Weekend

Kweli. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
wewe Jamaa bwana ..huelewi maana ya chit chat au ...yaani mpka matani wayachukulia serious au ...una hang over ya bangi uliyovuta usiku wa Jana mpka leo haijakutoka...yaani ilimradi ukosoe hata visivyo hitaji kukosolewa ..kazi kweli kweli ..
Teh teh haya kuwa kiti Chief hamna shida

Ngoja niendelee kumsikiliza Bob Marley hapa nakula ganja zangu huku pembeni kuna kimto kinatiririsha maji na visauti vya ndege
 
Mzigua90 upo vizuri,umeiva,bila shaka ni wewe hapo kwenye avatar
 
Kumbe ndio wewe nimekuona leo mtaa ukikatisha [emoji3][emoji16][emoji3][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…