Oooh!! Sikuiona awali, nishaisoma tayari.nimesha shusha hapo juu mbona
hana ujanja tena,na ulokole kashaona unamnyima vingi vizuriNafunga wiki kwa ajili yake na naamini kwa jina lake roho mtakachafu atakimbia tu,na naamini mlokole atashinda.
mhmmhmhmhmh mambo yanazidi kuwa mazito si Mchezo
Oooh!! Sikuiona awali, nishaisoma tayari.
Huyu man of the people mbona unampendelea hivyo!! Yaani na ufirauni wote huo yanamnyookea tu[emoji134] [emoji134]
Team roho mbaya wenzangu mkuje Heaven Sent Samaritan
Kwakweli mie mwenyewe natamani tu hata apate busha la maisha ... Sema namezea lara1 kasema tusitumie maneno makali ....lara 1 kale kamsaada alikopewa kamefanya story hii iegemee upande mmoja bwana. Mie bado niko pale paleee yaani hata asipopatwa na la kupatwa itabidi tu kwakweli afanye namna.
Nilikuwa sijaona hiyo, aisee huyu mtoto wa kiume nimempenda sanaSasa hivi ipi tena mama? Shusha mambo basi.
Hahaha roho zenu sio za nchi hiiKwakweli mie mwenyewe natamani tu hata apate busha la maisha ... Sema namezea lara1 kasema tusitumie maneno makali ....
lara 1 kale kamsaada alikopewa kamefanya story hii iegemee upande mmoja bwana. Mie bado niko pale paleee yaani hata asipopatwa na la kupatwa itabidi tu kwakweli afanye namna.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwakweli mie mwenyewe natamani tu hata apate busha la maisha ... Sema namezea lara1 kasema tusitumie maneno makali ....
Sio kwa ufunguaji wa zipu huo ... Sitaki kujua story itaisha hajaumwa ugonjwa wa zinaa uliosababisha kuliwa kwa sehemu zake za siri na hivyo kushindwa kuneng'enekaHahaha roho zenu sio za nchi hii
Ana akili sana, ameuliza maswali yale yale ambayo huwa hatupendi kuyasikia ila ndio uhalisia. Mara nyingi wazazi tunajisahau sana na kuona ngono ndio priority bila kuwakumbuka watoto ambao ndio kiasi kikubwa saaaana wanathirika.Nilikuwa sijaona hiyo, aisee huyu mtoto wa kiume nimempenda sana
Sie tena!! Team roho mbaya kama kawa, mpaka kieleweke.Hahaha roho zenu sio za nchi hii
Nahamia jehanamu rasmi [emoji23][emoji23][emoji23]