Weekend

Weekend

Wengine starehe zetu ni hz
Chelsea babe
b4d4207f4ef5566b5eb791bc0d187407.jpg



Santo sana... mimi pia napenda sana mpira pia ni shabiki damu.. na nilinusurika kuolewa na footballer.. Yani almanusura...



cc Smart911
 
Santo sana... mimi pia napenda sana mpira pia ni shabiki damu.. na nilinusurika kuolewa na footballer.. Yani almanusura...



cc Smart911
Lol. Mi bado natamani kuolewa na footballer lakini anaecheza mpira for fun sio kama kazi.
 
kuna mabinti wawili tofauti niliwaona wenye mibode kama huu...nikajua wewe🙂🙂
Si wajua wenye mibode hii wengi mji huu. Naanza kuzeeka sijui. Nikisema nikae kitandani kidogo tu nivute muda wa kutoka nikishtuka tayari saa kumi usiku [emoji23][emoji23]
 
Si wajua wenye mibode hii wengi mji huu. Naanza kuzeeka sijui. Nikisema nikae kitandani kidogo tu nivute muda wa kutoka nikishtuka tayari saa kumi usiku [emoji23][emoji23]
😀😀😀😀
yawezekana...mi mwenyewe nimekuwa mtoro sana wa mitoko siku hizi
 
Back
Top Bottom