theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Yes hapa hapa kwangu nyuma tu hapa [emoji12] [emoji12] [emoji12]Basement maisha.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes hapa hapa kwangu nyuma tu hapa [emoji12] [emoji12] [emoji12]Basement maisha.?
Ameeen hakuna linaloshindikana kikubwa kutokata tamaa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] tunazipanda wote hizo white..
Ila siku moja tutapata zetu na tuzunguka mji wote huuu.....
Cha msingi pesa ya kula na kunywa ipo hakuna tatizo kwa jiji la makonda [emoji4] [emoji4]
Guess please....Wapi hapo?
Nani kakwambia me muislamu me mlutheri wa kubatizwa mpaka kipaimaraYou are a muslim dear... maji ni saizi yako white [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Amen napenda watu wanaopambana mtu legelege apite hiviiiii.....Ameeen hakuna linaloshindikana kikubwa kutokata tamaa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] we mwongo white we utakuja fontaine blue I have a respect for you dear... tutapata chakula na drinks then utaenda homeNani kakwambia me muislamu me mlutheri wa kubatizwa mpaka kipaimara
Hahahh ndio vijimambo vya jf hvyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ningemmeza
Yan ule ndio unauita ubonge?? una utani na mabonge etiMi sio mswahili mkuu. Labda we uje kuninganga ubonge wangu
Alikuwa white bonge fulani hivii afu mcheshii sema nilikuwa busy na heineken na mdudu...Hahahahaaa. Si mimi kabisa.
Aiseeee sipendagi uongo wala kumuongopea mtu halafu siwezi tania mambo za dini me siji mkuu utaonana na mzigua kwanza nilivyo muoga naongea tu hapa[emoji12] [emoji12] [emoji12] we mwongo white we utakuja fontaine blue I have a respect for you dear... tutapata chakula na drinks then utaenda home
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] heee... mara mtu anatia timu na vogue hapo, binadamu nyie.. ndio maana halisi ya "nanjilinji" itaelewekaMe mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
Hapana mkuu jamani siwezi kudanganya huo ndio ukweli wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] heee... mara mtu anatia timu na vogue hapo, binadamu nyie.. ndio maana halisi ya "nanjilinji" itaeleweka
[emoji12] [emoji12] [emoji12] watu waoga ni watu makini zaidi so na imani utakuwa mtu makini zaidi yangu....Aiseeee sipendagi uongo wala kumuongopea mtu halafu siwezi tania mambo za dini me siji mkuu utaonana na mzigua kwanza nilovyo muoga naongea tu hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] njiwa anaelekea kuingia bandan, nafuatilia mkuu, kazana kazana[emoji12] [emoji12] [emoji12] we mwongo white we utakuja fontaine blue I have a respect for you dear... tutapata chakula na drinks then utaenda home
Hapana mkuu me na wewe tuendelee hivi hivi tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] watu waoga ni watu makini zaidi so na imani utakuwa mtu makini zaidi yangu....
Nikikutana na mzigua hope utakuwa mtu w pili kukutana na mimi kutoka humu jf...
So if you deny it its ok with me...Aiseeee sipendagi uongo wala kumuongopea mtu halafu siwezi tania mambo za dini me siji mkuu utaonana na mzigua kwanza nilivyo muoga naongea tu hapa
Hahaha hawa na ma bestie zangu tunafahamiana vizuri mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] njiwa anaelekea kuingia bandan, nafuatilia mkuu, kazana kazana