Weekend

Asante mkuu wa orodha kwa ufafanuzi.
 
Yaan The List sisi tulikuwa tunakataa kabisa sio wewe usingeweza kututukana ambao hatuna tatizo na wewe yule mtu ana matusi alikuwa anakuja mpaka kwenye hii thread kututukana
 
Weekend ya leo imeniumbua. Nimevaa kihome home halafu nikaalikwa kwenye party ya kufungua club swa cliff village halafu nimevaa kama niko kwangu[emoji52][emoji52]
 
Kupendeza tuu. Huoni mie niko kawaida sana hapo. Kukaa na wanaume wa mjini haki kunaniharibu. Najikuta nimewaozea kiasi ambacho naacha kuwa kama mdada
Af mbona huna tumbo la bia kama wanawake wengine ambao wanakunywa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…