Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Michepuko umeacha au umegoma?Mama wee, kwanin lakini kunisingizia namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michepuko umeacha au umegoma?Mama wee, kwanin lakini kunisingizia namna hii?
Lazima awe na heshima maana yeye anazijua good times tu, subiri umuoe uone kama hizo heshima unazoongekea utaziona!! Wanadhani kuwa mke ni mchezo!!
Cha muhimu ni kujiepusha na maradhi eeh!!! Haya hongereni. Hivi nani hapendi vitu vizuri?Unaushauri mzuri kweli. Hongera sana.
Ila wanaume tunapenda vitu adimu. Chukulia MOPT mwenyewe sio saint kusema asione utamu wa nyuma ya pazia la warembo wanaojigonga.
Muhimu kujiepeusha na maradhi. Sio jamaa anajua huyu malaika mwathirika then anaenda kavu. Jamaa namfikiria aliwaza nini wakati yu karibu na mstari wa kifo?
Mtu alishuhudia wakila dagaa na mama yao kila siku huku nyumba ndogo inajengewa na kununuliwa usafiri!! Hivi unadhani atatamani kuolewa huyo!! Ili agundue nini!!Basi ndio maana wengine wanaona bora wabaki bila kuolewa waendelee kula good time. Unaona sasa, ila tu uwe makini na jinsi unavyoitafsiri good time.
Hata mimi nimejaribu kuangalia kosa la mercy sijaliona,tamaa ya papuchi ndo imemkoleaMfano hapo Mercy ana kosa gani mbona hadi mume anakiri kwamba yuko vizuri kila sekta? HuyuMOTP ni tabia yake tu,.. We kisa Mwanamke anakuangalia sn ndo umnunulie soda? Kifupi anapenda attention akiipata anajifanya staki nataka
Yaani saivi aitwe man of papuchi tuKinachonishangaza huyu lara 1 kumuita huyu muhuni Man Of The People viiiiiiipi? Sojafahamu kabisaaaaa? Man of people au muhuni tu tena bazazi kabisa.
Mtu alishuhudia wakila dagaa na mama yao kila siku huku nyumba ndogo inajengewa na kununuliwa usafiri!! Hivi unadhani atatamani kuolewa huyo!! Ili agundue nini!!
Kwani we uliuliza nini na ambacho haujaelewa nini? Nimekujibu kulingana na post yako.Sasa wewe upo kundi gani? Unapongeza kuchepuka au unapondea? Kwa upande mwingine naona kabisaaaa unazisifia benefits na fringes za michepuko huku unamuombea mabaya MOTP.. lara 1 nafasi zikitokea we usijivunge kumbe kuna watu wanakuonea wivu tu! Ila mshauri huyo maluni wako guberi MOTP aangalie maradhi.
Kwani we uliuliza nini na ambacho haujaelewa nini? Nimekujibu kulingana na post yako.
Mmesahau alimcheat na mbabu mwanzoni kabisa na ndie chanzo cha jamaa kufungua zip mwanzo mwisho[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata mimi nimejaribu kuangalia kosa la mercy sijaliona,tamaa ya papuchi ndo imemkolea
Ali cheat na yeye akasema they were even sema ubazazi kazoea...mercy alitoka na mzava baada ya kuona hana dalili ya kuolewa na MOTP,ila baada ya kuolewa mercy ali cheat na nan??Mmesahau alimcheat na mbabu mwanzoni kabisa na ndie chanzo cha jamaa kufungua zip mwanzo mwisho[emoji2] [emoji2] [emoji2]
ooh my dear, ndio naiona leo sijui kuzeeka mambo mengi mpaka jukwaa nalisahauHabari ziwafikie
Compact
Ficus
juan moses
Samaritan
brenda18
womanhood
Cienfuegos
winner100
jonta
witnessj
aggyd
JembePoli
Atkins Mendel
Ficus
sohwa
mikwamba
Kyalow
Riwa
Namge
@Algator
Comrade Kip
MadamG
Ayanda85
Claret
babu na mjukuu
Snowwhite
Bonny
@rubuye1231
@prondo
dyuteromaikota
hazelyn
Donjama
Gogle
multiple
Afrah
Olivia Pope
carbamazepine
binti kiziwi
edgar Sr
ICHANA
hill and portion
red apple
KAHUSE
Qurie
espy
mahondaw
whitehorse
Code Breaker
Mbimbinho
ISO M.CodD
jay-millions
lazalaza
tya02
Alegria do povo
athuman zungu
@malaluko jr
Waseme
Prince Nadheem
Gwamahala
Mzigua90
Cauldron
angelita
topr
dawa yenu
strong gal
Shunie
@dst111
tejateja
subadesubking
jossiest
Rich Ze Best
255Gene
CHOKAMBOVU
Sonia G
Jack HD
kisengeli
TEAM hoarse
idaz
Heaven Sent
jonnie_vincy
singular
Michaelray22
kabanga
Mr Mikazo
Tarime one
sherberry
@Ipiyax
double R
Kadada
Cecilia Kessy
cesilia
subadesubking
it is me
moneytalk
Money Penny
@salma99
nchemime
Compact
Fake P
Word
griffin2
sammyluv
ABBYA
KIUNO CHANGU
-KANA-
CHOKAMBOVU
Queen Horse
m.agape
Maskini Jeuri
Miss ferrar
Horseshoe Arch
kassimneema
mjasiria
Omerta
kukumega
sajo
glory to yhwh
LOFA2030
ranyia
felinda
@montkafu
tozi25
Guasa Amboni
lafionaposh
lady v
dochivele
Masaki
JAMANI SI KWA MUALIKO HUU! Nimefanya tu sampling ya comments za readers wangu kwenye stpry 3. Kama nimekuruka bahati mbaya. Ila sitopenda mmiss hili vunja jungu.
Mmh nimeshindwa kushangaaUnaushauri mzuri kweli. Hongera sana.
Ila wanaume tunapenda vitu adimu. Chukulia MOPT mwenyewe sio saint kusema asione utamu wa nyuma ya pazia la warembo wanaojigonga.
Muhimu kujiepeusha na maradhi. Sio jamaa anajua huyu malaika mwathirika then anaenda kavu. Jamaa namfikiria aliwaza nini wakati yu karibu na mstari wa kifo?
Nimechoka hiyo commentCha muhimu ni kujiepusha na maradhi eeh!!! Haya hongereni. Hivi nani hapendi vitu vizuri?
Labda wewe unisaidie maana mie nimehoka.Nimechoka hiyo comment
Hakumcheat alitaka ndoa na kwa babu alikuwa na uhakika wa kuipata ndo ujue hakuna asietaka ndoa, kila mchepuko nao utataka kupanda cheo kama Mercy alivompindua mwenzie bila kuwaza yeye si malaika,... Kama MOTP kamuacha mwenzie kwa ajili yake nae ataachwa tu jili ya mwengine hizi zingine laana za kujitaftia tuMmesahau alimcheat na mbabu mwanzoni kabisa na ndie chanzo cha jamaa kufungua zip mwanzo mwisho[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hakumcheat alitaka ndoa na kwa babu alikuwa na uhakika wa kuipata ndo ujue hakuna asietaka ndoa, kila mchepuko nao utataka kupanda cheo kama Mercy alivompindua mwenzie bila kuwaza yeye si malaika,... Kama MOTP kamuacha mwenzie kwa ajili yake nae ataachwa tu jili ya mwengine hizi zingine laana za kujitaftia tu
Haha habaelewiiiiBaelezeee baelezeeee
Habaelewi yaniiiBaelezeee baelezeeee
na mi ndo nachosema hawa bnadam ni waamue kujiheshimu wenyeweMama usiseme hivyo!! Unadhani mashoga wateja wao kina nani? Wengi ni waume za watu, wenyewe si wansemaga! Yaani hawa viumbe ni kama kulinda bahari tu ukilinda huku wenzio wanavua kuleeee. Ni wao wajitambue, kujithamini na kujiwekea mipaka.