Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Afu mnaoniomba namba ya man of the peopleee tulizeni nyege, mtakufa na ngomaaa, hiki kina kirefuuu mjue. Kwanza man of the people condom zinambanaaa mjue, mtaweza kujikaza. Niwape namba nimerogwaaa! Hahahaa!

Ila wanawake man of the people anaomba ushauri na ufirauni watu ndo kwanza mnataka namba jamaniii. Aaaah jamani tema No Free P, man of the people niachieni mimi.
Wapi God father
 
Sasa mimi sio mweupee rangi ya mtumee, mimi ni rangi ya mkaaa, na supporting documents sinaa, mimi mchagga, nimepigwa pasi, huyu Man of the people atanitakaaa? Mambo ya kuambiwa vaa nguo zako chukua $1000 hapo uende, bila kuguswaaa, nitakimbia JF bila kuaga. We unaona man of the people anatakaga mchezooo? Hahahaaa!

Wanao omba namba za MAN OF THE PEOPLE WANADAI WAO WAPO GADOO, WAMEKAMILIKA. Rangi check, misambwanda check, roho ngumu check, wako fiti kila idara.

Ndo mnisaidie kumshinikiza man of the people anileee.
Naona tumepishana kabila tu hahahha .... Pasi vipi
 
Sasa mimi sio mweupee rangi ya mtumee, mimi ni rangi ya mkaaa, na supporting documents sinaa, mimi mchagga, nimepigwa pasi, huyu Man of the people atanitakaaa? Mambo ya kuambiwa vaa nguo zako chukua $1000 hapo uende, bila kuguswaaa, nitakimbia JF bila kuaga. We unaona man of the people anatakaga mchezooo? Hahahaaa!

Wanao omba namba za MAN OF THE PEOPLE WANADAI WAO WAPO GADOO, WAMEKAMILIKA. Rangi check, misambwanda check, roho ngumu check, wako fiti kila idara.

Ndo mnisaidie kumshinikiza man of the people anileee.

Man of the people ukijijaza ana kumwaga maji haijalishi una rangi gani au umepigwa pasi. Muuliza volunteer wa ofisini kwao Nairobi kilicho mkuta. Mwanaume sio baba yako, as long as hamna undugu ukimuonyesha dalili ya kumpa anasahau sifa anazopenda
 
Hahaa em tuacheni team roho mbaya jamani

Halafu wewe ndio utakuwa target yake ya kwanza japo na hizo dua zako za tezi dume. There is a thin line between hate and love, you hate him in a good way.

Mkuu MOTP najua unasoma nakupa heads up anza na huyu itakuwa rahisi sana kubadilisha chuki hii kuwa upendo, hahahaaaaaa
 
Team roho mbaya mna mchukia sababu he is "too good" for his first wife. Kama angekuwa a good for nothing kind of a person wala msingekuwa na time naye na kumuombea mabaya sababu mke wake wa kwanza angekuwa Hana cha kupoteza. Usoni mnamchukia moyoni mna mtaman. Mind the words in quotes caz that's what make u envy this dude kimyakimya. Don't hate the player hate the game [emoji1][emoji1550]
 
Halafu wewe ndio utakuwa target yake ya kwanza japo na hizo dua zako za tezi dume. There is a thin line between hate and love, you hate him in a good way.

Mkuu MOTP najua unasoma nakupa heads up anza na huyu itakuwa rahisi sana kubadilisha chuki hii kuwa upendo, hahahaaaaaa
Khaaa not to that extent bana

It's not like we hate him, but tunawish apatwe kidogo ili aache umaaluni wake atulie na mkewe. Kuna mke anayependa kumshare mumewe, au baba watoto wako akuache wewe then akaoe kwingine na kuishi happily ever after? Of coz we loved him alivyokuwa ametulia na his 1st wife, ile misimamo yake ya mwanzoni unaishia kusema "I wish". Ila sio kwa ufedhuli wake wa sasa hivi
 
Team roho mbaya mna mchukia sababu he is "too good" for his first wife. Kama angekuwa a good for nothing kind of a person wala msingekuwa na time naye na kumuombea mabaya sababu mke wake wa kwanza angekuwa Hana cha kupoteza. Usoni mnamchukia moyoni mna mtaman. Mind the words in quotes caz that's what make u envy this dude kimyakimya. Don't hate the player hate the game [emoji1][emoji1550]

A2G I must admit ulipotokea sikujui ila kwa tunavoendaaa, wewe ni MAN OF THE PEOPLE DAMU DAMUUUU. Na sitaki kuamini wanaume mme stick together with man of the people kimya kimyaaa. Maana siwaoni mkisema lolote juu ya ufirauni wa huyu MOTP. Nina uhakika mna mpa support ya nguvu kimya kimya
 
Team roho mbaya mna mchukia sababu he is "too good" for his first wife. Kama angekuwa a good for nothing kind of a person wala msingekuwa na time naye na kumuombea mabaya sababu mke wake wa kwanza angekuwa Hana cha kupoteza. Usoni mnamchukia moyoni mna mtaman. Mind the words in quotes caz that's what make u envy this dude kimyakimya. Don't hate the player hate the game [emoji1][emoji1550]
Haha au wewe ndo MOTP?
 
A2G I must admit ulipotokea sikujui ila kwa tunavoendaaa, wewe ni MAN OF THE PEOPLE DAMU DAMUUUU. Na sitaki kuamini wanaume mme stick together with man of the people kimya kimyaaa. Maana siwaoni mkisema lolote juu ya ufirauni wa huyu MOTP. Nina uhakika mna mpa support ya nguvu kimya kimya
Haha si unawajua hawa kuchepuka ni nature yao. So lazima wamsupport mwenzao
 
Back
Top Bottom