The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Hili dude kweli vunja jungu dah
Tusipoangalia hii mechi inaweza kuamuliwa kwa ushindi wa mezani....tutaandamana hadi FIFA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili dude kweli vunja jungu dah
Senkyuu vere macheee kwa sauti ya mama Anna makinda.Cc samaritan,Tarime one,mahondaw,espy,binti kiziwi...lara kaamsha dude huku
Senkyuu vere macheee kwa sauti ya mama Anna makinda.
Teh soon mercy na yeye atarudi kwa Mzava haha, my wish is still validmahondaw Heaven Sent na team roho mbaya wote. Mzigo upo mezani...tatizo picha limekuja na chenga nyingi halieleweki ni point kwa upande wa mlokole au team roho mbaya, ila hata kama sio tezi dume apate japo kifaduro tu!
Haha nichague kambi nimelogwaa!? Nani anataka kuwa kama timu Ceaser almanusra wageuke mashoga thubutuu! Nasoma upepo bado mie [emoji1]Lakini mheshimiwa haujatuambia kambi yako rasmi ni ipi?
Haha nichague kambi nimelogwaa!? Nani anataka kuwa kama timu Ceaser almanusra wageuke mashoga thubutuu! Nasoma upepo bado mie [emoji1]
Ngoja nilale apa kuonekana tena ni kesho saa 4pm.... Goodnight kwa woote
...mmojawapo mimi!Watu wako team Man of the people wanaona haya tu kusema! Kama team Godfather! Hahaaaaa!
Kabisa ukisalitiwa ili upone na ww saliti tu haina namna hahhhhb shwetwani uyuNilitaka kushangaa iweje man of the people kuwa cheated then uwe na roho nyepesi...hiyo haiwezekani kabisa...kwa mtu yeyote lazima awe haunted
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] watu mnaroho mbayaa...kama namuona mwenyewe anavuojamba jamba na comment za watu humu,ila angalieni msijewekwa kwenye target zake tu[emoji23] [emoji23] cc Heaven sent
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaaa tezi dume tena? Mh haya. Mie na Tarime one itabidi tuzame tu kwenye maombi maana haina namna. Tumuombee The man of people, sio kwa kukengeuka huko.
Tatizo Lara 1 kurudisha ndege nyuma ikiwa angani ni kama kufumba na kufumbua tu...
Alituchota mwanzoni mlokole kashinda vishawishi tukasema emeeeeeen. Kilichofuata sasa
mahondaw Heaven Sent na team roho mbaya wote. Mzigo upo mezani...tatizo picha limekuja na chenga nyingi halieleweki ni point kwa upande wa mlokole au team roho mbaya, ila hata kama sio tezi dume apate japo kifaduro tu!