Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

jamani watumishi wa MUNGU tuna majaribu! mlokole mwenzangu hebu mshinde huyo shetani kwa Kukimbia uwe kama yusuph, wakati mwingine zinaa inakimbiwa eti


Ibilisi huyuhuyu aliyeondoka na theluthi ya malaika mbingini. Mlokole mwenzio keshakunja binti wa watu round tano....
 
Hahaa kuna watu wanajitafutia vifo khaa!kweli never underestimate the power of papuchi mlokole chalii
 
Angalia asijekua amekata kabisa. duuuh mbona wengine hizi bahati hatupati?
 
[emoji23] [emoji23] mlokole anakula papuch kwa ugwadu na hasira zote na antenna ipo tena ila asubuh nahisi atatoka[emoji125] [emoji125] kwenda angaza...daah mlokole pole sana na hongera mana sio kwa kujilipua huko bila zimamoto[emoji23] [emoji23] ...
 
Mlokole kawaangusha walokole ila team Siza katutoa kimasomaso...ugali watu hawaupendi. Pamoja na binti kunywa ARV mbele yake tena ukute alimletea na maji ya kunywea dawa, bado anauza mechi?
 
Afe kipa afe beki mtu kaisha jilipua apo uwiiii
 
Dah..! Hakuna namna mlokole.
Hakuonekana na binti mfuasi mzuri wa maadili lakini ndio hivyo anakufa kwa ngoma
 
Back
Top Bottom