana lakini kaa ukijua kuwa maisha ni hatari

Nikarudi kwangu mwepesiiiii, sikuataka hata kupima sijui mara 3 aun 5. Nikawa najiamini kabisaaa kwamba mimi ndo mamba yao, hata UKIMWI kwangu umekaaa nakunyoosha miguu. Wife nilimdaka juu, na kumpiga show moja ya kibabe sanaaaa. Mpaka akabeba mimba ingine wakati kesi ya zinaa haijaishaaa kabisaaa. Niliapa mimi Man of the People umalayaaaa baaaaaaaaaaaaasssss nastaafu rasmi. Narudi kuwa committed 200%

Nikiwa ofisini ile story ikawa sihaaanza kusambaaa, sasa sijui mdada liwaambia wenzie sijuiii. Siku nilipojua file limeliki ni siku kuna mdada tuna mazoea nae, naweza kunywa kikombe, akaja kuchukua na kukisuuza juu tu na kunyewa kiroho safiii. Akiambiwa kuna ukimwi, anadai huyu mtani wangu mkewe kazaa juzi tuuu tena amenyonyesha mwaka mzima. Sina hofu nae. Siku hio nimempa kikombe as usual, kakigomeaaa. Alikipokea akakiweka pembeni na chai aka ahirisha kunywaaa.

Nikaja kumbana mtani kinaendelea nini hapa ofisniii, mbona kikombe changu umekinyanyapaaa? Akasema mtanii nina mitoto mi 4 inanitegemeaaa. Afu mitukutu ni balaaa. Huo mnyororo wenu na Sara mi siwezi kuingia kwa kikombe tuuuu. Nikajifanya Sara mimi nahusika nae vipi? Akasema weeeeeee mbeya umelala nae kavu kavu unadhani siriii? Asiejua labda mkeo tu. Nikaona isiwe tabu nikatoa majibu kwenye droo langu na kumuonesha! Akazidi kuharibuuu. Kumbe kweli? Kama sio kweli kwanini ulienda kupima? I was hpoing, seriously hoping ni majungu tu ya humu, ila sasa nimethibitishaaa. Nikamwambia nimepima kuwakomesha na uongo wenu.

That meant only one thing it was just a matter of time kabla mkanda mzima haujafika kwa my wife. Sikuwa na option zaidi ya kuwahi polisi kujishtaki. Kwa kujishtaki kwanza ninge fabricate the truth, na kuweka alteranative facts kibao, maana wanabe nawaaminia kwa kutoa raw facts. Kama walinishikia miguuu.

Other reason ni kwamba still i was craving for tha pussy! Sijui ni ujinga ua nini, sometimes nawaza au nimuombe nipige tu hata kwa condom? Hahahaaa! I was not sure of myself. By telling my wife it means she will keep track of me, and knowing my wife is keeping track nisingeweza kujaribu wala kupitiwa.

Tatu self confession ingeniongezea credit kwamba kweli nimejutaaa, na nimejutaa sanaa, mpaka kutubu kwake itakuwa au tuseme itaonekana i am ready to repent and be a good hubby once more. Nikawa nishakata shauri niende ku confess to my wife kila kitu mpaka ukimwi na kupima na kila kitu. Ila nikawaza kwanza niongee na ma pro nione wao wanachukuliaje hili swala la kwenda kujisalimisha kituoa cha polisi kabla sijakatiwa RB.

Nikakutana kwanza na Eva, huyu sio tu kwamba ni mmbea wa ofisi, pia ni mchepukaji mzuriii sanaaa. Nikaona nimchimbe kwanza issue za michepuko pale bank just to get the insight. Afterall baada ya usiku wa leo i could be single again, who knows? Baada ya confessiona naweza fukuzwa na bundukiii na baba mkwe.

Nikaanza Eva, Gerald mbona muhuni sanaaa? Akageuka, ana uhuni gani? Gerald wala sio muhuni. Gerald is just trapped anawapenda wanawake wa 2, sasa uhuni wake ni upi hapo? Kama kukutana alianza kukutana na Miriam chuo waka date briefly, the Miriam akachukuliwa na vibopaaa. Gerald alikuwa choka mbayaaa hana hata 100, ana ishi kwa kubangaizaaa. Akakutana na mama J. Mama J, kwao ni loaded sanaaa, akamuweka G mjini mda mrefu sanaaa.

G alikuwa anapewa kodi na mama mkwe wake, that is the support aliopata kwa kina Mama J. Mama J akapata mimba G hana hata 100. Wakafunga harusi kwa msaada wa baba mkwe. Na wameoana Mama J anachukua hela nyumbani za kumtunza mume. Ndo kuja kupata hii kazi. Kupata hii kazi akawa anasema mwanoni kwa sisi tunaomjua siwezi kumsahau mama J. Maishani. Siku ndo kumuona Miriam kachokaa kwao hapo Kino.

Kujisemesha namsaidia tuu apate kazi bank, kaenda kujikomba HR kule wee, Miri mwenyewe dumba a.ss kwa kuombewa ombewa na G akapewa tu hii kazi, huwezi kusema kapata, alizawadiwa ndo kuja hapa, anajisemesha mimi just friends, nampenda sanaa mke wangu nampenda sanaa mke wangu, zikaenda zikipungua sahivi pete inavaliwa getini kwake akiwa anaingia na akitoka inavuliwa. Chezea G nyieee.

Ubaya wa G, hajui kula na kutimuaaa, anaweka makoloniiii. Kama kwa Miri pale tuseme tu kaoaaa, sasa tusemajeee. Mama J ni mtataaaa, ni mtataaa siku akija kustuliwa bank hii itahitaji FFU kutuliza ghasiaaa. Sema na umalaya wote saa 2 anaingia kwak kama kuku. Hana jeuri ya kumrudia mama J hata saa 3. Thubutuuuuuuuu. Na tangu aanze kazi hapa rekodi ya mchepuko mmoja tu sio ya kujadiliwa unawaacha vigunwiii wa hizi kazi unamtaja J? Trust me at the rate you are going in few months utamuacha G kwa mbali sanaaa.

Nilistukaa kujua kumbe napewa nafasi za juu kwenye umaluuni kuliko G? Haaaaaaaaaaaa! Bora nikatubu kwa wife maana sio dalili nzuri kabisaaa. Sio dalili nzuri hata kidogo jina langu kuanza kutajwa tajwa kwenye hizi mambo za kijingaaa kijingaaa. Nikamchagiza Eva, Eva acha masihara G anarekodi moja tu ya mechi ya ugenini usinitanieeee bwanaaa, G mpanaaaa!

Ndo nakwambia uliza kote ana wizara ya mambo ya nje hio hio moja tu, hakuna ingineeeee. Hakiiii nakwambiaaaaa. Sema kuna fukutooo kanitonya G mwenyeewee kuniomba ushauri. Unakajua kale ka Jully katoto cha teller fresh from school, si ndo Miri kukifanya shogaaa ndugu yangu, anakipa mpaka ufunguo wa kwake. Juzi G kaenda kakikutaa, anaavodai kimemfanyia mitego si ya kitoto. Akaivukaa, sasa kina mtext kujitongozeshaaa, yeye G ndo yupo njiapanda. Huenda rekodi ikaongezekaaaa. Nikabakia wachaaaaaaaaa! Watu wanafaidiii kumbeeee. Nikaendelea na kazi zangu.

Jioni nikajikusanya na kuanza kutoa tobaaa nzito kwa wifeee, alipanic, alipanic sio kidogoooo. Hali haikuwa shwari kwa zaidi ya wiki kama 3 zoteee. Paligeuka Seria na Iraq. Kilichoniokoa ni self confession tu. Baada we were able to get past it. As predicted zile habari hazikuchukua round zikawa zimefikiaaa kama nili anticipate. Sema akawa anazijua tayari haikua ishu sanaaaa.

Kuchepuka ni kama kula nyama ya mtu, huwezi kuachaaaa. Na kuponea maukimwi koote nikawa nishajua huko nje there is good quality pussy at abundance, i just have to find it. Maharage ni matamu sanaa kama hujawahi kula nyma ya kuku, siku utakayo kula kuku basi utajua maharage ni matamu kuyala kwa hamu tu sio kila siku. Na mke hivo hivo kama hujawahi kuchepuka hujui ladha za nje huko zipoje, ila ukishakula ladha za nje baaaaaaaaassss. Zinakuwindaaaa.

Na mimi wife hana Antena, na kupia ile mechi ya kirafiki na yule mgonjwa kulidamage ubongo wangu, i knew exactly what i was missing out. Nilijua itachukua hata decade before i cheat again hata miezi sita haikuishaaa. I was back at it again, with more speed and less remorse. Na hii ya pili haikuwa intentional kabisaaa , like always ilianzia UG.

Tukiwa UG tenaaa, katika zile zile semina zetu, Sara hakuwepo alihama bank akaenda kuwa boss bank ingine, na tukawa tunasalimiana kishkaji tu, maana wife alikuwa anammulika kwa kurunzi na chemli kwa mpigo, so hio ikawa ishageuka forbindden zone tenaaa. Haiingilika kabisaaaa.

Huku UG kuna mtoto anaitwa Mercy, tunafanya nae kazi, anajua nina mke na mtoto, na yeye ana mtu wake, BF wa mda wana malengo kabisaaa. Kukutana huku nikaona ananilegeza sauti, mara macho, nikasemaaa mmmmmmhhh! Gerald nakupita sasa hivi tena kwa speed ya 4G. Sikutaka pupaaa, nikasema labda nasoma signal vibayaaa, mzee baba naweza kukuta sio slope kama kwa mgonjwa.

Nae akaja na mbinu ile ile naomba tulale wote! Khaaaaaaaaaaa! Nikamuuliza kwanini dada angu? (Namuita dada nataka kumnyima nini?) Sio kwamba sikutaka kumla, nilitaka kuchora mstari mapemaaa. Mpaka mda huu nahisi msomaji utakuwa unajua nimekubuhuuuu kwenye hizi kazi. Mifugo inaingia yenyewe bandanii nifanyaje.

Basi anajimimina tuko chumbani hapo ndo kaja kuomba kulala na mimi kitanda kimoja. I was getting way too mucha puss kuliko hata kabla sijaoa. Sikujua kama kuoa nacho kigezo cha kupata vimwana sikujuaaa. Akaanza mwenyewe ndugu msomaji mwenyewe kanianza hata ungekuwa wewe Tarime one unaejitia umeokoka unadhani ungefanyaje, na mtoto mwenyewe wa ukweliiiiiiii vibayaaa mnoooo. Rangi ya mtume vile vile navowapendaa na kajazia supporting documents. Maboss kibao wanamtaka leo kesho, wengine hata hawajaoa ila kawakataa afu ananipa mimi mistariiii.

Akaanza mimi nakupenda mda mrefuuu sanaaa, sanaa, since day 1 nimekuona pale bank, nikajua tu utakuwa mume wangu, sijui kwanini bt i had no doubt i wanted to spend the rest of my life with you. Mimi huyo msomaji naambiwa hayo manenoooo kuntuuuu. Nikamwambia mimi nishaoaa dada yangu, nitakuaje mumeo. Yupo I know, i know, it broke my heart in pieces. Sikutaka kuamini. Ila baadae nimekubali ukweli, hatukuonana mapemaaa. Nikakazia hapo hapo umeonaa dada yangu hamna futureee hapa.

Akasema hata mimi nina mtu wangu, but i wish niwe na wewe, i dont know but i just wish. Mule muleeeeeeeee napotaka mimi. Ikabidi nikazie kwanza so you know and understand hakuna futire, mimi siwezi kumuacha mke wangu tena ana mimba ingine for you, in anyday, that day will never come, ever, na umeridhia kabisaa kwa akili zako bila kushurutishwa na mtu yoyote. Akasema YES! Mwenyewe nishalipiwa mahari nitaolewa anytime soon, nitakuwa na mume wangu.

Nikasema SAY NO MORE BABY! SAY NO MORE!

ITAENDELEA KESHO SAA 4 USIKU.
 
Back
Top Bottom